kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Kombinesheni ya hatari!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kombinesheni ya hatari!
Kombinesheni ya hatari!View attachment 1353563
HahahZitto don't come back... Yanakutolea udenda
Vipi unahisi homa naona umeishiwa na nguvu ghafla!
Nadhani anamsubiri Mbowe huko Marekani!
Nadhani anamsubiri Mbowe huko Marekani!
Nikanyage mara ngapi, kwani unajua niko wapi wewe?...Kudadadeki USA hamkanyagi hata kwenda kuuliza hospitali gani hamuwezi, ushamba wenu mnashindwa padogo sana na wenye akili.
Tunamuombea kwa Mungu apate nafuu ya haraka.Hii ni kwa mujibu wa mdhamini wake alipokuwa anaiambia Mahakama kisa cha Zitto kutokuwepo mahakamani leo ambapo kesi yake ya uchochezi imesomwa tena.
========
Heri Kimbita ambaye Mdhamini wa Zitto Kabwe, ameiambia Mahakama leo kwamba, Zitto Kabwe anaumwa na amelazwa huko Marekani. Madaktari wake wamemzuia asisafiri na kumuambia apumzike siku zisizopungua kumi ili waangalie afya yake inaendeleaje.
Kesi yake imeahirishwa hadi tarehe 19 Februari 2020.
Leo Mahakama ilikuwa itoe maamuzi kama ndugu Zitto ana kesi ya kujibu ama vinginevyo.
Zitto anadaiwa Oktoba 28, 2018 akiwa katika mkutano na waandishi wa habari, uliofanyika katika Makao Mkuu ya ofisi ya Chama cha ACT Wazalendo, alitoa maneno ya uchochezi yenye kuleta hisia ya hofu na chuki.
Ilidaiwa kuwa katika tarehe hiyo hiyo, Zitto alitoa maneno ya uchochezi dhidi ya Jeshi la Polisi akisema, “Tumekuwa tukifuatilia kwa kia yanayojiri yote huko Uvinza, tunasikitika kusema kuwa taarifa tunazozipata kutoka Uvinza zinaogofya mno, kwani tunaambiwa kuwa wananchi zaidi ya 100 wa kabila la Wanyantuzu wamepoteza maisha kwa kupigwa risasi na Polisi, wengine wakisema kuuawa hata wakiwa kwenye matibabu hospitalini baada ya kujeruhiwa kwenye purukushani na jeshi la polisi...”
Hii ni kwa mujibu wa mdhamini wake alipokuwa anaiambia Mahakama kisa cha Zitto kutokuwepo mahakamani leo ambapo kesi yake ya uchochezi imesomwa tena.
========
Heri Kimbita ambaye Mdhamini wa Zitto Kabwe, ameiambia Mahakama leo kwamba, Zitto Kabwe anaumwa na amelazwa huko Marekani. Madaktari wake wamemzuia asisafiri na kumuambia apumzike siku zisizopungua kumi ili waangalie afya yake inaendeleaje.
Kesi yake imeahirishwa hadi tarehe 19 Februari 2020.
Leo Mahakama ilikuwa itoe maamuzi kama ndugu Zitto ana kesi ya kujibu ama vinginevyo.
Zitto anadaiwa Oktoba 28, 2018 akiwa katika mkutano na waandishi wa habari, uliofanyika katika Makao Mkuu ya ofisi ya Chama cha ACT Wazalendo, alitoa maneno ya uchochezi yenye kuleta hisia ya hofu na chuki.
Ilidaiwa kuwa katika tarehe hiyo hiyo, Zitto alitoa maneno ya uchochezi dhidi ya Jeshi la Polisi akisema, “Tumekuwa tukifuatilia kwa kia yanayojiri yote huko Uvinza, tunasikitika kusema kuwa taarifa tunazozipata kutoka Uvinza zinaogofya mno, kwani tunaambiwa kuwa wananchi zaidi ya 100 wa kabila la Wanyantuzu wamepoteza maisha kwa kupigwa risasi na Polisi, wengine wakisema kuuawa hata wakiwa kwenye matibabu hospitalini baada ya kujeruhiwa kwenye purukushani na jeshi la polisi...”
Narudia tena ! Hakuna mtu mnafiki na muongo kama Zitto ! Sasa anataka kukimbia kesi, kivuli chako unakikimbia ?hakusema haogopi kuumwa