Zitto Kabwe: Tangu lini Rais anaheshimu Bunge? Kosa la Lugola ni kufanya dili kwa kumzunguka Rais, hoja ya Bunge ni kisingizio tu

Zitto Kabwe: Tangu lini Rais anaheshimu Bunge? Kosa la Lugola ni kufanya dili kwa kumzunguka Rais, hoja ya Bunge ni kisingizio tu

Rais Magufuli anasema Kangi Lugola na wenzake wamesaini Mkataba bila ruhusa ya Bunge. Hii ndio standard? Mkataba Gani? Mbona kama hiyo ndio standard wengi hawapaswi kuwepo ofisini hata yeye mwenyewe.

Ujenzi wa Chato Airport Shs 69 bilioni haukupitishwa na BUNGE

Ununuzi wa Helkopta 13 USD 200m za kumlinda yeye Rais haukupitishwa na Bunge

Mkataba wa SGR haukupitishwa na Bunge, Shs 5 Trilioni

Mkataba wa passport mpya haukupitishwa na BUNGE, shs 230 bilioni

Ununuzi wa ndege haukupitishwa na BUNGE, 1.5 Trilioni. Juzi Serikali imesaini Mkataba na Boeing kununua ndege ya pili ya Dreamliner kwa Mkopo ( lease purchase) BILA RUHUSA YA BUNGE wala huo mkopo haumo kwenye mikopo iliyoruhusiwa na BUNGE

Mkataba wa Barrick haukupitishwa na BUNGE

Rais aliidhinisha Fedha Shs 600 bilioni kutoka Benki Kuu ili kununua Korosho zilizoleta hasara ya USD 500m ( Shs 1.2 Trilioni) bila idhini ya Bunge.

Tangu lini Rais anaheshimu Bunge?

Kuna jambo. SIO HILI AMESEMA Rais. Najua kosa la Kangi kafanya Dili kwa kumzunguka Rais. Rais amekasirika. Rafiki yangu Kangi hakujua kuwa hakuna DILI nchini bila mkono wa Rais. Hoja ya BUNGE ni kisingizio tu.
Naye huyu bado yupo.Dili za NSSF hazipo tena kaa kimya!!!ulivyokuwa unakula na magl hatukusema
 
Zitto ndio hajui!

Yeye Zitto na Waziri hana tofauti yoyote labda anazidiwa marupurupu tu........team Kangi vs team Musiba!
Zamani nilikuwa nawafahamu watu wa Musoma kama wenye akili, wananaojiamini na hawajikombikombi kwa mtu .... Mpaka nilipokuja kuwafahamu hawa wawili, Lugola na Msiba.
 
Duh! Aisee wewe ni bonge la kiazi. Hiyo umeitoa nchi gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
Chakaza we upo nchi gani...Ibara ya37 ya katiba ya Tz...ipo wazi
37,(1) mbali Na kuzingatia mashart yaliyomo katika katiba hii,na sheria za jamuhuri ya muungano katika utendaji wa kazi na shughuli sake,Rais atakua huru na hatalazimika kufuata ushauri atakaopewa na mtu yoyote isipokua tu pale anapotakiwa Na katiba hii
 
S

siwezi bishana na mtu ambaye upo malinyi lakini akili yako inashikiliwa lumumba(praise team)
Zitaje hizo dharura na sheria inazozibainisha dharura hizo...bwege wewe unakurupuka wakati huna kitu chochote kichwani
 
Kabla ya kuliangazia hili, tufahamu wigo Wa majukumu ya waziri Wa mambo ya ndani na mamlaka ya raisi na uraisi kama kiongozi Mkuu Wa nchi.

Wote wana Mamlaka ila yasio lingana na wote wana simamiwa na Katiba ya Nchi ktk kutekeleza Majukumu yao.Hata Jeshi la Polis wakati mwingine ktk Hali flani wana ruhusiwa na Sheria kuvunja baadhi ya Sheria ili kutekeleza Majukumu yao lakini kwa Utaratibu flani.Hiyo yote ni kutambua Hali ya kibinadamu ,hivyo usimfanye Rais kama malaika.
 
Rais anaweza kuvunja sheria na taratibu zote bila kushitakiwa wala kuguswa na jinai.

Katiba hiyo.
 
Rais aliagiza kujengwa kwa Uwanja wa Ndege wa Chato wakati hapakuwa na Bajeti iliyopitishwa na Bunge na kazi kutolewa kwa Kampuni ambayo ina mahusiano na Rais na inasemekana ni kampuni yake bila Zabuni yenye ushindani. Kampuni hiyo ni Mayanga Construction Limited #HATUDANGANYIKI.
Wananchi wa Tanzania
Ujenzi wa Chato unafadhiliwa na serikali ya China. Marais wote wa Africa wanajengewa home town zao mara tu wakiingia madarakani. Hii financing ni reciprocal. Rais wote wamejengewa na wengine hupewa fedha.
 
Rais Magufuli anasema Kangi Lugola na wenzake wamesaini Mkataba bila ruhusa ya Bunge. Hii ndio standard? Mkataba Gani? Mbona kama hiyo ndio standard wengi hawapaswi kuwepo ofisini hata yeye mwenyewe.

Ujenzi wa Chato Airport Shs 69 bilioni haukupitishwa na BUNGE

Ununuzi wa Helkopta 13 USD 200m za kumlinda yeye Rais haukupitishwa na Bunge

Mkataba wa SGR haukupitishwa na Bunge, Shs 5 Trilioni

Mkataba wa passport mpya haukupitishwa na BUNGE, shs 230 bilioni

Ununuzi wa ndege haukupitishwa na BUNGE, 1.5 Trilioni. Juzi Serikali imesaini Mkataba na Boeing kununua ndege ya pili ya Dreamliner kwa Mkopo ( lease purchase) BILA RUHUSA YA BUNGE wala huo mkopo haumo kwenye mikopo iliyoruhusiwa na BUNGE

Mkataba wa Barrick haukupitishwa na BUNGE

Rais aliidhinisha Fedha Shs 600 bilioni kutoka Benki Kuu ili kununua Korosho zilizoleta hasara ya USD 500m ( Shs 1.2 Trilioni) bila idhini ya Bunge.

Tangu lini Rais anaheshimu Bunge?

Kuna jambo. SIO HILI AMESEMA Rais. Najua kosa la Kangi kafanya Dili kwa kumzunguka Rais. Rais amekasirika. Rafiki yangu Kangi hakujua kuwa hakuna DILI nchini bila mkono wa Rais. Hoja ya BUNGE ni kisingizio tu.
Zito wewe umeshindwa kufanya hats uchambuzi wa ibara ya 62 (1) ya katiba ya jamuhuri ya muungano wa tanzania.Bunge lina sehemu 2,yaani Wabunge na Rais.Jpm alipomwambia lugola hakulishirikisha bunge alikusudia upande wake na sio wabunge...na ndio sababu alimwambia aliestahiki kusain mkataba huo ni waziri wa fedha.
 
Wote wana Mamlaka ila yasio lingana na wote wana simamiwa na Katiba ya Nchi ktk kutekeleza Majukumu yao.Hata Jeshi la Polis wakati mwingine ktk Hali flani wana ruhusiwa na Sheria kuvunja baadhi ya Sheria ili kutekeleza Majukumu yao lakini kwa Utaratibu flani.Hiyo yote ni kutambua Hali ya kibinadamu ,hivyo usimfanye Rais kama malaika.
Elewa nilichoandika kabla ya kupost
 
Kwa kusema hivyo ,hakukuwa na Sababu ya kuwepo kwa Mihimili mingine.Umeongea Jambo la Ujinga kabisa Mkuu.
Muhimili upi wewe ?tafsiri ya bunge nenda ibara ya 62(1),Bunge lina sehemu 2, Rais na Wabunge
 
Chakaza we upo nchi gani...Ibara ya37 ya katiba ya Tz...ipo wazi
37,(1) mbali Na kuzingatia mashart yaliyomo katika katiba hii,na sheria za jamuhuri ya muungano katika utendaji wa kazi na shughuli sake,Rais atakua huru na hatalazimika kufuata ushauri atakaopewa na mtu yoyote isipokua tu pale anapotakiwa Na katiba hii

Umesha jiuliza hicho kipengele Mstari wa mwisho nna Nukuu "isipokuwa tu pale anapo takiwa na Katiba hii" tayari amewekewa utaratibu wa kuufuata ki'Katiba !?.Usisome Katiba kama unavyo soma Magazeti ,kila Maneno yanayo Maana,ni kwa Sababu tu Afrika hatu heshimu (Katiba) hata ule utaratibu tulio jiwekea.
 
Wapi katiba inaposema raisi wa nchi yupo juu ya katiba. Acha umbumbu wewe kama umeenda shule lazima ikusaidie. Usiwe kipofu kwa sababu magufuli ni msukuma mwenzio
Elewa kwanza ndipo upost weweee, alafu unajifanya umesoma. Ndo tatizo la ninyi mnaojifanya mmesoma.
 
Back
Top Bottom