Zitto Kabwe: Nimesikitika Bunge la 12 kuwakosa watu muhimu kama Mzee Chenge

Zitto Kabwe: Nimesikitika Bunge la 12 kuwakosa watu muhimu kama Mzee Chenge

Majina ya mfukoni hakuwemo ingawa alishinda kura za maoni kwa mbali sana
Ni kweli jina la mfukoni ndilo limepita wengi hasa waliopiga pesa kawakata majina yao
 
"Tupo tayari kwa Uchaguzi. Kwa upande wa majimbo tumeona tunaokwenda kushindana nao."Nafasi ya uraisi nyie ACT mwachieni LISSU ebo..
 
Chenge amelitendea Nini taifa hili zaidi ya kuliibia dola kibao. Chenge alifanya biashara gani halali ktk ofice ya AG mpaka apate zaidi ya dola milioni ?
 
Yani Zitto aliisha waachia majimbo CCM?! Mpuuzi kabisa huyu hafai kuungana na CHADEMA.
ACT wana ndoa na ccm?!
 
Anaandika mh Zitto Zuberi Kabwe kwenye ukurasa wake wa Twitter.

"Tupo tayari kwa Uchaguzi. Kwa upande wa majimbo tumeona tunaokwenda kushindana nao. Kwa Kigoma nimesikitika kuwa sauti muhimu kama Nsanzugwanko, Serukamba na Hasna hawatakuwapo Bunge la 12. Kwa Nchi uzoefu wa Mzee Chenge tutaukosa hasa kipindi hiki watu wanataka kubadili Katiba."


My Take; naanza kupata mashaka na upinzani wa Zitto. Huyu Chenge si ndio alimtaja kuwa ni fisadi papa huyu?
Zito anawataka AC kusudi ikiwezekana wamuongezee ruzuku.
 
Ina
Anaandika mh Zitto Zuberi Kabwe kwenye ukurasa wake wa Twitter.

"Tupo tayari kwa Uchaguzi. Kwa upande wa majimbo tumeona tunaokwenda kushindana nao. Kwa Kigoma nimesikitika kuwa sauti muhimu kama Nsanzugwanko, Serukamba na Hasna hawatakuwapo Bunge la 12. Kwa Nchi uzoefu wa Mzee Chenge tutaukosa hasa kipindi hiki watu wanataka kubadili Katiba."


My Take; naanza kupata mashaka na upinzani wa Zitto. Huyu Chenge si ndio alimtaja kuwa ni fisadi papa huyu?
Inamaana zito alitaka hawa washinde?
 
Anaandika mh Zitto Zuberi Kabwe kwenye ukurasa wake wa Twitter.

"Tupo tayari kwa Uchaguzi. Kwa upande wa majimbo tumeona tunaokwenda kushindana nao. Kwa Kigoma nimesikitika kuwa sauti muhimu kama Nsanzugwanko, Serukamba na Hasna hawatakuwapo Bunge la 12. Kwa Nchi uzoefu wa Mzee Chenge tutaukosa hasa kipindi hiki watu wanataka kubadili Katiba."


My Take; naanza kupata mashaka na upinzani wa Zitto. Huyu Chenge si ndio alimtaja kuwa ni fisadi papa huyu?
Zitto ni akili ya Kesho. NI ngumu mno kwa kilaza kuelewa akili ya zitto.This is a very carefully and clandestinely strategy. Lengo ni kumshawishi Chenge ajiunge na ACT WAZALENDO. Tayari Serukamba amesha jiunga na ACT.

Kwa lugha nyingine hapo Zitto anasema " Chenge if u come to ACT chama kitakakupa nafasi ya kugombea ubunge.

Panueni akili zenu basi
 
Anaandika mh Zitto Zuberi Kabwe kwenye ukurasa wake wa Twitter.

"Tupo tayari kwa Uchaguzi. Kwa upande wa majimbo tumeona tunaokwenda kushindana nao. Kwa Kigoma nimesikitika kuwa sauti muhimu kama Nsanzugwanko, Serukamba na Hasna hawatakuwapo Bunge la 12. Kwa Nchi uzoefu wa Mzee Chenge tutaukosa hasa kipindi hiki watu wanataka kubadili Katiba."


My Take; naanza kupata mashaka na upinzani wa Zitto. Huyu Chenge si ndio alimtaja kuwa ni fisadi papa huyu?
Tangu lini Zitto akawa mpinzani ?
 
Inaonekana Zitto atakuwa anawaita hao jamaa ACT.
 
Usisumbuke mkuu, wanachadema wana chuki kali lakini yenye wivu mkali kwa Zitto, Yaani wanamuonea wivu sana huku wakimpenda. Unajua Zitto ana kitu fulani ndani yake ambacho wengi hawana kwa hiyo anachukiwa kwa vipawa vyake adhimu.

Na kuna chadema waliojiapiza kumfanyia character assasination huyu kijana ili kumuondolea kuaminika mbele ya wananchi ili iwe ni njia ya kuihami Chadema isipoteze imani ya umma baada ya mgogoro ule ndani ya Chadema mwaka 2013. Walikosea sana!. Leo wale waliokuwa wakiwaona majembe ndo wameahamia CCM mchana kweupeee
Unahangaika sana, tulia, wacha kulia lia.
 
Back
Top Bottom