Zitto Kabwe: Ndoto yangu ni kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Zitto Kabwe: Ndoto yangu ni kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Huuoni? Anakemea nini kwa sasa? Nini kinamsukuma, Motivation yake? Yote yanayofanyika sasa awamu hii ni mazuri?

Unafikiri JPM angefanya haya yanayofanyika sasa awamu ya sita angekuwa kimya, ameacha kudai katiba mpya sasa, mikutano huru nk.

Sababu ni ipi? Fungua macho.
Alidai katiba kwa Jiwe waziwazi mkawa kimya. Sasa mnajifanya mnaamka eti katiba. Alipomsumbua mungu wenu mlidai Zito ana mitishamba, haonekani. Zito pambana, achana na waabudu misukule.
 
Hahahahah labda wa Mwandinga tu. Zitto ana tabia za kirundi kirundi. Yaani ni kama mhutu mhutu, chuki zisizokuwa na maana. Yaani uutake urais wakati unamtukama mtu ambaye alikuwa rais na kipenzi cha watanzania?? Hakika Zitto atakufa bila kuwa rais na it will never happen under the system, maana kauli zake zipo rekodedi vizuri kabisa na zitabaki kizazi hadi kizazi. Mnafiki sana mdini na mkabila na hafai
Nina mtizamo tofauti kwamba hakuna binadamu asiyekuwa na udhaifu - sababu za kumunanga Zitto ni nyepesi nyepesi sana. Sababu za kuwa:-
(a). Mkabila - nazikataa sababu wakati akiwa mbunge alitetea uchimbaji dhahabu Buzwagi mahali ambao kuna jamii ya Wasukuma na Wanyamwezi wengi;

(b). Mwenyekiti wa Kamati ya PAC - hoja zake zilijikita ktk kuwa na nidhamu ya matumizi ya fedha za umma;

(c). Safu ya uongozi ACT - katika chama anachoongoza safu yake imeundwa na watendaji wa makabila ya kitanzania na si waha.
Sasa tukimkataa tumkatae kwa sababu zingine lkn ya ukabila haimati kbs.
 
Hahahahah labda wa Mwandinga tu. Zitto ana tabia za kirundi kirundi. Yaani ni kama mhutu mhutu, chuki zisizokuwa na maana. Yaani uutake urais wakati unamtukama mtu ambaye alikuwa rais na kipenzi cha watanzania?? Hakika Zitto atakufa bila kuwa rais na it will never happen under the system, maana kauli zake zipo rekodedi vizuri kabisa na zitabaki kizazi hadi kizazi. Mnafiki sana mdini na mkabila na hafai
Hapo katukana wapi? Mmechanganyikiwa?
 
Nina mtizamo tofauti kwamba hakuna binadamu asiyekuwa na udhaifu - sababu za kumunanga Zitto ni nyepesi nyepesi sana. Sababu za kuwa:-
(a). Mkabila - nazikataa sababu wakati akiwa mbunge alitetea uchimbaji dhahabu Buzwagi mahali ambao kuna jamii ya Wasukuma na Wanyamwezi wengi;

(b). Mwenyekiti wa Kamati ya PAC - hoja zake zilijikita ktk kuwa na nidhamu ya matumizi ya fedha za umma;

(c). Safu ya uongozi ACT - katika chama anachoongoza safu yake imeundwa na watendaji wa makabila ya kitanzania na si waha.
Sasa tukimkataa tumkatae kwa sababu zingine lkn ya ukabila haimati kbs.
ccm wamekosa hoja wamebaku kubwabwaja tu. Achana nao
 

Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema kuwa ndoto yake siku moja ni kuiongoza Tanzania akiwa katika nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

"Mimi urais nautaka, sababu naamini nina uwezo, nina maarifa, nina uzoefu wa kutosha katika siasa kuweza kuiongoza nchi yetu kupiga hatua mbele, lakini siwezi kusema moja kwa moja kuwa nitagombea Urais waka 2025

“Uamuzi wa kugombea unatokana na kudra za Mwenyezi Mungu chama lazima dhamana na baadaye wananchi watoe dhamana.

“Pia kuna kilio cha ushirikiano wa vyama vya upinzani ili kupambana dhidi ya Chama Cha Mapinduzi, kama tutashirikiana inawezekana mgombea nikawa mimi au nisiwe akawa mwingine,” Zitto


Video: Mwananchi
Ana-qualify kabisa katika hiyo nafasi aliyoitaja wala hana shida yoyote kuhusiana na qualifications.

Tatizo llililopo ameshaanza kuji-disqualify yeye mwenyewe kwa ku-deal na mambo ambayo ni marginals, mambo ambayo mtu mwenye ndoto za juu namna hii hatakiwi kabisa kushughulika nayo
 
Kuwa rais wakati unachukia kanda ya ziwa ni ngumu
 

Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema kuwa ndoto yake siku moja ni kuiongoza Tanzania akiwa katika nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

"Mimi urais nautaka, sababu naamini nina uwezo, nina maarifa, nina uzoefu wa kutosha katika siasa kuweza kuiongoza nchi yetu kupiga hatua mbele, lakini siwezi kusema moja kwa moja kuwa nitagombea Urais waka 2025

“Uamuzi wa kugombea unatokana na kudra za Mwenyezi Mungu chama lazima dhamana na baadaye wananchi watoe dhamana.

“Pia kuna kilio cha ushirikiano wa vyama vya upinzani ili kupambana dhidi ya Chama Cha Mapinduzi, kama tutashirikiana inawezekana mgombea nikawa mimi au nisiwe akawa mwingine,” Zitto


Video: Mwananchi
Huyu huyu mwanasiasa aliyeporomoka ktk viwango vya ubora.Hapana kwakweli.Ajirekebishe kwanza tuanze kumuamini kama wakati ule.Anapima kina cha maji kabla hajaingia janja sana huyu.
 
Huyu hafai kuongoza hata mtaa, ni ndumi la kuwili atatuuza mazima tena mchana kweupe!
 

Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema kuwa ndoto yake siku moja ni kuiongoza Tanzania akiwa katika nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

"Mimi urais nautaka, sababu naamini nina uwezo, nina maarifa, nina uzoefu wa kutosha katika siasa kuweza kuiongoza nchi yetu kupiga hatua mbele, lakini siwezi kusema moja kwa moja kuwa nitagombea Urais waka 2025

“Uamuzi wa kugombea unatokana na kudra za Mwenyezi Mungu chama lazima dhamana na baadaye wananchi watoe dhamana.

“Pia kuna kilio cha ushirikiano wa vyama vya upinzani ili kupambana dhidi ya Chama Cha Mapinduzi, kama tutashirikiana inawezekana mgombea nikawa mimi au nisiwe akawa mwingine,” Zitto


Video: Mwananchi
NI haki Yake Kuota hata Mimi niliota Jana kuwa Mimi ni Rais wa Tanzania.
 
Labda Rais wa Kigoma
Tz hiihiiii wakupe nchi khe bro yu na maono naye au
 
Hahahahah labda wa Mwandinga tu. Zitto ana tabia za kirundi kirundi. Yaani ni kama mhutu mhutu, chuki zisizokuwa na maana. Yaani uutake urais wakati unamtukama mtu ambaye alikuwa rais na kipenzi cha watanzania?? Hakika Zitto atakufa bila kuwa rais na it will never happen under the system, maana kauli zake zipo rekodedi vizuri kabisa na zitabaki kizazi hadi kizazi. Mnafiki sana mdini na mkabila na hafai
Pia ni mtu anaenunulika , kama ccm waliweza kumnunua ndio wanaoishika sarafu ya kimataifa watashindwa, huyo ni mpumbavu kama mpumbavu mwengine yeyote tu.
 
Back
Top Bottom