Wajumbe wamefanya yao...Chenge Hakuchukua fomu?
Majina ya mfukoni hakuwemo ingawa alishinda kura za maoni kwa mbali sanaChenge Hakuchukua fomu?
Chenge hata kama ni nguli wa wa sheria. Bado miaka zaidi ya 30 awapishe wengine..
Hasna ana nini na Zitto? Mpenzi wake? Mbona hai make sense?
Nsazugwako ni mtanzania kweli? Mbona jina la kihutu?
Majina ya mfukoni hakuwemo ingawa alishinda kura za maoni kwa mbali sana
Kwa hiyo yeye Zito na chama chake hawataweka wagombea majimbo yenye watu wazoefu aina ya Chenge ili wapite bila kupingwa!
Siasa za bongo bhana.
Hahahaha nimeshia kuchekaChenge hata kama ni nguli wa wa sheria. Bado miaka zaidi ya 30 awapishe wengine..
Hasna ana nini na Zitto? Mpenzi wake? Mbona hai make sense?
Nsazugwako ni mtanzania kweli? Mbona jina la kihutu?