Zitto Kabwe: Tangu lini Rais anaheshimu Bunge? Kosa la Lugola ni kufanya dili kwa kumzunguka Rais, hoja ya Bunge ni kisingizio tu

Zitto Kabwe: Tangu lini Rais anaheshimu Bunge? Kosa la Lugola ni kufanya dili kwa kumzunguka Rais, hoja ya Bunge ni kisingizio tu

Don't argue with a fool... Fool hapa haimaanishi mjinga bali mpumbavu. Shule alienda kusoma ujinga! Balaa kubwa sana. Unataja ibara ya katiba kujifurahisha! Soma basi uelewe. Muswada unaletwa na rais bungeni. Bunge likiupitisha, rais anausaini na hapo ndipo tu unakuwa sheria. Rais analeta bajeti bungeni. Bunge linaweza kuipitisha au likakataa. Rais hatoi muswada na kuusaini kuwa sheria pasipo Bunge. Rais hatayarishi bajeti na kuanza kuitekeleza bila ya ridhaa ya Bunge.
Jidondofila, hayo maelezo ni kwa ajili ya chekechea. Nimelazimika kuyatoa kwako kwa kuwa wewe ni mpumbavu. Ulienda shule kujua KKK tu bila kuongeza maarifa. Awamu ya 5 wanasaini miswada pasipo Bunge. Hivyo matamko lukuki bila sheria. Wanaanzisha miradi bila baraka za Bunge. Wananunua ndege bila kibali cha Bunge. Halafu anakuja mpumbavu wa jina lako na kuuliza katiba imevunjwa wapi? Pathetic!

Bungua .Bungua na Bungua ...umeandika insha nzuri isiokua na hata msingi wa kuegemea....ibara ya 62(1) ipo wazi bunge nguzo zake ni 2 Rais na wabunge...toa ibara ibara katika katiba ya mama yako ambayo ambayo inasema bunge ni wabunge pekee..Upumbavu wa hali ya juu unauonyesha..wewe na wapumbavu wenzio mnadhani bunge ni wabunge pekee.
 
Tujiulize, Zitto Kabwe anakiongoza chama chake cha ACT Wazalendo kama cha Wanachama au kama ya kwake. Mbowe anaiongaza Chadema kama ya Wanachama au ya kwake.
Mo anataka kuingoza Klabu ya Simba kama ya Wanachama au ya kwake.
Katika Inchi za Afrika kila Kiongozi akiteuliwa au akiunda Chama cha Siasa basi huja na kanuni na sharia zake na kuona chombo hicho kama mali yake na kuzingatia maslahi binafsi zaidi kuliko ya umma.
Rais wetu aliyeko Madarakani amejitahidi sana kuokoa na kukusanya pesa nyingi za Serikali na kwa maana hii Inchi imenufaika na uongozi wake kuliko yeye na rafiki zake.
Kama ni mtihani basi amepata daraja la A.
Si rahisi mwanafunzi kupata 100 kwa 100.
Sina shaka yoyote kumpa big up Rais Makufuli.
Hanijui na sina maslahi ya moja kwa moja kwake lakini alichofanya ni vizuri tumshukuru.
Mswahili huwa anasuburi mtu akifa ndiyo anamsifia lakini akiwa hai ni kumkandia tu.
Leo hii tukimpa Zitto Kabwe uongozi wa Inchi hii hatima yetu itakuwaje.
Leo hii tukimpa Mbowe Inchi hii hatia ya Inchi yetu itakuwaje.
Leo mimi na wewe tukipewa Inchi hii hatima yake itakuwaje.
Tafakari.
Kama chato ndiyo nchi hii sawa. Huo ubinafsi hata Nyerere hakuwahi kuufanya. Mazuri yake yanazidiwa na.mabaya yake.. Assad kasema 1.5 trillion haionekani kaonekana mbaya.
 
Bungua .Bungua na Bungua ...umeandika insha nzuri isiokua na hata msingi wa kuegemea....ibara ya 62(1) ipo wazi bunge nguzo zake ni 2 Rais na wabunge...toa ibara ibara katika katiba ya mama yako ambayo ambayo inasema bunge ni wabunge pekee..Upumbavu wa hali ya juu unauonyesha..wewe na wapumbavu wenzio mnadhani bunge ni wabunge pekee.
Kama bunge ni wabunge na rais, iweje rais anajifsnyia tu mambo atakavyo bila wabunge kuhusishwa!? Toa ibara inayoonesha bunge ni rais pekee yake.
 
Rais aliagiza kujengwa kwa Uwanja wa Ndege wa Chato wakati hapakuwa na Bajeti iliyopitishwa na Bunge na kazi kutolewa kwa Kampuni ambayo ina mahusiano na Rais na inasemekana ni kampuni yake bila Zabuni yenye ushindani. Kampuni hiyo ni Mayanga Construction Limited #HATUDANGANYIKI.
Where did the money come from?
 
Kweli hata mimi nimejiuliza kidogo,kwanza ni ukweli kuwa sifungamani na Kangi Lugola na Kamishna Andengenye kuhusu huo unaoitwa "ufisadi" wao wa Romania,ila jambo langu mahususi ni kuwa Rais mwenyewe, kama Mkuu wa nchi na Serikali, amefanya mambo mengi bila idhini ya Bunge.

Rais alianza kwa kuzuia mikutano ya kisiasa kwa vyama vingine na chama chake na makada wa chama chake wakiendelea kufanya mikutano. Katazo hili halipo kisheria na ni uvunjifu wa Katiba aliyoapa kuilinda lakini mpaka sasa Rais haoni kama hilo ni kosa.

Mambo mengi Mh. Rais kayafanya yanayohusisha matumizi ya mamilioni ya pesa bila idhini ya Bunge ambalo ni muwakilishi wa wananchi. Unapokuwa unakemea rushwa, basi si tu ukemee kwa maneno, bali hata matendo yako yaakisi kile unachokitenda.

Hawa kina Lugola sio kwamba walifanya makosa ya kuingia huo mkataba bila kujua, ila walifanya kile ambacho wanaona mkubwa wao anafanya kwa kukiuka taratibu wakajua ndio mtindo wa awamu hii.

What a mother goat does, A child Goat should imitate...

Hivi hata project zilizoko jeshini zinajadiliwa na bunge? Mfano ni huo ununuzi wa helicopter.
Hayo mengine ni kweli wanahitaji hekima kuangalia vizuri
 
Huyu mzee meko ilitakiwa awe chini ya ni mtu wa ajabu ajabu tu na mambo na matendo yake ni ya ajabu ajabu tu.
 
Ujinga huo ulionao ndio tatizo...nimekueleza vizuri unapotamka bunge unamaanisha Rais na Wabunge...bunge lina sehemu 2,Moja rais na Wabunge.Kaa ukijua Rais ni sehem ya bunge.
Kwa hiyo akiamua Rais peke yake ni sawa na kuwa bunge limeamua?
 
Kama bunge ni wabunge na rais, iweje rais anajifsnyia tu mambo atakavyo bila wabunge kuhusishwa!? Toa ibara inayoonesha bunge ni rais pekee yake.
Ibara ya 63(1) inasema;
Rais kama sehem moja ya Bunge atatekeleza madaraka yote aliyokabidhiwa na katiba hii kwa ajili hio.
Ibara hio imetungiwa sheria mwaka 1984,Sheria ya madaraka ya bunge.
 
Kwa hiyo akiamua Rais peke yake ni sawa na kuwa bunge limeamua?
Ndio kaka na analindwa na ibara ya 63(1),,,ipo wazi hata zitto analijua hilo...kumbukeni katiba ndio iliompa madaraka makubwa Rais kias kwamba hata akitaka kua mungu mtu anakua
 
Ndio kaka na analindwa na ibara ya 63(1),,,ipo wazi hata zitto analijua hilo...kumbukeni katiba ndio iliompa madaraka makubwa Rais kias kwamba hata akitaka kua mungu mtu anakua
Kwa hiyo kutokana na katiba, Rais akitaka anaweza kutunga sheria na kuipitisha yeye mwenyewe?
 
Rais Magufuli anasema Kangi Lugola na wenzake wamesaini Mkataba bila ruhusa ya Bunge. Hii ndio standard? Mkataba Gani? Mbona kama hiyo ndio standard wengi hawapaswi kuwepo ofisini hata yeye mwenyewe.

Ujenzi wa Chato Airport Shs 69 bilioni haukupitishwa na BUNGE

Ununuzi wa Helkopta 13 USD 200m za kumlinda yeye Rais haukupitishwa na Bunge

Mkataba wa SGR haukupitishwa na Bunge, Shs 5 Trilioni

Mkataba wa passport mpya haukupitishwa na BUNGE, shs 230 bilioni

Ununuzi wa ndege haukupitishwa na BUNGE, 1.5 Trilioni. Juzi Serikali imesaini Mkataba na Boeing kununua ndege ya pili ya Dreamliner kwa Mkopo ( lease purchase) BILA RUHUSA YA BUNGE wala huo mkopo haumo kwenye mikopo iliyoruhusiwa na BUNGE

Mkataba wa Barrick haukupitishwa na BUNGE

Rais aliidhinisha Fedha Shs 600 bilioni kutoka Benki Kuu ili kununua Korosho zilizoleta hasara ya USD 500m ( Shs 1.2 Trilioni) bila idhini ya Bunge.

Tangu lini Rais anaheshimu Bunge?

Kuna jambo. SIO HILI AMESEMA Rais. Najua kosa la Kangi kafanya Dili kwa kumzunguka Rais. Rais amekasirika. Rafiki yangu Kangi hakujua kuwa hakuna DILI nchini bila mkono wa Rais. Hoja ya BUNGE ni kisingizio tu.
Come on bwana Zitto...you and us know how our Bunge operates na for your information..you guys have let us down almost all the time.. sometimes I wonder if we really needs you guys...I sometimes dare say we can do without you people coz to be honest! Most of you are a disgrace... let magu try his way/ true African way and see where he get us..if we are not happy..the results will tell in less than ten months... after all what is wrong trying new approach?..Bunge had over 50yrs of failure and going back to the drawing board is not a sin..few will cry but many will prosper... THINK BIG Mr MP.
 
Kwa hiyo kutokana na katiba, Rais akitaka anaweza kutunga sheria na kuipitisha yeye mwenyewe?
Tumia akili Na vifungu vya katiba.kazi ya wabunge na sehemu yao ya bunge ni
1,kuuliza maswali
2,kujadili na kuidhinisha budget na mipango ya serikali
3,Kujadili utekelezaji wa kila wizara Wakati wa mkutano wa bunge wa kila mwaka wa budget .
Hizo ndizo kazi za bunge
 
Mkuu anatafuta kisingizio cha kuwadanganya watanzania.
Kama kweli tatizo ni hilo la hiyo bajeti kutopitishishwa na bunge, basi msaku ufanyike kwa miradi yote inayotekelezwa na serikali tuone kama hizo pesa zimepitishwa na bunge.

Aseme tu kuwa kuna conflict of interest kati yake na hao walio waliosaini katika mkataba huo.
 
Bungua .Bungua na Bungua ...umeandika insha nzuri isiokua na hata msingi wa kuegemea....ibara ya 62(1) ipo wazi bunge nguzo zake ni 2 Rais na wabunge...toa ibara ibara katika katiba ya mama yako ambayo ambayo inasema bunge ni wabunge pekee..Upumbavu wa hali ya juu unauonyesha..wewe na wapumbavu wenzio mnadhani bunge ni wabunge pekee.
Wapumbavu wote hukimbilia matusi. Sichoki, utaelimika tu. Sasa maelezo kwa level ya pre- kindergaten. Bunge = rais+ wabunge ( pengine mara mbili katika muda wa miaka mitano). Inapokuwa hivyo, rais anaenda bungeni. Mambo yote yanafanyika kibunge, mkuu wa Bunge akiwa ni Spika. Akimaliza kama ni hotuba anaondoka. Rais hajiandikishi kwenye mahudhurio, hayumo kwenye kamati za Bunge wala hachangii lolote ndani ya Bunge.
Hiyo ibara haimpi rais mamlaka ya kutunga sheria wala kupitisha bajeti ya serkali yake. Akifanya hivyo amevunja katiba ya nchi( na si ya mamako). Mambo yote yanayolalamikiwa kayafanya pasipo baraka za Bunge. Hapa sio baraka za ilani ya uchaguzi ya CCM ( M. Njemba) wala za baraza la mawaziri. Hapa ni Bunge tu. Hilo watu wenye akili zetu timamu ndilo tunaongelea. Kama na hapa hujaelewa, basi tena. Kuna mithali: mtwange mpumbavu na mchi kinuni bado atatoka na upumbavu wake! Yarabi.
 
Rais Magufuli anasema Kangi Lugola na wenzake wamesaini Mkataba bila ruhusa ya Bunge. Hii ndio standard? Mkataba Gani? Mbona kama hiyo ndio standard wengi hawapaswi kuwepo ofisini hata yeye mwenyewe.

Ujenzi wa Chato Airport Shs 69 bilioni haukupitishwa na BUNGE

Ununuzi wa Helkopta 13 USD 200m za kumlinda yeye Rais haukupitishwa na Bunge

Mkataba wa SGR haukupitishwa na Bunge, Shs 5 Trilioni

Mkataba wa passport mpya haukupitishwa na BUNGE, shs 230 bilioni

Ununuzi wa ndege haukupitishwa na BUNGE, 1.5 Trilioni. Juzi Serikali imesaini Mkataba na Boeing kununua ndege ya pili ya Dreamliner kwa Mkopo ( lease purchase) BILA RUHUSA YA BUNGE wala huo mkopo haumo kwenye mikopo iliyoruhusiwa na BUNGE

Mkataba wa Barrick haukupitishwa na BUNGE

Rais aliidhinisha Fedha Shs 600 bilioni kutoka Benki Kuu ili kununua Korosho zilizoleta hasara ya USD 500m ( Shs 1.2 Trilioni) bila idhini ya Bunge.

Tangu lini Rais anaheshimu Bunge?

Kuna jambo. SIO HILI AMESEMA Rais. Najua kosa la Kangi kafanya Dili kwa kumzunguka Rais. Rais amekasirika. Rafiki yangu Kangi hakujua kuwa hakuna DILI nchini bila mkono wa Rais. Hoja ya BUNGE ni kisingizio tu.
Hahahahaha
 
Rais Magufuli anasema Kangi Lugola na wenzake wamesaini Mkataba bila ruhusa ya Bunge. Hii ndio standard? Mkataba Gani? Mbona kama hiyo ndio standard wengi hawapaswi kuwepo ofisini hata yeye mwenyewe.

Ujenzi wa Chato Airport Shs 69 bilioni haukupitishwa na BUNGE

Ununuzi wa Helkopta 13 USD 200m za kumlinda yeye Rais haukupitishwa na Bunge

Mkataba wa SGR haukupitishwa na Bunge, Shs 5 Trilioni

Mkataba wa passport mpya haukupitishwa na BUNGE, shs 230 bilioni

Ununuzi wa ndege haukupitishwa na BUNGE, 1.5 Trilioni. Juzi Serikali imesaini Mkataba na Boeing kununua ndege ya pili ya Dreamliner kwa Mkopo ( lease purchase) BILA RUHUSA YA BUNGE wala huo mkopo haumo kwenye mikopo iliyoruhusiwa na BUNGE

Mkataba wa Barrick haukupitishwa na BUNGE

Rais aliidhinisha Fedha Shs 600 bilioni kutoka Benki Kuu ili kununua Korosho zilizoleta hasara ya USD 500m ( Shs 1.2 Trilioni) bila idhini ya Bunge.

Tangu lini Rais anaheshimu Bunge?

Kuna jambo. SIO HILI AMESEMA Rais. Najua kosa la Kangi kafanya Dili kwa kumzunguka Rais. Rais amekasirika. Rafiki yangu Kangi hakujua kuwa hakuna DILI nchini bila mkono wa Rais. Hoja ya BUNGE ni kisingizio tu.
Wewe huna lolote mwanasiasa uchwara tu. Vipi Accacia wako wapi?
 
Wapumbavu wote hukimbilia matusi. Sichoki, utaelimika tu. Sasa maelezo kwa level ya pre- kindergaten. Bunge = rais+ wabunge ( pengine mara mbili katika muda wa miaka mitano). Inapokuwa hivyo, rais anaenda bungeni. Mambo yote yanafanyika kibunge, mkuu wa Bunge akiwa ni Spika. Akimaliza kama ni hotuba anaondoka. Rais hajiandikishi kwenye mahudhurio, hayumo kwenye kamati za Bunge wala hachangii lolote ndani ya Bunge.
Hiyo ibara haimpi rais mamlaka ya kutunga sheria wala kupitisha bajeti ya serkali yake. Akifanya hivyo amevunja katiba ya nchi( na si ya mamako). Mambo yote yanayolalamikiwa kayafanya pasipo baraka za Bunge. Hapa sio baraka za ilani ya uchaguzi ya CCM ( M. Njemba) wala za baraza la mawaziri. Hapa ni Bunge tu. Hilo watu wenye akili zetu timamu ndilo tunaongelea. Kama na hapa hujaelewa, basi tena. Kuna mithali: mtwange mpumbavu na mchi kinuni bado atatoka na upumbavu wake! Yarabi.
Wewe hujui kitu waache wanaojua wachangie kafanye home work kijana!
 
Msisahau ya kwambaa mwaka 2020 ndio mwaka wa kutubuu...mimi namuomba Mungu sanaa wale watu wanaona kuwa watanzania ni wajingaa sana basi ujinga wao mwaka huu utaoneka sanaa

2020 msisahau kutubu dhambii zenu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumia akili Na vifungu vya katiba.kazi ya wabunge na sehemu yao ya bunge ni
1,kuuliza maswali
2,kujadili na kuidhinisha budget na mipango ya serikali
3,Kujadili utekelezaji wa kila wizara Wakati wa mkutano wa bunge wa kila mwaka wa budget .
Hizo ndizo kazi za bunge
Kazi ingine ya bunge ni kutunga sheria. Kwa hiyo Rais anaweza kutunga sheria akiwa kavaa kofia ya bunge halafu akaipitisha akiwa kavaa kofia ya Urais?
 
Back
Top Bottom