Zitto Kabwe: Nimesikitika Bunge la 12 kuwakosa watu muhimu kama Mzee Chenge

Zitto Kabwe: Nimesikitika Bunge la 12 kuwakosa watu muhimu kama Mzee Chenge

Dam55,

Ngoja iendelee kuwa tetesi, wenye picha zao watatoa ufafanuzi kuna ukweli % ngapi
 
Dam55,

HUWA simwelewi zito huwa adui yake haswa ni nani katika siasa za Tanzania
 
Anaandika mh Zitto Zuberi Kabwe kwenye ukurasa wake wa Twitter.

"Tupo tayari kwa Uchaguzi. Kwa upande wa majimbo tumeona tunaokwenda kushindana nao. Kwa Kigoma nimesikitika kuwa sauti muhimu kama Nsanzugwanko, Serukamba na Hasna hawatakuwapo Bunge la 12. Kwa Nchi uzoefu wa Mzee Chenge tutaukosa hasa kipindi hiki watu wanataka kubadili Katiba."

View attachment 1543135

My Take
; naanza kupata mashaka na upinzani wa Zitto.
Huyu Chenge si ndio alimtaja kuwa ni fisadi papa huyu?
Ni njia mojawapo ya kumpata kiurahisi nae akanyee ndoo na akina seti
 
Anaandika mh Zitto Zuberi Kabwe kwenye ukurasa wake wa Twitter.

"Tupo tayari kwa Uchaguzi. Kwa upande wa majimbo tumeona tunaokwenda kushindana nao. Kwa Kigoma nimesikitika kuwa sauti muhimu kama Nsanzugwanko, Serukamba na Hasna hawatakuwapo Bunge la 12. Kwa Nchi uzoefu wa Mzee Chenge tutaukosa hasa kipindi hiki watu wanataka kubadili Katiba."

View attachment 1543135

My Take
; naanza kupata mashaka na upinzani wa Zitto.
Huyu Chenge si ndio alimtaja kuwa ni fisadi papa huyu?
Zitto hua Ni ndumila kuwili haaminiki
 
Kwahiyo wapinzani mlipanga msisinde kwenye hayo majimbo?

..2015 nilitamani Chenge ashindwe na mgombea wa CDM.

..Chenge ana mchango wenye tija kuliko wabunge wengi vilaza wa ccm mle bungeni.

..Wakati mwingine ilikuwa afadhali Chenge aongoze kikao cha bunge kuliko Spika Ndugai.

..ila inapofika suala la wapinzani kuongeza wabunge, niko radhi Chenge asiwepo bungeni.

..Nadhani umenipata. This is not a "BINARY" thought process.
 
Nimekumbuka waliomuita Lowasa Fisadi kwa miaka 8, kisha wakaja kumpa ugombea uraisi kwa chama chao!.

Anyway, Naona Zitto anatuma meseji kwa wananchi wa Kigoma kuwa Wagombea walioletwa hawatoshi!
 
Chenge hata kama ni nguli wa wa sheria. Bado miaka zaidi ya 30 awapishe wengine..

Hasna ana nini na Zitto? Mpenzi wake? Mbona hai make sense?

Nsazugwako ni mtanzania kweli? Mbona jina la kihutu?

Mi nimeshangaa kabla uchaguzi haujafanyika anasikitika.

Nimewaza majimbo hayo kaweka wagombea wake?

Huku akiamini hawa wageshinda.

Yaani anaenda kwenye kampeni huku anaamini CCM inaenda kushinda
 
Huyu Chenge kala mpaka ameshiba ni bora apumzike sasa.
 
Dam55,

Nimeangalia hii post mara 5 kuhakiki tarehe kama za nyuma au ni current! Huyu Kabwe ni mgonjwa eeh! Anasema atamic uzoefu wa mzee Chenge wa rushwa na Ufusadi! Huyu kijana Zt wakati mwingine ananishawishi nimkubali but sometimes namwona kama kinyonga, nyoka na sometimes a human being!!
 
Zito badala ya kudili na yachama chake ana dili na chama kingine inamaana hao anaowapenda angewasaidia washinde kwa chama kingine sio chake!!
 
Back
Top Bottom