johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wakati huo hilo bunge la akina Mbowe lilikuwa wapi?!Rais aliagiza kujengwa kwa Uwanja wa Ndege wa Chato wakati hapakuwa na Bajeti iliyopitishwa na Bunge na kazi kutolewa kwa Kampuni ambayo ina mahusiano na Rais na inasemekana ni kampuni yake bila Zabuni yenye ushindani. Kampuni hiyo ni Mayanga Construction Limited #HATUDANGANYIKI.
Mkuu una mantiki lakini, sasa tuanzishe hashstag ya HatudanganyikiRais aliagiza kujengwa kwa Uwanja wa Ndege wa Chato wakati hapakuwa na Bajeti iliyopitishwa na Bunge na kazi kutolewa kwa Kampuni ambayo ina mahusiano na Rais na inasemekana ni kampuni yake bila Zabuni yenye ushindani. Kampuni hiyo ni Mayanga Construction Limited #HATUDANGANYIKI.
Hili la akina Mbowe na Ndugai?
Hakuna vita hapo mkuu, wataipotezea tuNgoja tuone huu mpambano utaisha vipi.......
Bila kumpa boss mgawo wake
Kosa ni mupe mruke,mzee baba hakupata mgaoBila kumpa boss mgawo wake
Mheshimiwa Zitto atukumbushe haya hapo Oktoba ili tufanye uamuzi sahihi
Lichukue hatua basi siyo kulialia tu kupitia bunge la Jf!