Zitto Kabwe: Nimesikitika Bunge la 12 kuwakosa watu muhimu kama Mzee Chenge

Zitto Kabwe: Nimesikitika Bunge la 12 kuwakosa watu muhimu kama Mzee Chenge

Yaani Zitto anataka kutuaminisha kwamba hao watu kama wangetangazwa na CCM basi wangeshinda uchaguzi automatically? Mentality ya kushindwa hii. Now you know what Zitto believes. Hata kwa huyo Membe wao, seems Zitto anajua kabisa hawezi kutoboa
 
Kwa hiyo yeye Zito na chama chake hawataweka wagombea majimbo yenye watu wazoefu aina ya Chenge ili wapite bila kupingwa!

Siasa za bongo bhana.

Hapo hujamuelewa imetumuka fasihi , nahau na lugha ya kisiasa
 
Kuna nafasi 10 za Raisi. By the way kwa maelezo ya Zitto ina maana ACT hawaingii kwenye uchaguzi ili washinde bali ni ushiriki tuu.
 
Chenge hata kama ni nguli wa wa sheria. Bado miaka zaidi ya 30 awapishe wengine..

Hasna ana nini na Zitto? Mpenzi wake? Mbona hai make sense?

Nsazugwako ni mtanzania kweli? Mbona jina la kihutu?
Nzanzugwanko Ni mtu wa kasulu wanasikilizana kila kitu na warundi Kama alivyo Mwami Zitto Ruyagwa,Mwami alikua mtemi wa warundi
 
Kwa lugha nyingine ni kwamba anajua na ameshakata tamaa kuwa hayo majimbo ACT haiwezi kuyachukua.
 
Zitto anajua kabisa ccm wanachukua dola tena amebakia tu yule muasi anajitumainisha ushindi wa kwenye tweeter
 
ACT haina wagombea majimbo mengi tu, ni namna nzuri kwa Zitto kuwakaribisha hao wakongwe... ikiwa kuna namna ya figisu imetumika kuwang’oa basi watahamia na kugombea.
 
Leo uzoefu wa Chenge unaliliwa! Nikikumbuka yale matusi yetu [emoji41]

Siasa zetu hizi, usishangae miaka ijayo wapinzani wakamuimbia mapambio kama haya Makonda ambaye utawala huu katukanwa matusi yote.
 
Back
Top Bottom