Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna hii tuhuma sijui ni ya kweli au ndio udaku tu
View attachment 1543209View attachment 1543210
View attachment 1543211
Nimeikuta huko Twitter.
Ni njia mojawapo ya kumpata kiurahisi nae akanyee ndoo na akina setiAnaandika mh Zitto Zuberi Kabwe kwenye ukurasa wake wa Twitter.
"Tupo tayari kwa Uchaguzi. Kwa upande wa majimbo tumeona tunaokwenda kushindana nao. Kwa Kigoma nimesikitika kuwa sauti muhimu kama Nsanzugwanko, Serukamba na Hasna hawatakuwapo Bunge la 12. Kwa Nchi uzoefu wa Mzee Chenge tutaukosa hasa kipindi hiki watu wanataka kubadili Katiba."
View attachment 1543135
My Take; naanza kupata mashaka na upinzani wa Zitto.
Huyu Chenge si ndio alimtaja kuwa ni fisadi papa huyu?
Zitto hua Ni ndumila kuwili haaminikiAnaandika mh Zitto Zuberi Kabwe kwenye ukurasa wake wa Twitter.
"Tupo tayari kwa Uchaguzi. Kwa upande wa majimbo tumeona tunaokwenda kushindana nao. Kwa Kigoma nimesikitika kuwa sauti muhimu kama Nsanzugwanko, Serukamba na Hasna hawatakuwapo Bunge la 12. Kwa Nchi uzoefu wa Mzee Chenge tutaukosa hasa kipindi hiki watu wanataka kubadili Katiba."
View attachment 1543135
My Take; naanza kupata mashaka na upinzani wa Zitto.
Huyu Chenge si ndio alimtaja kuwa ni fisadi papa huyu?
Kwahiyo wapinzani mlipanga msisinde kwenye hayo majimbo?
Alifikishwa mahakamani kwa ufisadi na kukutwa na hatia?Hilo fisadi nalo unalimiss vipi?
Chenge hata kama ni nguli wa wa sheria. Bado miaka zaidi ya 30 awapishe wengine..
Hasna ana nini na Zitto? Mpenzi wake? Mbona hai make sense?
Nsazugwako ni mtanzania kweli? Mbona jina la kihutu?
Nami nimeshangaaZitto ni mjinga, sasa si ndio vizuri ili upinzani ushinde kwenye hayo majimbo?? Ina chama chake walikuwa wanagombea kama geresha?
SarcasmHiyo lugha imejaa fasihi iliyofichwa mkuu.jiongeze tu kumwelewa.
Hapo ndio muone unafiki wa Zitto.Hiyo si inakuwa advantage kwa upinzani kushinda kwenye hayo majimbo? Au alikuwa hataki upinzani ushinde?
Humjui Zitto hapo anafanya uchonganishi to.Huyu zitto ni mjinga, sasa hapo si ndio inakuwa vizuri upinzani kushinda? Au alikuwa hataki upinzani ushinde kwenye hayo majimbo?