minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 22,405
- 21,100
Ni kweli jina la mfukoni ndilo limepita wengi hasa waliopiga pesa kawakata majina yaoMajina ya mfukoni hakuwemo ingawa alishinda kura za maoni kwa mbali sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli jina la mfukoni ndilo limepita wengi hasa waliopiga pesa kawakata majina yaoMajina ya mfukoni hakuwemo ingawa alishinda kura za maoni kwa mbali sana
Chenge hawezi kuhama toka CCMAwakaribishe ACT ili aendelee kuwa nao..
Kwa maslahi mapana ya kitaifa,chenge ni mtu muhimu sana...Nilitegemea angefurah ili wagombea wa chama chake wapite. Cha kushangaza anahuzunika, dah
Basi Zitto amwalike nyumbani kwake wakanywe naye Chai, ili asiendelee kummisChenge hawezi kuhama toka CCM
Zito anawataka AC kusudi ikiwezekana wamuongezee ruzuku.Anaandika mh Zitto Zuberi Kabwe kwenye ukurasa wake wa Twitter.
"Tupo tayari kwa Uchaguzi. Kwa upande wa majimbo tumeona tunaokwenda kushindana nao. Kwa Kigoma nimesikitika kuwa sauti muhimu kama Nsanzugwanko, Serukamba na Hasna hawatakuwapo Bunge la 12. Kwa Nchi uzoefu wa Mzee Chenge tutaukosa hasa kipindi hiki watu wanataka kubadili Katiba."
My Take; naanza kupata mashaka na upinzani wa Zitto. Huyu Chenge si ndio alimtaja kuwa ni fisadi papa huyu?
NI ZITO SIO UPINZANIHahhahaha... Wapinzani wanachekesha sana,!..
Kwahiyo kwenye hayo majimbo upinzani hawakupanga kushinda kabisa?
Inamaana zito alitaka hawa washinde?Anaandika mh Zitto Zuberi Kabwe kwenye ukurasa wake wa Twitter.
"Tupo tayari kwa Uchaguzi. Kwa upande wa majimbo tumeona tunaokwenda kushindana nao. Kwa Kigoma nimesikitika kuwa sauti muhimu kama Nsanzugwanko, Serukamba na Hasna hawatakuwapo Bunge la 12. Kwa Nchi uzoefu wa Mzee Chenge tutaukosa hasa kipindi hiki watu wanataka kubadili Katiba."
My Take; naanza kupata mashaka na upinzani wa Zitto. Huyu Chenge si ndio alimtaja kuwa ni fisadi papa huyu?
Zitto ni akili ya Kesho. NI ngumu mno kwa kilaza kuelewa akili ya zitto.This is a very carefully and clandestinely strategy. Lengo ni kumshawishi Chenge ajiunge na ACT WAZALENDO. Tayari Serukamba amesha jiunga na ACT.Anaandika mh Zitto Zuberi Kabwe kwenye ukurasa wake wa Twitter.
"Tupo tayari kwa Uchaguzi. Kwa upande wa majimbo tumeona tunaokwenda kushindana nao. Kwa Kigoma nimesikitika kuwa sauti muhimu kama Nsanzugwanko, Serukamba na Hasna hawatakuwapo Bunge la 12. Kwa Nchi uzoefu wa Mzee Chenge tutaukosa hasa kipindi hiki watu wanataka kubadili Katiba."
My Take; naanza kupata mashaka na upinzani wa Zitto. Huyu Chenge si ndio alimtaja kuwa ni fisadi papa huyu?
Tangu lini Zitto akawa mpinzani ?Anaandika mh Zitto Zuberi Kabwe kwenye ukurasa wake wa Twitter.
"Tupo tayari kwa Uchaguzi. Kwa upande wa majimbo tumeona tunaokwenda kushindana nao. Kwa Kigoma nimesikitika kuwa sauti muhimu kama Nsanzugwanko, Serukamba na Hasna hawatakuwapo Bunge la 12. Kwa Nchi uzoefu wa Mzee Chenge tutaukosa hasa kipindi hiki watu wanataka kubadili Katiba."
My Take; naanza kupata mashaka na upinzani wa Zitto. Huyu Chenge si ndio alimtaja kuwa ni fisadi papa huyu?
Alishika no 1 lakini kamati kuu imemtosaChenge Hakuchukua fomu?
Unahangaika sana, tulia, wacha kulia lia.Usisumbuke mkuu, wanachadema wana chuki kali lakini yenye wivu mkali kwa Zitto, Yaani wanamuonea wivu sana huku wakimpenda. Unajua Zitto ana kitu fulani ndani yake ambacho wengi hawana kwa hiyo anachukiwa kwa vipawa vyake adhimu.
Na kuna chadema waliojiapiza kumfanyia character assasination huyu kijana ili kumuondolea kuaminika mbele ya wananchi ili iwe ni njia ya kuihami Chadema isipoteze imani ya umma baada ya mgogoro ule ndani ya Chadema mwaka 2013. Walikosea sana!. Leo wale waliokuwa wakiwaona majembe ndo wameahamia CCM mchana kweupeee
Unahangaika sana, tulia, wacha kulia lia.