Zitto Kabwe, Mwanasiasa aliyerushiwa mishale mingi na "makamanda" akapambana ndani ya upinzani huku wale waliokuwa wakijifanya makamanda wakienda CCM

Zitto Kabwe, Mwanasiasa aliyerushiwa mishale mingi na "makamanda" akapambana ndani ya upinzani huku wale waliokuwa wakijifanya makamanda wakienda CCM

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054
Wahenga walisema. Umdhaniaye siye kumbe ndiye, na umdhaniaye ndiye kumbe siye

Hawa wafuatao watu walikuwa wakiwaona wapinzani kwelikweli huku Zitto akitukanwa kuwa ni CCM

1. Petrobas Katambi
2. Lijualikali
3. Silinde
3. Peneza
4. Mashinji
5. Peter Msigwa

Wengine wakasaliti chama waziwazi akina
1. Halima Mdee

Lakini cha ajabu Wanachadema waliendeleza nongwa, chuki, kumbagaza Zitto huku hao makamanda wengine wakijifanya kuwasahau.

Leo tunaona nani ana damu ya upinzani wa kweli, bora Zitto aliamua kupambana lakini akiwa nje ya CCM kuliko wale ambao leo wanaunga mkono juhudi.

Zitto apewe heshima yake!

NJAA KITU KIBAYA SANA!
 
..suluhisho ni kuondoa shibe wanayoifuata Ccm.

..Ccm inapokea bilioni 13 kila mwezi, wamekamata dola, na bunge, ndio maana wanawayumbisha na kuwahujumu wapinzani.

..suluhisho ni kuwaondoa Ccm walau kwa asilimia 45% ya nafasi za kuchaguliwa.
 
Back
Top Bottom