Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Chadmea amkane mumelala usingizi wa pono kabisa Tundulisu anakuongozeni kupitia twitter na youtube siasa za kishamba kabisa nchi kama Tanzania mwananchi aliye kijijini youtube na twitter ataipataje?Wakati ule Dk Slaa alikuwa vizuri na sisi tulikubalika na ilikuwa lazima tukate Dola maana Ccm ilikuwa haikubaliki kabisa.
Kwa namna ya njaa ya siasa yake Zitto alitumika na Ccm kuivuruga Chadema ili CCM izidi kukamata dola.
My Take: Huyu mnafiki anapaswa kupigwa mawe hadharani. Kibaraka wa Ccm.
Siku za hedhi zitawapata wajauzito!!!Wakati ule Dk Slaa alikuwa vizuri na sisi tulikubalika na ilikuwa lazima tukate Dola maana Ccm ilikuwa haikubaliki kabisa.
Kwa namna ya njaa ya siasa yake Zitto alitumika na Ccm kuivuruga Chadema ili CCM izidi kukamata dola.
My Take: Huyu mnafiki anapaswa kupigwa mawe hadharani. Kibaraka wa Ccm.
Kama kweli Zitto Kabwe mmoja ameweza kuzima ndoto za taasisi kubwa kama Chedema kuingia Ikulu basi huyu Zitto ni mwamba.Wakati ule Dk Slaa alikuwa vizuri na sisi tulikubalika na ilikuwa lazima tukate Dola maana Ccm ilikuwa haikubaliki kabisa.
Kwa namna ya njaa ya siasa yake Zitto alitumika na Ccm kuivuruga Chadema ili CCM izidi kukamata dola.
My Take: Huyu mnafiki anapaswa kupigwa mawe hadharani. Kibaraka wa Ccm.
Zitto KABWE mnafiki sana ndio maana Chadema WalimfukuzaWakati ule Dk Slaa alikuwa vizuri na sisi tulikubalika na ilikuwa lazima tukate Dola maana Ccm ilikuwa haikubaliki kabisa.
Kwa namna ya njaa ya siasa yake Zitto alitumika na Ccm kuivuruga Chadema ili CCM izidi kukamata dola.
My Take: Huyu mnafiki anapaswa kupigwa mawe hadharani. Kibaraka wa Ccm.
We nia Yako ni kuchonganisha cdm na act unaifanyia kaxi ccmWakati ule Dk Slaa alikuwa vizuri na sisi tulikubalika na ilikuwa lazima tukate Dola maana Ccm ilikuwa haikubaliki kabisa.
Kwa namna ya njaa ya siasa yake Zitto alitumika na Ccm kuivuruga Chadema ili CCM izidi kukamata dola.
My Take: Huyu mnafiki anapaswa kupigwa mawe hadharani. Kibaraka wa Ccm.
Wakati ule Dk Slaa alikuwa vizuri na sisi tulikubalika na ilikuwa lazima tukate Dola maana Ccm ilikuwa haikubaliki kabisa.
Kwa namna ya njaa ya siasa yake Zitto alitumika na Ccm kuivuruga Chadema ili CCM izidi kukamata dola.
My Take: Huyu mnafiki anapaswa kupigwa mawe hadharani. Kibaraka wa Ccm.
Wakati ule Dk Slaa alikuwa vizuri na sisi tulikubalika na ilikuwa lazima tukate Dola maana Ccm ilikuwa haikubaliki kabisa.
Kwa namna ya njaa ya siasa yake Zitto alitumika na Ccm kuivuruga Chadema ili CCM izidi kukamata dola.
My Take: Huyu mnafiki anapaswa kupigwa mawe hadharani. Kibaraka wa Ccm.
Siasa za maana ni kuwatumia TISS na Polisi kuwa sanduku la kura. Siasa safi ni kuwaamuru Wakurugenzi wakimbie fomu za wapinzani, siasa safi ni kuanzisha sera ya kupita bila kupingwa, kabla ya uchaguzi tayari una wabunge 80 wa kupita bila kupingwa! Hizo ndio siasa safi!Chadmea amkane mumelala usingizi wa pono kabisa Tundulisu anakuongozeni kupitia twitter na youtube siasa za kishamba kabisa nchi kama Tanzania mwananchi aliye kijijini youtube na twitter ataipataje?
Pumbavu mkubwaWw boya unayejifanya CDM unadhani utatupoteza maboya. Hayo mambo yako ya ACT na CCM kajadilianeni huko huko kwenye vikao vyenu vya gizani. Zito tunamjua na hatusubiri kuambiwa na we mnafiki wa CCM unayeigiza kuwa ni mwanacdm.
Pumbavu mkubwaHata wewe ni pandikizi
Pumbavu mkubwa
Dola karibu zote za kiafrika ndivyo zilivyo mnatakiwa kuja na mbinu mbadala siyo kubaki na mifumo ya kizamani, kiongozi wa upinzani yuko nje anaandika tu kwa twitter itasaidia nini? Mbona maalim seif hakukimbia zanzibar? Basigye Uganda, Bobi WineSiasa za maana ni kuwatumia TISS na Polisi kuwa sanduku la kura. Siasa safi ni kuwaamuru Wakurugenzi wakimbie fomu za wapinzani, siasa safi ni kuanzisha sera ya kupita bila kupingwa, kabla ya uchaguzi tayari una wabunge 80 wa kupita bila kupingwa! Hizo ndio siasa safi!
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sibishani na wapuuziUnajilazimisha kuuigiza ni mwanacdm lakini wala hupatii huo uigizaji. Waliokupa hiyo kazi huko ccm waambie hufit.