Zitto Kabwe: Tanzania Bara (Tanganyika) inachukua 98% ya Mapato yote ya Muungano, Zanzibar inaambulia 2% tu

Nimekusoma ,

Lakini sidhani kama Tanganyika kaonewa ni kama mpango kazi haiwezekani likawa halikuonekana hili

upande wa wafanya biashara nimeelewa fact yako, ila bado kuna wale local business partners bado itahitaji kufanya biashara kuna namna kunatakiwa kurekebishwa , haikai sawa kama nchi moja ila ukitaka kwenda huku inalipa ushuru
 
hivi mapato yanayotokana na muungano ni yepi? tuelewesheni ambayo zanzibar inastahili.
Mikopo/miradi inayofadhiliwa na world bank inayokuja kwa jina la Tanzania ,inaweza ikawa donor fund project, n.k kwa kuwa Zanzibar na Tanganyika ni nchi moja ambayo ni Tz
 

..ukiachilia mbali kutokuwepo kwa serikali ya Tanganyika, muungano unaendeshwa kienyeji-enyeji mno.

..hoja alizotoa Zitto Kabwe ni uthibitisho wa uendeshaji wa muungano wetu usiofuata taratibu.

..kuna mapesa mengi yanatoka serikali ya muungano upande wa Tanganyika kwenda Zanzibar. Mapesa hayo yanapelekwa nje ya taratibu. Halafu baadae Zanzibar wanalalamika kwamba hawapati swahili yao iliyowekwa kisheria.

..Mfano mdogo, Tanesco inaposamehe deni la umeme la Zanzibar, serikali inakuwa imetumia kifungu gani cha sheria ya mgawanyo wa mapato kati ya Muungano, Tanganyika, na Zanzibar?
 
Waarabu janja janja mingi. Siku tunatoa mguu hapo utawaona. Baada ya kupinduliwa hawakutarajia Nyerere na Karume watafanya mambo chap chap namna ile, walitarajia kujipanga na kurudi, mpaka leo ukute kuna waarabu wanaamini Zanzibar ni ya babu zao na watarudi kuimiliki.
 
Zanzibar is ours
 
Wewe ndio wale wale mbumbumbu huna ujualo pole sana
 
Sawa na mkoa? Wewe kweli ni wale wale mbumbumbu pole sana

..Waznz kama mna nia ya dhati ya kupata haki zenu ndani au nje ya muungano basi waungeni mkono Chadema kwani ndio wenye watu huku Tanganyika.

..Wanaowanyima Waznz haki zao ni Ccm. Na Ccm hushirikiana na baadhi ya Waznz kama Samia Suluhu, Hussein Mwinyi, na wengine.

..Waznz wamekuwa wakilalamika kuwa vikosi vya Jwtz hupelekwa Znz kila wakati wa uchaguzi. Wanawalaumu Watanganyika. Lakini sote tunajua Hussein Mwinyi ndiye aliyekuwa Waziri wa Ulinzi mwenye dhamana na Jwtz kwa muda mrefu. Je, Jwtz wakifanya vurugu Znz, Hussein Mwinyi hawajibiki au hastahili lawama?
 
Kwani wao ni % ngapi ya Population?
 
Kwani wao wanachangia asilimia ngapi ya pato
Na kama tunawaonea basi muungano uvunjike tu
 
Picha ya kanakwamba ni muumini wa Muungano,,,yafuatayo kwangu ni chukizo...
  • Kwenda Zanzibar ni lazima uwe na kitambulisho kabla ya kupanda boti.
  • Uhuru finyu wa kidini, hasa kwa siye wa dhehebu tofauti.
  • Kuna baadhi ya kazi za taaluma hauruhusiwi kuzifanya Zanzibar kama wewe ni Mbara ,,
 
sawa lakini hata kama ni hizo bidhaa, zote huwa zinalipiwa mara mbili - kwa TRA na ZRA
Mkuu,
Hata Bara kuna malipo ya kodi na ushuru mara mbili mbili....
Wenye biashara wanalipa TRA,Manispaa na serikali za kata...

Pia kumbuka Zanzibar wana mkataba wa soko huria na Oman na Dubai...bidhaa zaingia kwa kodi pungufu kuliko Bandari ya Dar.
 
Wacha porojo eleza wewe



Wewe kweli ni mbumbumbu unafananisha znz na temeke pole sana
Yani shida yenu ndiyo hapo elimu duni...
Weka data hapo za kuonesha makusanyo yenu na siyo ngonjera....

Wilaya ya Temeke ndiyo ina miliki chanzo kikubwa cha mapato Tanzania, unataka uifananishe na Zenji.
Kwa kipi hasa labda....?

Mzuri wa kutusi ila elimu, sifuri.
 
Kaka umejaribu kufafanua vzr. ila kwakusaidia tu ni kwamba, suala la 21% ni la kisheria tu ila utekelezaji wake haujawahi kufanyika kwa kiwango hicho! nenda kwenye taasisi zote za muungano utaniambia, Mchengerwa alitaka kututania lkn. akashindwa! jamani muwe na amani, hata kama Rais ni Mzanzibari, Watanganyika bado tupo!
 
Kwa hiyo wewe na hiyo elimu yako unafananisha Zanzibar na temeke? Pole sana wewe kweli ni mbumbumbu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…