Zitto Kabwe sasa umefika wakati wa kuambiwa ukweli

Zitto Kabwe sasa umefika wakati wa kuambiwa ukweli

ZITTO KABWE SASA UMEFIKA WAKATI WA KUAMBIWA UKWELI.

View attachment 1340576

Na David maphone

Nilikuwa kimya kwa muda katika mitandao ya kijamii lakini upotoshaji wa ZITTO na siasa zake za kinafiki umenifanya nirejee kwa afya ya nchi yetu.

Ukisoma maandiko ya ZITTO au ukisikiliza maelezo yake mbalimbali utagundua mheshimiwa ZITTO KABWE hana nia njema na nchi yetu na unatumiwa na MABEBERU kwa Maslahi yake binafsi.

ZITTO KABWE ni mwanasiasa anayejaribu kuwaaminisha Watanzania hasa wafuasi wake kuwa anajua Kila kitu kuliko watanzania wote.

Kwa wale wasiomfahamu ZITTO KABWE ni wakati sasa wa kumfahamu kupitia Ukurasa wangu,

Kwanza Mh. Zitto kabwe ni mwanasiasa aliyebarikiwa kukosa haya (Hana aibu) ndio maana anaweza kutoa Takwimu za uongo pamoja na Mamlaka zikatoa ufafanuzi kwa ushahidi kabisa (Documents) lakini kesho yake anaibua tena na uongo mwinginee kwa sababu ya kutokuwa na aibu.

Mfano hivi karibu Ni sakata la korosho pamoja na makelele yote yale ya ZITTO KABWE ilikuja kubainika kuwa Mhe Zitto Kabwe anamiliki mashamba ya korosho Mtwara.

Hivyohivyo kwenye makampuni ya madini Mh. ZITTO KABWE inadaiwa kuwa ana mgao wake kwenye makampuni hayo na ndio watoto wake wanasomeshwa shule za gharama kubwa.

UNAFIKI WA ZITTO

Wakati leo Mh ZITTO akizunguka dunia kwa agenda ya kusaka Demokrasia huko nje Ni ZITTO huyu mwaka 2016 alisimama mbele ya Watanzania na kumshambulia Tundu lissu na Chadema kuwa Mambo ya Ndani ya nchi yanamalizwa ndani ya nchi,akasema (Nanukuu) "Ni uzwazwa kwa mwanasiasa kishabikia nchi kukosa misaada kwa sababu watakaoathirika ni watanzania wote"

Mh ZITTO aliendelea kusema Ni siasa za kishamba kupeleka masuala yetu ya ndani nje ya nchi na kwaamba chama chake hakiungi mkono, Vile vile ukipitia account yake ya Twitter,July 17 alitwit kwa kusema "huu ni UHAYAWANI.hii ni nchi huru kukaribisha wageni kuingilia Mambo yetu Ni UPUUZI na UMAZWAZWA,tupambane ndani kuleta Demokrasia ya ndani"hapo Mh ZITTO alikuwa akijibu Twitter ya swahili Times ya tarehe 18july 2017, iliyomnukuu Tundu lissu kiongozi wa CHadema waliyotaka Jumuiya ya kimataifa kuinyima misaada watanzania kutokana na walichokidai kuwa ni ikiukwaji wa Demokrasia.

View attachment 1340584

Zitto kabwe anapigania maslahi yake lukuki na sio Maslahi ya watanzania

Swali langu:

1. Mh. Zitto leo anazunguka dunia kusaka demokrasi kama alivyomkemea Lissu na Chadema.Je huo ni ushamba?


2.Mh Zitto leo ana sherehekea nchi kunyimwa misaada na Bank ya dunia je watakaoathirika Ni viongozi Ni viongozi wa serikali tu na sio Watanzania wote?

3.Mh Zitto so wewe ulimsifia mhe Rais Magufuli pale Kigoma kwa kuleta maendeleo au ulikuwa umeelewa?

4. Mh.zitto kwanini umekuwa hayawani mpaka unafanya Upuuzi na Umazwazwa ulioukemea Tarehe 18 July 2017.?

Hapo ndipo utagundua mheshimiwa ZITTO KABWE ni mwanasiasa MNAFIKI na hajaanza leo ndio maana alifukuzwa Chadema kwa aibu.

HUU NI UTANGULIZI NARUDI KUTOA USHAHIDI KUHUSU WAKALA HUU WA MABEBERU.

Yaani umekaa kimya muda mrefu lakini unakuja na upuuzi humu JF!

Acha ujinga kuwa na akili.

Unafahamu kuwa kila kitu huwa kinabadilika kulingana na mazingira na wakati?

Rais Magufuli alishawai msifia Zitto na kumuita mbunge wa kuigwa......leo hii anasema ni adui wa maendeleo na anatumiwa na mabeberu.

Unasemaje kuhusu hili?

Think big, acha ujinga.
 
Mnaopinga hoja ni wapuuzi.

Swali ni kwamba kwa nini kipindi kile Lissu alipokuwa anafanya anachofanya Zitto sasa alimbeza na kumpinga ila yeye sasa hivi ndo anakifanya kile kile alichokuwa anakifanya.

Ndo naamini na mimi hapa kuwa bongo hakuna upinzani maana hawana misimamo na hoja zao na wengi wa upinzani ni bendera fuata upepo maana hata ikitolewa hoja ya ajabu watasifia tu ili mradi aliyeitoa ni mpinzani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ZITTO KABWE SASA UMEFIKA WAKATI WA KUAMBIWA UKWELI.

View attachment 1340576

Na David maphone

Nilikuwa kimya kwa muda katika mitandao ya kijamii lakini upotoshaji wa ZITTO na siasa zake za kinafiki umenifanya nirejee kwa afya ya nchi yetu.

Ukisoma maandiko ya ZITTO au ukisikiliza maelezo yake mbalimbali utagundua mheshimiwa ZITTO KABWE hana nia njema na nchi yetu na unatumiwa na MABEBERU kwa Maslahi yake binafsi.

ZITTO KABWE ni mwanasiasa anayejaribu kuwaaminisha Watanzania hasa wafuasi wake kuwa anajua Kila kitu kuliko watanzania wote.

Kwa wale wasiomfahamu ZITTO KABWE ni wakati sasa wa kumfahamu kupitia Ukurasa wangu,

Kwanza Mh. Zitto kabwe ni mwanasiasa aliyebarikiwa kukosa haya (Hana aibu) ndio maana anaweza kutoa Takwimu za uongo pamoja na Mamlaka zikatoa ufafanuzi kwa ushahidi kabisa (Documents) lakini kesho yake anaibua tena na uongo mwinginee kwa sababu ya kutokuwa na aibu.

Mfano hivi karibu Ni sakata la korosho pamoja na makelele yote yale ya ZITTO KABWE ilikuja kubainika kuwa Mhe Zitto Kabwe anamiliki mashamba ya korosho Mtwara.

Hivyohivyo kwenye makampuni ya madini Mh. ZITTO KABWE inadaiwa kuwa ana mgao wake kwenye makampuni hayo na ndio watoto wake wanasomeshwa shule za gharama kubwa.

UNAFIKI WA ZITTO

Wakati leo Mh ZITTO akizunguka dunia kwa agenda ya kusaka Demokrasia huko nje Ni ZITTO huyu mwaka 2016 alisimama mbele ya Watanzania na kumshambulia Tundu lissu na Chadema kuwa Mambo ya Ndani ya nchi yanamalizwa ndani ya nchi,akasema (Nanukuu) "Ni uzwazwa kwa mwanasiasa kishabikia nchi kukosa misaada kwa sababu watakaoathirika ni watanzania wote"

Mh ZITTO aliendelea kusema Ni siasa za kishamba kupeleka masuala yetu ya ndani nje ya nchi na kwaamba chama chake hakiungi mkono, Vile vile ukipitia account yake ya Twitter,July 17 alitwit kwa kusema "huu ni UHAYAWANI.hii ni nchi huru kukaribisha wageni kuingilia Mambo yetu Ni UPUUZI na UMAZWAZWA,tupambane ndani kuleta Demokrasia ya ndani"hapo Mh ZITTO alikuwa akijibu Twitter ya swahili Times ya tarehe 18july 2017, iliyomnukuu Tundu lissu kiongozi wa CHadema waliyotaka Jumuiya ya kimataifa kuinyima misaada watanzania kutokana na walichokidai kuwa ni ikiukwaji wa Demokrasia.

View attachment 1340584

Zitto kabwe anapigania maslahi yake lukuki na sio Maslahi ya watanzania

Swali langu:

1. Mh. Zitto leo anazunguka dunia kusaka demokrasi kama alivyomkemea Lissu na Chadema.Je huo ni ushamba?


2.Mh Zitto leo ana sherehekea nchi kunyimwa misaada na Bank ya dunia je watakaoathirika Ni viongozi Ni viongozi wa serikali tu na sio Watanzania wote?

3.Mh Zitto so wewe ulimsifia mhe Rais Magufuli pale Kigoma kwa kuleta maendeleo au ulikuwa umeelewa?

4. Mh.zitto kwanini umekuwa hayawani mpaka unafanya Upuuzi na Umazwazwa ulioukemea Tarehe 18 July 2017.?

Hapo ndipo utagundua mheshimiwa ZITTO KABWE ni mwanasiasa MNAFIKI na hajaanza leo ndio maana alifukuzwa Chadema kwa aibu.

HUU NI UTANGULIZI NARUDI KUTOA USHAHIDI KUHUSU WAKALA HUU WA MABEBERU.
Nafuu hicho kichwa uendelee kufugia nywele tu kuliko kuleta kutujazia mboji kwenye jukwaa. Yote haya kwa sabau ya Buk 7. Poleni Watanzania msiojitambua
 
Mnaopinga hoja ni wapuuzi.

Swali ni kwamba kwa nini kipindi kile Lissu alipokuwa anafanya anachofanya Zitto sasa alimbeza na kumpinga ila yeye sasa hivi ndo anakifanya kile kile alichokuwa anakifanya.

Ndo naamini na mimi hapa kuwa bongo hakuna upinzani maana hawana misimamo na hoja zao na wengi wa upinzani ni bendera fuata upepo maana hata ikitolewa hoja ya ajabu watasifia tu ili mradi aliyeitoa ni mpinzani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nothing is static
 
ZITTO KABWE SASA UMEFIKA WAKATI WA KUAMBIWA UKWELI.

View attachment 1340576

Na David maphone

Nilikuwa kimya kwa muda katika mitandao ya kijamii lakini upotoshaji wa ZITTO na siasa zake za kinafiki umenifanya nirejee kwa afya ya nchi yetu.

Ukisoma maandiko ya ZITTO au ukisikiliza maelezo yake mbalimbali utagundua mheshimiwa ZITTO KABWE hana nia njema na nchi yetu na unatumiwa na MABEBERU kwa Maslahi yake binafsi.

ZITTO KABWE ni mwanasiasa anayejaribu kuwaaminisha Watanzania hasa wafuasi wake kuwa anajua Kila kitu kuliko watanzania wote.

Kwa wale wasiomfahamu ZITTO KABWE ni wakati sasa wa kumfahamu kupitia Ukurasa wangu,

Kwanza Mh. Zitto kabwe ni mwanasiasa aliyebarikiwa kukosa haya (Hana aibu) ndio maana anaweza kutoa Takwimu za uongo pamoja na Mamlaka zikatoa ufafanuzi kwa ushahidi kabisa (Documents) lakini kesho yake anaibua tena na uongo mwinginee kwa sababu ya kutokuwa na aibu.

Mfano hivi karibu Ni sakata la korosho pamoja na makelele yote yale ya ZITTO KABWE ilikuja kubainika kuwa Mhe Zitto Kabwe anamiliki mashamba ya korosho Mtwara.

Hivyohivyo kwenye makampuni ya madini Mh. ZITTO KABWE inadaiwa kuwa ana mgao wake kwenye makampuni hayo na ndio watoto wake wanasomeshwa shule za gharama kubwa.

UNAFIKI WA ZITTO

Wakati leo Mh ZITTO akizunguka dunia kwa agenda ya kusaka Demokrasia huko nje Ni ZITTO huyu mwaka 2016 alisimama mbele ya Watanzania na kumshambulia Tundu lissu na Chadema kuwa Mambo ya Ndani ya nchi yanamalizwa ndani ya nchi,akasema (Nanukuu) "Ni uzwazwa kwa mwanasiasa kishabikia nchi kukosa misaada kwa sababu watakaoathirika ni watanzania wote"

Mh ZITTO aliendelea kusema Ni siasa za kishamba kupeleka masuala yetu ya ndani nje ya nchi na kwaamba chama chake hakiungi mkono, Vile vile ukipitia account yake ya Twitter,July 17 alitwit kwa kusema "huu ni UHAYAWANI.hii ni nchi huru kukaribisha wageni kuingilia Mambo yetu Ni UPUUZI na UMAZWAZWA,tupambane ndani kuleta Demokrasia ya ndani"hapo Mh ZITTO alikuwa akijibu Twitter ya swahili Times ya tarehe 18july 2017, iliyomnukuu Tundu lissu kiongozi wa CHadema waliyotaka Jumuiya ya kimataifa kuinyima misaada watanzania kutokana na walichokidai kuwa ni ikiukwaji wa Demokrasia.

View attachment 1340584

Zitto kabwe anapigania maslahi yake lukuki na sio Maslahi ya watanzania

Swali langu:

1. Mh. Zitto leo anazunguka dunia kusaka demokrasi kama alivyomkemea Lissu na Chadema.Je huo ni ushamba?


2.Mh Zitto leo ana sherehekea nchi kunyimwa misaada na Bank ya dunia je watakaoathirika Ni viongozi Ni viongozi wa serikali tu na sio Watanzania wote?

3.Mh Zitto so wewe ulimsifia mhe Rais Magufuli pale Kigoma kwa kuleta maendeleo au ulikuwa umeelewa?

4. Mh.zitto kwanini umekuwa hayawani mpaka unafanya Upuuzi na Umazwazwa ulioukemea Tarehe 18 July 2017.?

Hapo ndipo utagundua mheshimiwa ZITTO KABWE ni mwanasiasa MNAFIKI na hajaanza leo ndio maana alifukuzwa Chadema kwa aibu.

HUU NI UTANGULIZI NARUDI KUTOA USHAHIDI KUHUSU WAKALA HUU WA MABEBERU.
Lakini rais kesha sema nchi yetu ni tajiri hata tusipopewa hizo hela tutatumia za kwetu wenyewe mbona tunajenga miradi mikubwa kwa pesa zetu?
 
Huu siyo msaada wewe, huu ni mkopo ambao hata wanaobeba mimba na kufukuzwa shule watakuja kuulipa
Watu wengi huwa hawajui wana changia kitu gani hapa Jf. Wao wana mlaumu Zitto kwa maamuzi ambayo yamefanywa kweli nanserikali yetu bila kuangalia impact yake. Maana kama umemkatalia alie beba mimba kwa bahati mbaya kuto kurudi shule kuendelea na masomo je? Unafanyaje asihusishwe kwenye kulipa huo mkopo? Na ni kwanini hiyo adhabu aibebe huyu msichana mwenyewe? Sasa wana haha kumlaumu Zitto bila kuangalia hizo mantiki. Pia Zitto hajasema huo mkopo ufutwe, anaomba uachwe hadi hapo sheria zitakapo kuwa sawa kwa wote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ZITTO KABWE SASA UMEFIKA WAKATI WA KUAMBIWA UKWELI.

View attachment 1340576

Na David maphone

Nilikuwa kimya kwa muda katika mitandao ya kijamii lakini upotoshaji wa ZITTO na siasa zake za kinafiki umenifanya nirejee kwa afya ya nchi yetu.

Ukisoma maandiko ya ZITTO au ukisikiliza maelezo yake mbalimbali utagundua mheshimiwa ZITTO KABWE hana nia njema na nchi yetu na unatumiwa na MABEBERU kwa Maslahi yake binafsi.

ZITTO KABWE ni mwanasiasa anayejaribu kuwaaminisha Watanzania hasa wafuasi wake kuwa anajua Kila kitu kuliko watanzania wote.

Kwa wale wasiomfahamu ZITTO KABWE ni wakati sasa wa kumfahamu kupitia Ukurasa wangu,

Kwanza Mh. Zitto kabwe ni mwanasiasa aliyebarikiwa kukosa haya (Hana aibu) ndio maana anaweza kutoa Takwimu za uongo pamoja na Mamlaka zikatoa ufafanuzi kwa ushahidi kabisa (Documents) lakini kesho yake anaibua tena na uongo mwinginee kwa sababu ya kutokuwa na aibu.

Mfano hivi karibu Ni sakata la korosho pamoja na makelele yote yale ya ZITTO KABWE ilikuja kubainika kuwa Mhe Zitto Kabwe anamiliki mashamba ya korosho Mtwara.

Hivyohivyo kwenye makampuni ya madini Mh. ZITTO KABWE inadaiwa kuwa ana mgao wake kwenye makampuni hayo na ndio watoto wake wanasomeshwa shule za gharama kubwa.

UNAFIKI WA ZITTO

Wakati leo Mh ZITTO akizunguka dunia kwa agenda ya kusaka Demokrasia huko nje Ni ZITTO huyu mwaka 2016 alisimama mbele ya Watanzania na kumshambulia Tundu lissu na Chadema kuwa Mambo ya Ndani ya nchi yanamalizwa ndani ya nchi,akasema (Nanukuu) "Ni uzwazwa kwa mwanasiasa kishabikia nchi kukosa misaada kwa sababu watakaoathirika ni watanzania wote"

Mh ZITTO aliendelea kusema Ni siasa za kishamba kupeleka masuala yetu ya ndani nje ya nchi na kwaamba chama chake hakiungi mkono, Vile vile ukipitia account yake ya Twitter,July 17 alitwit kwa kusema "huu ni UHAYAWANI.hii ni nchi huru kukaribisha wageni kuingilia Mambo yetu Ni UPUUZI na UMAZWAZWA,tupambane ndani kuleta Demokrasia ya ndani"hapo Mh ZITTO alikuwa akijibu Twitter ya swahili Times ya tarehe 18july 2017, iliyomnukuu Tundu lissu kiongozi wa CHadema waliyotaka Jumuiya ya kimataifa kuinyima misaada watanzania kutokana na walichokidai kuwa ni ikiukwaji wa Demokrasia.

View attachment 1340584

Zitto kabwe anapigania maslahi yake lukuki na sio Maslahi ya watanzania

Swali langu:

1. Mh. Zitto leo anazunguka dunia kusaka demokrasi kama alivyomkemea Lissu na Chadema.Je huo ni ushamba?


2.Mh Zitto leo ana sherehekea nchi kunyimwa misaada na Bank ya dunia je watakaoathirika Ni viongozi Ni viongozi wa serikali tu na sio Watanzania wote?

3.Mh Zitto so wewe ulimsifia mhe Rais Magufuli pale Kigoma kwa kuleta maendeleo au ulikuwa umeelewa?

4. Mh.zitto kwanini umekuwa hayawani mpaka unafanya Upuuzi na Umazwazwa ulioukemea Tarehe 18 July 2017.?

Hapo ndipo utagundua mheshimiwa ZITTO KABWE ni mwanasiasa MNAFIKI na hajaanza leo ndio maana alifukuzwa Chadema kwa aibu.

HUU NI UTANGULIZI NARUDI KUTOA USHAHIDI KUHUSU WAKALA HUU WA MABEBERU.
Yeye so anaona ni saws watoto wa kike kutiwa mimba na kuendelea na shule!!!Kama ana watoto wa kike watiwe mimba ili ajifunze!!!
 
Kuna msemo unasema" Mahakamani mtu anayeweza kudhibitisha kile asemacho na yule wa upande wa pili kushindwa kufanya hivyo basi sheria hutoa haki kwa aliyedhibitisha bila kutoa nafasi ya shaka katika ushahidi mbele ya mahakama". Mtoa udhi kama Zitto anajenga hoja na kuitetea na udhibitisho akatoa then upande wa pili ukawa wa kukanusha tu bila kutoa udhibitisho badi ni haki yake kushinda, binafsi i side with facts having evidence that don't give me an inch of doubt.

Don't hunt what you can't kill.
 
Kuna msemo unasema" Mahakamani mtu anayeweza kudhibitisha kile asemacho na yule wa upande wa pili kushindwa kufanya hivyo basi sheria hutoa haki kwa aliyedhibitisha bila kutoa nafasi ya shaka katika ushahidi mbele ya mahakama". Mtoa udhi kama Zitto anajenga hoja na kuitetea na udhibitisho akatoa then upande wa pili ukawa wa kukanusha tu bila kutoa udhibitisho badi ni haki yake kushinda, binafsi i side with facts having evidence that don't give me an inch of doubt.

Don't hunt what you can't kill.
Lumumba wanashindana kupayuka, kutoa macho tu kumsafisha Jiwe bingwa wa kuropoka bila hoja. Shetani aliyewapotosha nae keshawachoka, kwa mwendo wa pole kasi ya kuporomoka BABELI nayo yaongezeka. AMEN
 
Huyu Mwandishi uwezo wake ni mdogo sana! Kama CCM itaendelea kutumia watu wenye upeo mdogo kama hawa basi CCM haitafika mbali!

Ukweli ni kwamba Zitto Kabwe ni Mwanasiasa aliyejijenga vizuri na ni msomi wa Kweli japo mimi na yeye tunatofautiana ktk maeneo fulani fulani!

Hoja kwamba Zitto Kabwe anatumiwa na Mabeberu ni hoja ya wajinga wasiojua kitu au wanafiki wachumia tumbo!

Hoja ya kujibu hapa ni je Mkopo huu " umeahirishwa" kutolewa kwa sababu za msingi au la?!

Ukweli ni kuwa zipo sababu za msingi!

Mhe.Rais Magufuli alipotoa kauli ya kutosomesha watoto waliopata mimba shule ,je alifanya reference kuhusu haki ya Elimu kwa wote na sisi kama Nchi mikataba ya Kimataifa tuliyoridhia kuhusu maazimio ya umuhimu wa Elimu kwa wote!

Kwanini tuwaadhibu watoto wa kike kwa kuwanyima Elimu kwasababu ya kupata mimba!?

Tunachopaswa ni ku-control watoto hawa wasipate mimba wakiwa Shule! Mbona Mhe. Rais Magufuli ana promote kuzaliana kama mojawapo njia nzuri ya kukuza Uchumi kwa kuongeza population?

Mhe.Zitto Kabwe kwa akili aliyonayo na kipato chake anaweza kusomesha watoto wake popote Duniani, mleta hoja ana mawazo ya kishamba na kimaskini sana!

Mhe.Zitto Kabwe kuweza kuishawishi World Bank na kumsikiliza ni sifa kubwa kwake na kwa watu wote wenye uelewa!

Kumbuka kuwa World Bank ni taasisi kubwa yenye uwakilishi mpana hadi Waafrika wasomi wamo na si Wazungu tu kama wajinga fulani wanavyopotosha!

Mhe.Zitto Kabwe jana kupitia BBC ameileza Dunia kupitia kwa swali Mtangazaji Zuhura Yunus kuwa yuko nje kwa ajili ya ushawishi huo kwasababu ndani ya Tanzania hakuna nafasi (space) kwa ajili ya majadiliano na miafaka kama Taifa.Hakuna Uhuru wa habari,Demokrasia ,Utawala wa sheria na mambo mengine kibao! Hizo ndizo hoja za kutolewa ufafanuzi na watu wenye akili!
Swala la hoja ya mkopo kama tunastahili ama hapana inahitaji mjadala mpana ingawa siungi mkono kushangilia kunyimwa huo mkopo kwasababu hizo zinazopiganiwa. Lakini hapa ni malengo ya hawa wanasiasa hasa tuliowaamini muda mrefu.

Vipo vitu ambavyo Zitto anavipinga awamu hii lakini asingeweza kupinga awamu iliyopita na tweet iliyopo kwenye mada ni ushahidi tosha. Inaonekana hawa wanasiasa wanatumia matatizo yetu kupenyeza mambo yao binafsi.

Unasemaje Zitto kuponda Chadema walipoomba misaada isitishwe kwa hoja mambo ya ndani yamalizwe ndani alafu anakuja kufanya alichowapinga Chadema? Kama hatuoni hata mambo kama haya hatutakuja kubadilika kuchagua watu sahihi na wao hawatajirekebisha!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeye so anaona ni saws watoto wa kike kutiwa mimba na kuendelea na shule!!!Kama ana watoto wa kike watiwe mimba ili ajifunze!!!
Kwanza wakuanze wewe kabla ya hao watoto
 
Yaani hapo u.efikiria?sasa wewe mbona ni hunan soni mara Mia ya huyo zitto?
Mnatwambia nchi tahir af mnalila misaads
Unaongea kosa la ditto kumiliki mashamba ya korosho lakini busemi uwanja wa ndege wa chatte umejengwa na kampuni ya nanii
ZITTO KABWE SASA UMEFIKA WAKATI WA KUAMBIWA UKWELI.

View attachment 1340576

Na David maphone

Nilikuwa kimya kwa muda katika mitandao ya kijamii lakini upotoshaji wa ZITTO na siasa zake za kinafiki umenifanya nirejee kwa afya ya nchi yetu.

Ukisoma maandiko ya ZITTO au ukisikiliza maelezo yake mbalimbali utagundua mheshimiwa ZITTO KABWE hana nia njema na nchi yetu na unatumiwa na MABEBERU kwa Maslahi yake binafsi.

ZITTO KABWE ni mwanasiasa anayejaribu kuwaaminisha Watanzania hasa wafuasi wake kuwa anajua Kila kitu kuliko watanzania wote.

Kwa wale wasiomfahamu ZITTO KABWE ni wakati sasa wa kumfahamu kupitia Ukurasa wangu,

Kwanza Mh. Zitto kabwe ni mwanasiasa aliyebarikiwa kukosa haya (Hana aibu) ndio maana anaweza kutoa Takwimu za uongo pamoja na Mamlaka zikatoa ufafanuzi kwa ushahidi kabisa (Documents) lakini kesho yake anaibua tena na uongo mwinginee kwa sababu ya kutokuwa na aibu.

Mfano hivi karibu Ni sakata la korosho pamoja na makelele yote yale ya ZITTO KABWE ilikuja kubainika kuwa Mhe Zitto Kabwe anamiliki mashamba ya korosho Mtwara.

Hivyohivyo kwenye makampuni ya madini Mh. ZITTO KABWE inadaiwa kuwa ana mgao wake kwenye makampuni hayo na ndio watoto wake wanasomeshwa shule za gharama kubwa.

UNAFIKI WA ZITTO

Wakati leo Mh ZITTO akizunguka dunia kwa agenda ya kusaka Demokrasia huko nje Ni ZITTO huyu mwaka 2016 alisimama mbele ya Watanzania na kumshambulia Tundu lissu na Chadema kuwa Mambo ya Ndani ya nchi yanamalizwa ndani ya nchi,akasema (Nanukuu) "Ni uzwazwa kwa mwanasiasa kishabikia nchi kukosa misaada kwa sababu watakaoathirika ni watanzania wote"

Mh ZITTO aliendelea kusema Ni siasa za kishamba kupeleka masuala yetu ya ndani nje ya nchi na kwaamba chama chake hakiungi mkono, Vile vile ukipitia account yake ya Twitter,July 17 alitwit kwa kusema "huu ni UHAYAWANI.hii ni nchi huru kukaribisha wageni kuingilia Mambo yetu Ni UPUUZI na UMAZWAZWA,tupambane ndani kuleta Demokrasia ya ndani"hapo Mh ZITTO alikuwa akijibu Twitter ya swahili Times ya tarehe 18july 2017, iliyomnukuu Tundu lissu kiongozi wa CHadema waliyotaka Jumuiya ya kimataifa kuinyima misaada watanzania kutokana na walichokidai kuwa ni ikiukwaji wa Demokrasia.

View attachment 1340584

Zitto kabwe anapigania maslahi yake lukuki na sio Maslahi ya watanzania

Swali langu:

1. Mh. Zitto leo anazunguka dunia kusaka demokrasi kama alivyomkemea Lissu na Chadema.Je huo ni ushamba?


2.Mh Zitto leo ana sherehekea nchi kunyimwa misaada na Bank ya dunia je watakaoathirika Ni viongozi Ni viongozi wa serikali tu na sio Watanzania wote?

3.Mh Zitto so wewe ulimsifia mhe Rais Magufuli pale Kigoma kwa kuleta maendeleo au ulikuwa umeelewa?

4. Mh.zitto kwanini umekuwa hayawani mpaka unafanya Upuuzi na Umazwazwa ulioukemea Tarehe 18 July 2017.?

Hapo ndipo utagundua mheshimiwa ZITTO KABWE ni mwanasiasa MNAFIKI na hajaanza leo ndio maana alifukuzwa Chadema kwa aibu.

HUU NI UTANGULIZI NARUDI KUTOA USHAHIDI KUHUSU WAKALA HUU WA MABEBERU.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ZITTO KABWE SASA UMEFIKA WAKATI WA KUAMBIWA UKWELI.

View attachment 1340576

Na David maphone

Nilikuwa kimya kwa muda katika mitandao ya kijamii lakini upotoshaji wa ZITTO na siasa zake za kinafiki umenifanya nirejee kwa afya ya nchi yetu.

Ukisoma maandiko ya ZITTO au ukisikiliza maelezo yake mbalimbali utagundua mheshimiwa ZITTO KABWE hana nia njema na nchi yetu na unatumiwa na MABEBERU kwa Maslahi yake binafsi.

ZITTO KABWE ni mwanasiasa anayejaribu kuwaaminisha Watanzania hasa wafuasi wake kuwa anajua Kila kitu kuliko watanzania wote.

Kwa wale wasiomfahamu ZITTO KABWE ni wakati sasa wa kumfahamu kupitia Ukurasa wangu,

Kwanza Mh. Zitto kabwe ni mwanasiasa aliyebarikiwa kukosa haya (Hana aibu) ndio maana anaweza kutoa Takwimu za uongo pamoja na Mamlaka zikatoa ufafanuzi kwa ushahidi kabisa (Documents) lakini kesho yake anaibua tena na uongo mwinginee kwa sababu ya kutokuwa na aibu.

Mfano hivi karibu Ni sakata la korosho pamoja na makelele yote yale ya ZITTO KABWE ilikuja kubainika kuwa Mhe Zitto Kabwe anamiliki mashamba ya korosho Mtwara.

Hivyohivyo kwenye makampuni ya madini Mh. ZITTO KABWE inadaiwa kuwa ana mgao wake kwenye makampuni hayo na ndio watoto wake wanasomeshwa shule za gharama kubwa.

UNAFIKI WA ZITTO

Wakati leo Mh ZITTO akizunguka dunia kwa agenda ya kusaka Demokrasia huko nje Ni ZITTO huyu mwaka 2016 alisimama mbele ya Watanzania na kumshambulia Tundu lissu na Chadema kuwa Mambo ya Ndani ya nchi yanamalizwa ndani ya nchi,akasema (Nanukuu) "Ni uzwazwa kwa mwanasiasa kishabikia nchi kukosa misaada kwa sababu watakaoathirika ni watanzania wote"

Mh ZITTO aliendelea kusema Ni siasa za kishamba kupeleka masuala yetu ya ndani nje ya nchi na kwaamba chama chake hakiungi mkono, Vile vile ukipitia account yake ya Twitter,July 17 alitwit kwa kusema "huu ni UHAYAWANI.hii ni nchi huru kukaribisha wageni kuingilia Mambo yetu Ni UPUUZI na UMAZWAZWA,tupambane ndani kuleta Demokrasia ya ndani"hapo Mh ZITTO alikuwa akijibu Twitter ya swahili Times ya tarehe 18july 2017, iliyomnukuu Tundu lissu kiongozi wa CHadema waliyotaka Jumuiya ya kimataifa kuinyima misaada watanzania kutokana na walichokidai kuwa ni ikiukwaji wa Demokrasia.

View attachment 1340584

Zitto kabwe anapigania maslahi yake lukuki na sio Maslahi ya watanzania

Swali langu:

1. Mh. Zitto leo anazunguka dunia kusaka demokrasi kama alivyomkemea Lissu na Chadema.Je huo ni ushamba?


2.Mh Zitto leo ana sherehekea nchi kunyimwa misaada na Bank ya dunia je watakaoathirika Ni viongozi Ni viongozi wa serikali tu na sio Watanzania wote?

3.Mh Zitto so wewe ulimsifia mhe Rais Magufuli pale Kigoma kwa kuleta maendeleo au ulikuwa umeelewa?

4. Mh.zitto kwanini umekuwa hayawani mpaka unafanya Upuuzi na Umazwazwa ulioukemea Tarehe 18 July 2017.?

Hapo ndipo utagundua mheshimiwa ZITTO KABWE ni mwanasiasa MNAFIKI na hajaanza leo ndio maana alifukuzwa Chadema kwa aibu.

HUU NI UTANGULIZI NARUDI KUTOA USHAHIDI KUHUSU WAKALA HUU WA MABEBERU.

Duh! Huyu naye sijui kapewa hela ngapi ila hata jero hastahili kabisa. Yani uneshindwa kujenga hoja!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Huyu Mwandishi uwezo wake ni mdogo sana! Kama CCM itaendelea kutumia watu wenye upeo mdogo kama hawa basi CCM haitafika mbali!

Ukweli ni kwamba Zitto Kabwe ni Mwanasiasa aliyejijenga vizuri na ni msomi wa Kweli japo mimi na yeye tunatofautiana ktk maeneo fulani fulani!

Hoja kwamba Zitto Kabwe anatumiwa na Mabeberu ni hoja ya wajinga wasiojua kitu au wanafiki wachumia tumbo!

Hoja ya kujibu hapa ni je Mkopo huu " umeahirishwa" kutolewa kwa sababu za msingi au la?!

Ukweli ni kuwa zipo sababu za msingi!

Mhe.Rais Magufuli alipotoa kauli ya kutosomesha watoto waliopata mimba shule ,je alifanya reference kuhusu haki ya Elimu kwa wote na sisi kama Nchi mikataba ya Kimataifa tuliyoridhia kuhusu maazimio ya umuhimu wa Elimu kwa wote!

Kwanini tuwaadhibu watoto wa kike kwa kuwanyima Elimu kwasababu ya kupata mimba!?

Tunachopaswa ni ku-control watoto hawa wasipate mimba wakiwa Shule! Mbona Mhe. Rais Magufuli ana promote kuzaliana kama mojawapo njia nzuri ya kukuza Uchumi kwa kuongeza population?

Mhe.Zitto Kabwe kwa akili aliyonayo na kipato chake anaweza kusomesha watoto wake popote Duniani, mleta hoja ana mawazo ya kishamba na kimaskini sana!

Mhe.Zitto Kabwe kuweza kuishawishi World Bank na kumsikiliza ni sifa kubwa kwake na kwa watu wote wenye uelewa!

Kumbuka kuwa World Bank ni taasisi kubwa yenye uwakilishi mpana hadi Waafrika wasomi wamo na si Wazungu tu kama wajinga fulani wanavyopotosha!

Mhe.Zitto Kabwe jana kupitia BBC ameileza Dunia kupitia kwa swali Mtangazaji Zuhura Yunus kuwa yuko nje kwa ajili ya ushawishi huo kwasababu ndani ya Tanzania hakuna nafasi (space) kwa ajili ya majadiliano na miafaka kama Taifa.Hakuna Uhuru wa habari,Demokrasia ,Utawala wa sheria na mambo mengine kibao! Hizo ndizo hoja za kutolewa ufafanuzi na watu wenye akili!
Madini tupu hii. Sio wale vibaka wa Lumumba. Shenzi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hoja inajibiwa na hoja iliyo bora zaidi,mtoa hoja kuna uwezekano mkubwa unaishi kule kwenye ivory tower,kwenye AC,unatibiwa SA au India na watoto wako wanasoma in one of the top schools,please shuka chini ili uje u smell coffee,Mh.Zito ni politician makini ambaye nchi imeweza kumtoa,mwanasiasa huyu angekuwa amezaliwa kwenye nchi zinazoishi kwa mujibu wa kisheria kama Namibia,SA ,Botswana angekuwa mbali sana ,Mh.Zito anajenga hoja zenye FACTS na vielelezo vya kuthibitisha anayoyasema,sio kama mtoa hoja ambaye ameelezea tuhuma bila ya kufanya home work ya kututhibitishia kuwa anamiliki mashamba ya korosho na ana hisa kwenye migodi(please prove this),ni serikali ya ccm ndio iliyotufikisha hapa ,baada ya kuitawala nchi yetu for more than 50yrs bila ya kuwa na cha kujivunia,Elimu yetu ni ovyo,huduma za Afya ni below standard(tunahitaji maenesi,Doctors wenye ufahamu wa kazi zao,sio majengo!!),ni serikali ya ccm imeua uhuru wa vyombo vya habari ndio maana tunakimbilia huku including mtoa hoja,watu wanatenganishwa na familia zao kwenye mazingira ya utata,sasa tunapopata politicians kama Mh.Zito anazizungumzia hizi bila woga ni muhimu kwetu kushukuru,mimi na wewe tu waoga ila mahodari wa kulalamika kwenye key boards!!
Maji yamewafika shingoni hawa wezi wa nji hii. Hawana namna zaidi ya kutapatapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu Mwandishi uwezo wake ni mdogo sana! Kama CCM itaendelea kutumia watu wenye upeo mdogo kama hawa basi CCM haitafika mbali!

Ukweli ni kwamba Zitto Kabwe ni Mwanasiasa aliyejijenga vizuri na ni msomi wa Kweli japo mimi na yeye tunatofautiana ktk maeneo fulani fulani!

Hoja kwamba Zitto Kabwe anatumiwa na Mabeberu ni hoja ya wajinga wasiojua kitu au wanafiki wachumia tumbo!

Hoja ya kujibu hapa ni je Mkopo huu " umeahirishwa" kutolewa kwa sababu za msingi au la?!

Ukweli ni kuwa zipo sababu za msingi!

Mhe.Rais Magufuli alipotoa kauli ya kutosomesha watoto waliopata mimba shule ,je alifanya reference kuhusu haki ya Elimu kwa wote na sisi kama Nchi mikataba ya Kimataifa tuliyoridhia kuhusu maazimio ya umuhimu wa Elimu kwa wote!

Kwanini tuwaadhibu watoto wa kike kwa kuwanyima Elimu kwasababu ya kupata mimba!?

Tunachopaswa ni ku-control watoto hawa wasipate mimba wakiwa Shule! Mbona Mhe. Rais Magufuli ana promote kuzaliana kama mojawapo njia nzuri ya kukuza Uchumi kwa kuongeza population?

Mhe.Zitto Kabwe kwa akili aliyonayo na kipato chake anaweza kusomesha watoto wake popote Duniani, mleta hoja ana mawazo ya kishamba na kimaskini sana!

Mhe.Zitto Kabwe kuweza kuishawishi World Bank na kumsikiliza ni sifa kubwa kwake na kwa watu wote wenye uelewa!

Kumbuka kuwa World Bank ni taasisi kubwa yenye uwakilishi mpana hadi Waafrika wasomi wamo na si Wazungu tu kama wajinga fulani wanavyopotosha!

Mhe.Zitto Kabwe jana kupitia BBC ameileza Dunia kupitia kwa swali Mtangazaji Zuhura Yunus kuwa yuko nje kwa ajili ya ushawishi huo kwasababu ndani ya Tanzania hakuna nafasi (space) kwa ajili ya majadiliano na miafaka kama Taifa.Hakuna Uhuru wa habari,Demokrasia ,Utawala wa sheria na mambo mengine kibao! Hizo ndizo hoja za kutolewa ufafanuzi na watu wenye akili!
Tunazuiaje watoto wetu wasipate mimba shuleni?
 
Ukiulizwa kwenye mtihani disadvantages za multipartism ukamtaja Zitto unapata alama zote tatu bila kuelezea
 
Mnaopinga hoja ni wapuuzi.

Swali ni kwamba kwa nini kipindi kile Lissu alipokuwa anafanya anachofanya Zitto sasa alimbeza na kumpinga ila yeye sasa hivi ndo anakifanya kile kile alichokuwa anakifanya.

Ndo naamini na mimi hapa kuwa bongo hakuna upinzani maana hawana misimamo na hoja zao na wengi wa upinzani ni bendera fuata upepo maana hata ikitolewa hoja ya ajabu watasifia tu ili mradi aliyeitoa ni mpinzani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi mabeberu ni wakina nani
 
Back
Top Bottom