mangiTz
JF-Expert Member
- Jul 28, 2019
- 1,820
- 3,062
Nimekusoma ,..Huo ni uonevu kwa Tanganyika.
..Tanganyika anastahili kuwa na mamlaka yake ya kukusanya mapato yake.
..wanaolipishwa ushuru kwa kuleta mizigo toka Zanzibar maana yake hawakulipa ushuru walipoteremsha mzigo Zanzibar.
..kumekuwa na jitihada za muda mrefu za wafanyabiashara wasio waaminifu kujaribu kutumia Zanzibar kama uchochoro wa kukwepa kulipa kodi.
..Zaidi haileti mantiki mfanyabiashara anayetaka kuuza bidhaa Tanganyika, aagize bidhaa toka nje halafu azipeleke Zanzibar kwanza, badala ya kuzileta moja kwa moja Tanganyika.
Lakini sidhani kama Tanganyika kaonewa ni kama mpango kazi haiwezekani likawa halikuonekana hili
upande wa wafanya biashara nimeelewa fact yako, ila bado kuna wale local business partners bado itahitaji kufanya biashara kuna namna kunatakiwa kurekebishwa , haikai sawa kama nchi moja ila ukitaka kwenda huku inalipa ushuru