Zitto Kabwe: Nitashangaa sana tukishindwa Kesi ya Madai ya Tsh. Trilioni 3.2 dhidi ya Orca Energy

Zitto Kabwe: Nitashangaa sana tukishindwa Kesi ya Madai ya Tsh. Trilioni 3.2 dhidi ya Orca Energy

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Kupitia Ukurasa wake wa X (Twitter) Kiongozi wa Chama Mstaafu kutoka ACT Wazalendo, Zitto Kabwe ameandika "Nitashangaa sana kushindwa hii kesi. Kampuni ya PAET, mtoto wa ORCA, alipokuja nchini mwaka 2001 alikuta tuna gesi imeshavumbuliwa. Hawakuwekeza hata senti tano nyekundu kutafuta Gesi Asilia kule Songosongo.

Fedha yote iliyowekwa kujenga mitambo ya kunyonya gesi na kujenga bomba kuja Dar es Salaam ilikuwa ni mkopo wa Benki ya Dunia kwa Tanzania. Hawakuweka mtaji hata thumni. Mradi mzima ulikuwa debt financed. Hapakuwa na equity.

Walipewa mpaka mwaka 2026 watukabidhi tuendeshe wenyewe au tutafute mwekezaji mwengine au tuwaongezee muda. Wamekuwa waki lobby tuongeze muda ( na kuna hoja kwenye hili ingawa sio kwa mikataba kama hii ya mwaka 2021).

Sasa wameamua kutushitaki kututisha ( blackmailing). Ofisi ya AG inapaswa kupata wanasheria wabobezi kutoka pia nje ya Serikali na kuunganisha nguvu na wana harakati kama ilivyokuwa kwa kesi ya City Water. Tutawashinda"
Screenshot_2024-08-10-20-01-19-043_com.twitter.android-edit.jpg
 
Nashangaa sana nikisikia mpaka leo tumekosa elimu, teknolojia nk...Haya maneno alizungumza Mwl Nyerere miaka ya 80 huko. We have very competent personnel ndani na nje ya nchi, may be bado hatujawa na dhamira ya dhati kushughulika na haya mambo. We need to focus na sio kujaribu, shida ingine ni % za haya matukio, ukishinda kesi watu wanagawana %, very bad, watu wanacheki maslahi yao binafsi
 
Nape si miongoni mwa wanasheria wabobezi anaweza kutufaa
 
Zitto anakuwa kama hajui.michezo ya wanasheria na viongozi wetu ya double swords yaani wanakula kwa serikali na wanakula na orca na kesi ikishinda orca anapolipwa na waoa wanakunja vinono.

Haya pia yalishawai kutanabishwa na yule toothpick mange kimambi kuhusu zama hizi kuibuka kesi nyingi za wanaoidai serikali kuna watu ndani ya mfumo wananufaika.
 
Zitto anakuwa kama hajui.michezo ya wanasheria na viongozi wetu ya double swords yaani wanakula kwa serikali na wanakula na orca na kesi ikishinda orca anapolipwa na waoa wanakunja vinono.

Haya pia yalishawai kutanabishwa na yule toothpick mange kimambi kuhusu zama hizi kuibuka kesi nyingi za wanaoidai serikali kuna watu ndani ya mfumo wananufaika.
Wanasheria wa TRA huwa wanafanya hivi.

Wakashindwa kesi halafu wanachukua mabilioni.

Wezi wale.
 
Hivi mawakili kama kina Kibatala Serikali haiwezi kuwaita kusaidiana na wa Serikali kusikiliza hizo kesi.

Au na wao kesi za aina hii hawaziwezi?
 
Hiyo kesi fatuma karume mmoja tu anatosha sema wanasheria wengi hapa bongo wanatabia ya kula pesa pande zote mbili yaani kwa serikali na kwa orca. Anaweza akawasilisha vidhibiti hafifu au akakosea vitu vidogo ili orca washinde na yeye anapata mgao wake.
 
Hivi mawakili kama kina Kibatala Serikali haiwezi kuwaita kusaidiana na wa Serikali kusikiliza hizo kesi.
Hizo kesi ni dili za watu kula kwa urefu wa kamba zao, so utashi wa kutumia mawakili wabobezi hauwezi kuwepo.

Nchi inatafunwa mno awamu hii..
 
Samia nae ni MWANASHERIA aende huko kwa mabeberu akatutetee kwenye hii KESI.

Kila siku LISU tuu, samia nae aende akatudhihirishie kwamba na yeye ni WAKILI BINGWA.

HILI NALO MKALITAZAME.

WAKILI MSOMI SAMIA.
 
Kupitia Ukurasa wake wa X (Twitter) Kiongozi wa Chama Mstaafu kutoka ACT Wazalendo, Zitto Kabwe ameandika "Nitashangaa sana kushindwa hii kesi. Kampuni ya PAET, mtoto wa ORCA, alipokuja nchini mwaka 2001 alikuta tuna gesi imeshavumbuliwa. Hawakuwekeza hata senti tano nyekundu kutafuta Gesi Asilia kule Songosongo.

Fedha yote iliyowekwa kujenga mitambo ya kunyonya gesi na kujenga bomba kuja Dar es Salaam ilikuwa ni mkopo wa Benki ya Dunia kwa Tanzania. Hawakuweka mtaji hata thumni. Mradi mzima ulikuwa debt financed. Hapakuwa na equity.

Walipewa mpaka mwaka 2026 watukabidhi tuendeshe wenyewe au tutafute mwekezaji mwengine au tuwaongezee muda. Wamekuwa waki lobby tuongeze muda ( na kuna hoja kwenye hili ingawa sio kwa mikataba kama hii ya mwaka 2021).

Sasa wameamua kutushitaki kututisha ( blackmailing). Ofisi ya AG inapaswa kupata wanasheria wabobezi kutoka pia nje ya Serikali na kuunganisha nguvu na wana harakati kama ilivyokuwa kwa kesi ya City Water. Tutawashinda"
View attachment 3066326
Wanasheria wetu wanaweza kucollude na hiyo kampuni tukashimdwa kesi na wao wanasheria wakavuta chao.
 
Kupitia Ukurasa wake wa X (Twitter) Kiongozi wa Chama Mstaafu kutoka ACT Wazalendo, Zitto Kabwe ameandika "Nitashangaa sana kushindwa hii kesi. Kampuni ya PAET, mtoto wa ORCA, alipokuja nchini mwaka 2001 alikuta tuna gesi imeshavumbuliwa. Hawakuwekeza hata senti tano nyekundu kutafuta Gesi Asilia kule Songosongo.

Fedha yote iliyowekwa kujenga mitambo ya kunyonya gesi na kujenga bomba kuja Dar es Salaam ilikuwa ni mkopo wa Benki ya Dunia kwa Tanzania. Hawakuweka mtaji hata thumni. Mradi mzima ulikuwa debt financed. Hapakuwa na equity.

Walipewa mpaka mwaka 2026 watukabidhi tuendeshe wenyewe au tutafute mwekezaji mwengine au tuwaongezee muda. Wamekuwa waki lobby tuongeze muda ( na kuna hoja kwenye hili ingawa sio kwa mikataba kama hii ya mwaka 2021).

Sasa wameamua kutushitaki kututisha ( blackmailing). Ofisi ya AG inapaswa kupata wanasheria wabobezi kutoka pia nje ya Serikali na kuunganisha nguvu na wana harakati kama ilivyokuwa kwa kesi ya City Water. Tutawashinda"
View attachment 3066326
hizi ni Biashara za watu wa humu humu ndani! wanalianzisha then wanagawana!
ni wahuni wa humuhumu! na Abdul yumo pia! aliskika jamaa mmoja kijiweni buza
 
Back
Top Bottom