sblandes JF-Expert Member Joined Apr 25, 2010 Posts 6,632 Reaction score 4,737 Jan 30, 2020 #41 Yawezekana Zitto ni double agent,kama angekuwa Mbowe au Lema agekuwa jela. Achana na Zitto ni maji marefu.
Yawezekana Zitto ni double agent,kama angekuwa Mbowe au Lema agekuwa jela. Achana na Zitto ni maji marefu.
A Akasankara JF-Expert Member Joined Feb 28, 2015 Posts 4,210 Reaction score 5,752 Jan 30, 2020 #42 Mwandishi ana hasira za kunyimwa uteuzi
wambagusta JF-Expert Member Joined Nov 28, 2014 Posts 2,825 Reaction score 2,292 Jan 30, 2020 #43 Mshakubari kwamba beberu ndie baba enu eeeh
Ben Bella JF-Expert Member Joined Dec 3, 2019 Posts 529 Reaction score 1,858 Jan 30, 2020 #44 Nyie wapiga zumari, mwambieni bwana wenu Meko aache uonevu kwetu sisi wavuja jasho. Huyo Zitto ndiye kimbilio la watanzania zaidi ya 70% wanaonyanyaswa na serikali hii ya kidhalimu. Tutaendelea kumuunga mkono Zitto pasi kuchoka kwani ameonesha dhamira ya kweli ya kutupigania. Nenda, nenda, nenda, Zitto. Wewe ndiye unathamini utu wetu kuliko hili jitu la Chato lisilo na huruma. Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie wapiga zumari, mwambieni bwana wenu Meko aache uonevu kwetu sisi wavuja jasho. Huyo Zitto ndiye kimbilio la watanzania zaidi ya 70% wanaonyanyaswa na serikali hii ya kidhalimu. Tutaendelea kumuunga mkono Zitto pasi kuchoka kwani ameonesha dhamira ya kweli ya kutupigania. Nenda, nenda, nenda, Zitto. Wewe ndiye unathamini utu wetu kuliko hili jitu la Chato lisilo na huruma. Sent using Jamii Forums mobile app