Zitto Kabwe ni mgonjwa alazwa Marekani, madaktari wamtaka asisafiri

Tunamuombea kwa Mungu apate nafuu ya haraka.
 

February 10, 2020
Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkuu
Kisutu, Dar es Salaam, Tanzania

Habari toka mahakamani, Mh. Zitto Kabwe kiongozi Mkuu wa ACTWazalendo amepata udhuru na kushindwa kufika Mahakamani kutokana na ushauri wa daktari kutokana na hali yake ya kiafya.


Source: VOA Swahili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…