Alidai katiba kwa Jiwe waziwazi mkawa kimya. Sasa mnajifanya mnaamka eti katiba. Alipomsumbua mungu wenu mlidai Zito ana mitishamba, haonekani. Zito pambana, achana na waabudu misukule.Huuoni? Anakemea nini kwa sasa? Nini kinamsukuma, Motivation yake? Yote yanayofanyika sasa awamu hii ni mazuri?
Unafikiri JPM angefanya haya yanayofanyika sasa awamu ya sita angekuwa kimya, ameacha kudai katiba mpya sasa, mikutano huru nk.
Sababu ni ipi? Fungua macho.
Nina mtizamo tofauti kwamba hakuna binadamu asiyekuwa na udhaifu - sababu za kumunanga Zitto ni nyepesi nyepesi sana. Sababu za kuwa:-Hahahahah labda wa Mwandinga tu. Zitto ana tabia za kirundi kirundi. Yaani ni kama mhutu mhutu, chuki zisizokuwa na maana. Yaani uutake urais wakati unamtukama mtu ambaye alikuwa rais na kipenzi cha watanzania?? Hakika Zitto atakufa bila kuwa rais na it will never happen under the system, maana kauli zake zipo rekodedi vizuri kabisa na zitabaki kizazi hadi kizazi. Mnafiki sana mdini na mkabila na hafai
Hapo katukana wapi? Mmechanganyikiwa?Hahahahah labda wa Mwandinga tu. Zitto ana tabia za kirundi kirundi. Yaani ni kama mhutu mhutu, chuki zisizokuwa na maana. Yaani uutake urais wakati unamtukama mtu ambaye alikuwa rais na kipenzi cha watanzania?? Hakika Zitto atakufa bila kuwa rais na it will never happen under the system, maana kauli zake zipo rekodedi vizuri kabisa na zitabaki kizazi hadi kizazi. Mnafiki sana mdini na mkabila na hafai
ccm wamekosa hoja wamebaku kubwabwaja tu. Achana naoNina mtizamo tofauti kwamba hakuna binadamu asiyekuwa na udhaifu - sababu za kumunanga Zitto ni nyepesi nyepesi sana. Sababu za kuwa:-
(a). Mkabila - nazikataa sababu wakati akiwa mbunge alitetea uchimbaji dhahabu Buzwagi mahali ambao kuna jamii ya Wasukuma na Wanyamwezi wengi;
(b). Mwenyekiti wa Kamati ya PAC - hoja zake zilijikita ktk kuwa na nidhamu ya matumizi ya fedha za umma;
(c). Safu ya uongozi ACT - katika chama anachoongoza safu yake imeundwa na watendaji wa makabila ya kitanzania na si waha.
Sasa tukimkataa tumkatae kwa sababu zingine lkn ya ukabila haimati kbs.
Ana-qualify kabisa katika hiyo nafasi aliyoitaja wala hana shida yoyote kuhusiana na qualifications.
Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema kuwa ndoto yake siku moja ni kuiongoza Tanzania akiwa katika nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
"Mimi urais nautaka, sababu naamini nina uwezo, nina maarifa, nina uzoefu wa kutosha katika siasa kuweza kuiongoza nchi yetu kupiga hatua mbele, lakini siwezi kusema moja kwa moja kuwa nitagombea Urais waka 2025
“Uamuzi wa kugombea unatokana na kudra za Mwenyezi Mungu chama lazima dhamana na baadaye wananchi watoe dhamana.
“Pia kuna kilio cha ushirikiano wa vyama vya upinzani ili kupambana dhidi ya Chama Cha Mapinduzi, kama tutashirikiana inawezekana mgombea nikawa mimi au nisiwe akawa mwingine,” Zitto
Video: Mwananchi
Huyu huyu mwanasiasa aliyeporomoka ktk viwango vya ubora.Hapana kwakweli.Ajirekebishe kwanza tuanze kumuamini kama wakati ule.Anapima kina cha maji kabla hajaingia janja sana huyu.
Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema kuwa ndoto yake siku moja ni kuiongoza Tanzania akiwa katika nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
"Mimi urais nautaka, sababu naamini nina uwezo, nina maarifa, nina uzoefu wa kutosha katika siasa kuweza kuiongoza nchi yetu kupiga hatua mbele, lakini siwezi kusema moja kwa moja kuwa nitagombea Urais waka 2025
“Uamuzi wa kugombea unatokana na kudra za Mwenyezi Mungu chama lazima dhamana na baadaye wananchi watoe dhamana.
“Pia kuna kilio cha ushirikiano wa vyama vya upinzani ili kupambana dhidi ya Chama Cha Mapinduzi, kama tutashirikiana inawezekana mgombea nikawa mimi au nisiwe akawa mwingine,” Zitto
Video: Mwananchi
NI haki Yake Kuota hata Mimi niliota Jana kuwa Mimi ni Rais wa Tanzania.
Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema kuwa ndoto yake siku moja ni kuiongoza Tanzania akiwa katika nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
"Mimi urais nautaka, sababu naamini nina uwezo, nina maarifa, nina uzoefu wa kutosha katika siasa kuweza kuiongoza nchi yetu kupiga hatua mbele, lakini siwezi kusema moja kwa moja kuwa nitagombea Urais waka 2025
“Uamuzi wa kugombea unatokana na kudra za Mwenyezi Mungu chama lazima dhamana na baadaye wananchi watoe dhamana.
“Pia kuna kilio cha ushirikiano wa vyama vya upinzani ili kupambana dhidi ya Chama Cha Mapinduzi, kama tutashirikiana inawezekana mgombea nikawa mimi au nisiwe akawa mwingine,” Zitto
Video: Mwananchi
ccm wamekosa hoja wamebaku kubwabwaja tu. Achana nao
Wanaomnanga Zitto ni CDM si CCMccm wamekosa hoja wamebaku kubwabwaja tu. Achana nao
Pia ni mtu anaenunulika , kama ccm waliweza kumnunua ndio wanaoishika sarafu ya kimataifa watashindwa, huyo ni mpumbavu kama mpumbavu mwengine yeyote tu.Hahahahah labda wa Mwandinga tu. Zitto ana tabia za kirundi kirundi. Yaani ni kama mhutu mhutu, chuki zisizokuwa na maana. Yaani uutake urais wakati unamtukama mtu ambaye alikuwa rais na kipenzi cha watanzania?? Hakika Zitto atakufa bila kuwa rais na it will never happen under the system, maana kauli zake zipo rekodedi vizuri kabisa na zitabaki kizazi hadi kizazi. Mnafiki sana mdini na mkabila na hafai
AYATOLLAH ZITTO ZUBERI KABWE