Zitto Kabwe: Nimesikitika Bunge la 12 kuwakosa watu muhimu kama Mzee Chenge

Zitto Kabwe: Nimesikitika Bunge la 12 kuwakosa watu muhimu kama Mzee Chenge

Natafakari sana safari ya upinzani tangu 1995 ilivyodhoofishwa na mapandikizi. Hivi karibuni vyama vya ACT na CHADEMA ndo vimejinasibu na kuonesha taswira ya upinzani halisi.

Lakini baada ya CCM kutangaza wagombea wake, viongozi wakuu Zitto na mgombea urais Membe wameonekana kuguswa kwa sababu ya kukatwa kwa baadhi ya makada. Wakati Zitto akimlilia fisadi namba moja mzee wa visenti, Membe ametoa pongezi kwa waliopitishwa na akatoa pole kwa waliokatwa.

Tuzidi kutafakari kama kweli ACT ni chama cha upinzani
 
Natafakari sana safari ya upinzani tangu 1995 ilivyodhoofishwa na mapandikizi. Hivi karibuni vyama vya ACT na CHADEMA ndo vimejinasibu na kuonesha taswira ya upinzani halisi.

Lakini baada ya CCM kutangaza wagombea wake, viongozi wakuu Zitto na mgombea urais Membe wameonekana kuguswa kwa sababu ya kukatwa kwa baadhi ya makada. Wakati Zitto akimlilia fisadi namba moja mzee wa visenti, Membe ametoa pongezi kwa waliopitishwa na akatoa pole kwa waliokatwa.

Tuzidi kutafakari kama kweli ACT ni chama cha upinzani
Achana nao hao.

We si umesikia Maalim Seif anaumwa???? Tena kipindi hiki!!!!

We unadhani ni kazi ya nani hiyo kama sio Zitto na Membe.

Zitto lazima atakuwa Afisa Kipenyo tu. Dhamira yangu siku zote imekataa kumuamini Zitto
 
Achana nao hao.

We si umesikia Maalim Seif anaumwa???? Tena kipindi hiki!!!!

We unadhani ni kazi ya nani hiyo kama sio Zitto na Membe.

Zitto lazima atakuwa Afisa Kipenyo tu. Dhamira yangu siku zote imekataa kumuamini Zitto
Kwani wale wabunge kibao wa Chadema mliokuwa mkiwaamini wamewafikisha wapi leo hii?!

Na ambao walikuwa wakimnanga na kumzungumza Zitto kama msaliti, leo wao ndio watangazaji wakuu wa sera za CCM.

Bunge ni ofisi kama ofisi nyinginezo ndugu, na wabunge ni staff kama staff wengine, hata kama wanatoka vyama tofauti ila fahamu kuwa wakutanapo huwa wanapiga stori na kugongesha tano. Na wana urafiki na mapenzi baina yao.

Sasa sisi watu wa chini ambao tunatumika tu kama madaraja kuwafikisha hao wanasiasa kwenye keki ya taifa ndio twachukulia siasa kama diiiili kiasi kwamba twatamani mbunge mpinzani na wa chama dola wasizungumze wala kupongezana.

Zitto kwa mie namuona anafanya siasa za kistarabu sana...si za uadui. Na nafurahi nikipitia ukurasa wake wa twitter nakuta habari hadi za kuinadi Chadema ikiwemo za kumnadi Lissu, mikutano yake na kuwatetea wanasiasa wa Chadema wanaopatwa na misukosuko. Hilo Chadema hawaliwezi...
 
Natafakari sana safari ya upinzani tangu 1995 ilivyodhoofishwa na mapandikizi. Hivi karibuni vyama vya ACT na CHADEMA ndo vimejinasibu na kuonesha taswira ya upinzani halisi.

Lakini baada ya CCM kutangaza wagombea wake, viongozi wakuu Zitto na mgombea urais Membe wameonekana kuguswa kwa sababu ya kukatwa kwa baadhi ya makada. Wakati Zitto akimlilia fisadi namba moja mzee wa visenti, Membe ametoa pongezi kwa waliopitishwa na akatoa pole kwa waliokatwa.

Tuzidi kutafakari kama kweli ACT ni chama cha upinzani
Namshauri Zitto awe makini Sana ! Ajikite Na Wagombea wa Chama chake . Akiache Chama cha Mapinduzi Na Mipango yake .
 
Natafakari sana safari ya upinzani tangu 1995 ilivyodhoofishwa na mapandikizi. Hivi karibuni vyama vya ACT na CHADEMA ndo vimejinasibu na kuonesha taswira ya upinzani halisi.

Lakini baada ya CCM kutangaza wagombea wake, viongozi wakuu Zitto na mgombea urais Membe wameonekana kuguswa kwa sababu ya kukatwa kwa baadhi ya makada. Wakati Zitto akimlilia fisadi namba moja mzee wa visenti, Membe ametoa pongezi kwa waliopitishwa na akatoa pole kwa waliokatwa.

Tuzidi kutafakari kama kweli ACT ni chama cha upinzani
Hapo wananchi ndo muamke, wapinzani ni matapeli
 
Mtemi Andrew Chenge kalisaidia sana hili Taifa hasa upande wa Sheria pamoja na udhaifu wa hapa na pale

Andrewa ndio alikuwa Engine ya Sheria kwny mambo yote ya Utawala wa Mzee Mkapa

Hizi TRA, TANROAD, EWURA, HESLB, PCCB, SUMATRA, NHIF n.k ni kazi za Mzee Chenge

Tunawezaje kusifia mazuri ya Mzee Mkapa kwny kuimarisha Institutionalization ya Nchi bila ya kumtaja Mwamba huyu?

Kwa upande wa Ofisi ya AG mpaka leo pengo lake halizibi

Andrew ni Akili kubwa sana sana
 
Mtemi Andrew Chenge kalisaidia sana hili Taifa hasa upande wa Sheria pamoja na udhaifu wa hapa na pale

Andrewa ndio alikuwa Engine ya Sheria kwny mambo yote ya Utawala wa Mzee Mkapa

Hizi TRA, TANROAD, EWURA, HESLB, PCCB, SUMATRA, NHIF n.k ni kazi za Mzee Chenge

Tunawezaje kusifia mazuri ya Mzee Mkapa kwny kuimarisha Institutionalization ya Nchi bila ya kumtaja Mwamba huyu?

Kwa upande wa Ofisi ya AG mpaka leo pengo lake halizibi

Andrew ni Akili kubwa sana sana
Mtu mwenye akili kubwa hawezi kuwa mwizi..(Nyerere)
 
Mtemi Andrew Chenge kalisaidia sana hili Taifa hasa upande wa Sheria pamoja na udhaifu wa hapa na pale

Andrewa ndio alikuwa Engine ya Sheria kwny mambo yote ya Utawala wa Mzee Mkapa

Hizi TRA, TANROAD, EWURA, HESLB, PCCB, SUMATRA, NHIF n.k ni kazi za Mzee Chenge

Tunawezaje kusifia mazuri ya Mzee Mkapa kwny kuimarisha Institutionalization ya Nchi bila ya kumtaja Mwamba huyu?

Kwa upande wa Ofisi ya AG mpaka leo pengo lake halizibi

Andrew ni Akili kubwa sana sana
Kasaidia kuleta sheria kandamizi au siyo!
 
Chama kimepoooza kile....!!!!

Kwani tukikiita ni cha wazee tutakuwa tumevunja katiba?

Ongea yao! Yote ni ya kizee hata uwe kijana vipi utalazimika uongee kizee, sjui vipi?
 
Hujui maana ya akili ndio sababu unachanganya kati ya akili na matumizi ya akili

Alieteketeza Hiroshima kwa Nuclear 1945 na kuua wasio na hatia kuna wenzio pia wanasema hakuwa na akili
Mtu mwenye akili kubwa hawezi kuwa mwizi..(Nyerere)
 
Hivi yeye hakujiskitikia! Daah! bunge limebadilika ghafla sana
 
Sasahivi ni vilio tu huko kambi ya upande wa pili.
 
Ukweli na uongo havichangamani

Hongera watanzania, hongera kwa Rais John Pombe Joseph Magufuli

Maendeleo hayana vyama, Tanzania kwanza[emoji7][emoji1241][emoji120]
 
Huyu mtu wa hovyo kweli yaani yeye kuwepo bungeni anafikiri ndiyo mwenye akili kuliko wore? Mwambieni shule alizosoma Hakuna peke yake wala siyo yeye alikuwa akiwaongoza kila darasa pia akumbuka hata yeye akifa Tanzania itaendelea kuimarika asijione bora sana kuliko wengine. Namkumbusha Tz imeanza kabla yeye kuwa mwanasiasa.
 
Back
Top Bottom