chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 20,834
- 26,217
Kwa hiyo kesi ndio mmeamua mumfungulie leo baada ya muda wote huo?[emoji16]Ana kesi ya ML tangu enzi za JK, mnakumbuka chama chake mfu cha CHADEMA waliwahi kuleta ushahidi wa transfer ya hela from German kupitia WMU? So atulie tu maana aliwatumia wazee uchwara kuitisha serikali (yaani kajiona yeye ndiye bora kabisa kuzidi watanzania mil 50 plus). Zito kichwani mwake kuna tatizo huenda ni moja ya wale 1%
Sent from my SM-J700H using Tapatalk