Zitto Kabwe: Nimesikitika Bunge la 12 kuwakosa watu muhimu kama Mzee Chenge

Zitto Kabwe: Nimesikitika Bunge la 12 kuwakosa watu muhimu kama Mzee Chenge

Hawa hapa hajasikitika kuwakosa mpaka wenye digrii kumi na Saba wametemwa , na yule aliyewaambia wajumbe wakati anaenda kuomba ubunge hakuwa na njaa.

IMG_20200820_191824.jpg
Screenshot_20200820-190407.png
 
Sitaki kuamini kuwa Chenge amekatwa kwa sababu ya tuhuma za ufisadi! Na wengine je: Masele, Kafumu, Serukamba, Adadi, nk? Kuna pattern fulani hapa; kuna mambo mengi wanafanana. Kwa mtazamo wangu binafsi naona kwa sehemu kubwa wote hawa ni watu wenye upeo mkubwa kuliko wenzao wengi; wanaojua nini maana ya kuwa mbunge; wanaojiamini na wenye mawazo huru zaidi kuliko wenzao. Hawa ni viongozi wa wananchi ambao hawakuonekana sana kutumikia serikali kuliko wananchi wanaowawakilisha.
 
Zitto siyo mpinzani, anatumika na usalama ila Mch Msigwa anaekula meza moja na jiwr na kuhudhuria vikao vyote vya juu vya CHADEMA tunamwamini.

Chadema sijui mnavuta mavi ya popo, aisee
Aisee hapa issue inayoongelewa ni Zitto siyo Msigwa. By the way Mimi siyo Chadema. Soma post yangu aelewe. Ukileta ya Msigwa nitandika yanayomhusu Msigwa. Sasa post inahusu Zitto unataka niseme ya Msigwa au Kitila Mkumbo? Niko specific Mimi.
 
Bado kuna watu huwa wanaamini Zitto ni mpinzani. Kwahiyo chenge angepitishwa asingemsapoti mgombea wake wa act.

OPPORTUNIST BY NATURE
 
Kwani akiyekuambia Zitto ni mpinzani kwa sasa ni nani? Bei ilitimia kumtoa Chadema na kumleta kwetu. Yuko kwenye umbrella zenu anatekeleza majukumu yake.
Hivi Zitto kutoka CHADEMA alitoka kununuliwa, alihama mwenyewe au alifukuzwa?

Si alipeleka shauri mahakamani kabisa kupinga kufukuzwa uanachama CHADEMA?
 
2Dam55,

Hujamuelewa zitto. Tuliomuelewa hatuna mashaka na maneno haya.
 
Hivi Zitto kutoka CHADEMA alitoka kununuliwa, alihama mwenyewe au alifukuzwa?

Si alipeleka shauri mahakamani kabisa kupinga kufukuzwa uanachama CHADEMA?
Kupeleka shauri mahakamani ilikuwa ni kuficha ukweli au niseme uhalisia . Kufukuzwa ni matokeo ya mipango ilivuja. Kundi lake na Kitila na Habibu Mchange umelisahau? Hivyo ufahamu kila chama cha Siasa kina mikakati yake na CCM tuko vizuri kwa hilo. Chama Dume
 
Kwani mkuu kuna usemi unasema mama wa kambo sii mama ,wewe wakati wakumsalia mama yako wa kambo wamsalimiaje ?
 
Chenge umri apumzike sasa, na inawezekana aliwasiliana na mwenyekiti wake akamwambia kuhusu hilo,kushindwa kura za maoni tu kwa mtu mzito kama yule hakuwezi kuwa ndio sababu, angechomekwa tu kama angetaka.
Chenge hakushindwa kura za maoni ...Aliongoza
 
dingi akimtaka atamteua kuwa mbunge alafu awepo bungeni zito afurahie hadi meno ya mwisho yaonekane
 
Hata saa mbovu kuna wakati inasema ukweli. Chenge Ana madhaifu yake ila pia anayo mazuri
 
Siasa za bongo bwana, inamaana alitaka awe yeye tu utadhan hakuna wengine? Amkaribishe ACT
 
Back
Top Bottom