Zitto Kabwe: Nimesikitika Bunge la 12 kuwakosa watu muhimu kama Mzee Chenge

Zitto Kabwe: Nimesikitika Bunge la 12 kuwakosa watu muhimu kama Mzee Chenge

Mkuu uwe unajua kucheza na ujumbe uliofichika ndani ya maneno, kuna kombora zito sana hapo limemfikia mlengwa, ni sawa na marekani trump aliposema kafadhaishwa na mpinzani wa democrat, sandera kutopitishwa balu akapitishwa huyu mwepesi zaidi joe biden.

Usipokuwa na uwezo wa kucheza na maneno huwezi kuelewa
 
Chenge ni mgonjwa sana haziwezi,nilikuwa mmoja wa wajumbe,jamaa alishindwa kubeba kula zake,apumzike tu

California love
 
Chenge umri apumzike sasa, na inawezekana aliwasiliana na mwenyekiti wake akamwambia kuhusu hilo,kushindwa kura za maoni tu kwa mtu mzito kama yule hakuwezi kuwa ndio sababu, angechomekwa tu kama angetaka.
 
Ambae hakuwa anamfahamu Zitto ni nani sasa ni wakati muafaka wa kumfahamu yeye ni nani na chama chake, katafuna kila kitu ni kumeza tu.
 
Zitto Na Chama chake sio wa kuamini kabisa
huyu zitto Kuna machapisho yake Mengi KUWA Chenge Ni Fisadi Papa #Haguswi ndani ya CCM
leo kakurupuka kusifia mpuuzi huyu
 
Zitto Na Chama chake sio wa kuamini kabisa
huyu zitto Kuna machapisho yake Mengi KUWA Chenge Ni Fisadi Papa #Haguswi ndani ya CCM
leo kakurupuka kusifia mpuuzi huyu

Wa kuamini ni wale waliomuita Lowasa Fisadi kisha wakamfanya mgombea wa chama chao!
 
Leo uzoefu wa Chenge unaliliwa! Nikikumbuka yale matusi yetu. Siasa zetu hizi, usishangae miaka ijayo wapinzani wakamuimbia mapambio kama haya Makonda ambaye utawala huu katukanwa matusi yote.
Ukitulia utamuelewa ZZK
 
Hivi kweli Serukamba hayupo?. Alishika nafasi ya ngapi kwenye kura za maoni?.
 
Kwani akiyekuambia Zitto ni mpinzani kwa sasa ni nani? Bei ilitimia kumtoa Chadema na kumleta kwetu. Yuko kwenye umbrella zenu anatekeleza majukumu yake.
Zitto siyo mpinzani, anatumika na usalama ila Mch Msigwa anaekula meza moja na jiwr na kuhudhuria vikao vyote vya juu vya CHADEMA tunamwamini.

Chadema sijui mnavuta mavi ya popo, aisee
 
Unajua huwezi kupinga kila kitu, mimi ni cdm lakini wapo ccm ninawakubali sana kwa ubunge hata uwaziri.
Zitto yuko sahihi Chenge ana nafasi muhimu bungeni kwa upande wa sheria
 
Dam55,

Serious? With all the harm the guys have done to the sons and daughters of this coub, you still back them for the long ride?
A crop of new political generation is needed, and Zk isn't one of them
 
Hivi kwani ukiwa mwanasiasa hakuna qualities ambazo unaweza kuwa unaziadmire kwa mpinzani wako?

Bora Zitto kamsifu chenge angali hai, wengine wanasubiri afe ndo wasifu ubobezi wake kwenye mambo ya sheria.

Nahisi kama kuna watu wanadhani siasa ni uadui!
 
Hakuna mpinzani hapo hao wanalinda ajira zao tu. Sasa ikiwa Chenge alipenya kwa mlungura anataka nini kifanyike. Na hao wa Kigoma muda wao umewadia acha wengine waingie
 
Back
Top Bottom