Zitto Kabwe na Vicky Kamata mwacheni hayati Magufuli apumzike kwa amani huko mbinguni

Tupe ushahidi kuwa wapo chini ya Kikwete mpuuzi wewe! Hujisikii raha bila kumtaja kikwete mwehu wa chato wewe
 
Unakuwaga kajinga sana kama unamung'unya misasati.Waache waongee walivyoumia watoe sumu.******** was a fool as well!
 
Kabebwa na wakabila wenzake! Achana nae mpuuzi tu huyo
 
Hata wamseme vibaya vipi, Yeye ni Yeye na keishaumaliza mwendo. Yupo huko anawasubiri na kama inawezekana, awashughulikie tena!!!!!
Mtu akipewa adhabu ya kifo huambiwa iwe fundisho kwako na wenye tabia kama yako. Lengo hasa ni wenye tabia kama zake. Magufuli anasemwa kwaajili ya wenye tabia kama zake.
 
Mtu akipewa adhabu ya kifo huambiwa iwe fundisho kwako na wenye tabia kama yako. Lengo hasa ni wenye tabia kama zake. Magufuli anasemwa kwaajili ya wenye tabia kama zake.
Kwahiyo JPM "alipewa" adhabu ya kifo? Na nani? He, unajua Mme wa Vicky Kamata nae aliishafariki? Naye "alipewa" adhabu ya kifo? Na nani?
 
Bro kama Magufuli yuko mbinguni sisi hofu yetu ni nini? Si kapumzika huko? Kwani anapata shida gani kama si sisi wenye shida?
 
Bwashee huyo jamaa hayuko mbinguni, wala hata viunga vya mbinguni. Yuko jehanam anaungua na moto mkali sana kutokana na roho yake mbaya na roho za watu kadhaa alizozitoa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…