DIUNATION
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 2,591
- 1,719
Kufa tutakufa ila
Kufa tutakufa ila tufe tukiacha tabasamu duniani. Wewe unadhani ndugu zake Benn Saanane na wengine mpaka leo wanaishi vipi?Ni ibada ambayo itatimizwa na kila mwanadamu siku ikifika, wewe na mimi tutakufa pia nyakati zetu zikifika..