Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zito Kabwe amewashangaa wale ambao wanahoji kuhusu Muungano hasa huku Bara akisema hawajui kitu kwani wanaotakiwa kuhoji ni Wazanzibar.
Zito ambae ni mtaalamu wa kujenga hoja Kwa takwimu amesema Kwa masuala ya Muungano yanayohusu Mapato, Zanzibar hupata asilimia 2% pekee na ndio imekuwa mojawapo ya Changamoto za Muungano Kwa miaka Mingi.
Aidha Kwa wale msiojua TRA inakusanya zaidi ya Bilioni 400 Kila mwaka kutoka Zanzibar ambazo Kwa sehemu kubwa zinatumika Bara.
View attachment 2978631
My Take
Wazanzibar ndio wanapaswa kulaumu na kulalamika kuhusu Muungano maana wananyonywa na sio Tanzania Bara kama wanavyodanganywa na kina Lisu.
View attachment 2978630
Kwani nani kasema hawana ZRA? Kama hakiji Bara TRA wanafanya nini Zanzibar?Zanzibar Wana bodi Yao ya Kodi wanachokusanya Zanzibar ni Chao tu hawakileti Tanzania bara
Onyesha hiyo 20% ulikoitoa maana hiyo hoja ndio Zito kaioinga hapo Juu Kwa kusema ni 4.5% only.Zito awaokote wasiojielewa.
Wale wasiojua:
Mikopo inachukuliwa na Tanganyika kwa jina la Tanzania. Na siku zote mkopaji ndiye anayedaiwa. Lakini kuanzia mwaka 2022 Zanzibar imekuwa ikipewa 20% ya mikopo hiyo huku Zanzibar ikiwa na watu 3% tu ya watu wote.
Kuanzia mwaka 2022, misaada ambayo imekuwa ikitolewa kwa Tanzania, Zanzibar imekuwa ikichukua 20% wakati idadi ya watu na ukubwa wa eneo la Zanzibar ni chini ya 4% ya nchi.
Makubaliano wakati wa Muungano, Zanzibar inastahili kupewa 8%, ambayo bado ilikuwa kubwa sana kulinganisha na kile wanachopata Tanganyika. Lakini sasa, kimya kimya imetoka kwenye 8% mpaka 20%. Wakati huo huo, bado kuna gharama nyingine kama umeme, Zanzibar imekuwa hailipii kwa maelezo kuwa mapato yake ni madogo!!
Wapo wachache wangepiga pesa nyingi sana .Hiyo covid tu walipata pesa kibao ila mpaka waombe maana zipo bara.Zenj wangejitawala wangekuwa mbali sana,wanapiga kazi ila Bara watu Wana mdomo na fitina hatari.
Just imagine licha ya Samia kutoka Zanzibar kuwaokoa kwenye uchumi ulikokuwa unakuta wameishia kumjazia fitina 😁😁
Ili kuikandamiza Zanzibar.Muache na kuwapelekea Viongozi wa Bara 😁😁TRA inakusanya mapato Zanzibar ya nini?
Kila nchi ikusanye mapato Yale huko huko.
Unakwenda kukusanya mapato ya watu 1.5 milioni ,unachanganya na mapato ya watu 60 million?
Yes,Zito ni mchumi mwenzangu, takwimu zinaongea hatutaki porojo.
Muungano ni Kwa maslahi ya Tanzania,Bara inahitaji Zanzibar kuliko Zenj inavyohitaji BaraHuu muungano ni ndoa haramu ya ccm wasio na mahesabu
Excellent 👌Nadhani tuwe na "" Tanzania revenue authority znz, na Tanzania revenue authority mainland""
Kila mmoja akusanye kwa maendeleo yake! Mengine tuendelee kuyatatua polepole!
Acha kutumia terms ambazo hujuiAlichoongea ni nini kama sio ratio?
Fatma haoni irony ya kumuita Ali Hassan Mwinyi mtanganyika kwa sababu tu alizaliwa kivure Tanganyika. Kuwa alisoma primary Zanzibar na aliishi huko sehemu kubwa ya maisha yake yote. Wakati wa uhuru wa Tanganyika alikuwa Uingereza na aliporudi alirudi Zanzibar kama mkuu wa chuo. Wakati wa mapinduzi alikuwa Zanzibar, sio Tanganyika. Anasahau kuwa babu yake alizaliwa Nyasa mwaka 1905 na hivyo kwa tafsiri yake hakuwa mzanzibari. Ana selective memory. Hajawahi kuzungumzia ubaya wa babu yake lakini kutwa anashupalia ubaya wa watanganyika!Sasa hapo ndio uneongea nini? Kwanza Huwa mnawapelekea Watangabyika kutawala kule View attachment 2978632
Sasa hapo ndio utajua Zitto ni mjinga na mpuuzi wa kiwango cha lami.Zanzibar inachangia kiasi Gani kwenye bajeti ya mambo ya muungano?
Maana ya Muungano itakuwa haipo.Suluhu ni Nchi Moja ,jambo ambalo Wazanzibar hawataki kusikia.Nadhani tuwe na "" Tanzania revenue authority znz, na Tanzania revenue authority mainland""
Kila mmoja akusanye kwa maendeleo yake! Mengine tuendelee kuyatatua polepole!
Bara wanatafuta nini huku Zanzibar??Muungano ni Kwa maslahi ya Tanzania,Bara inahitaji Zanzibar kuliko Zenj inavyohitaji Bara
Nyie watu wa Bara ndio mumeyaleta haya Kupitia mropokaji LisuFatma haoni irony ya kumuita Ali Hassan Mwinyi mtanganyika kwa sababu tu alizaliwa kivure Tanganyika. Kuwa alisoma primary Zanzibar na aliishi huko sehemu kubwa ya maisha yake yote. Wakati wa uhuru wa Tanganyika alikuwa Uingereza na aliporudi alirudi Zanzibar kama mkuu wa chuo. Wakati wa mapinduzi alikuwa Zanzibar, sio Tanganyika. Anasahau kuwa babu yake alizaliwa Nyasa mwaka 1905 na hivyo kwa tafsiri yake hakuwa mzanzibari. Ana selective memory. Hajawahi kuzungumzia ubaya wa babu yake lakini kutwa anashupalia ubaya wa watanganyika!
Amandla...
PesaBara wanatafuta nini huku Zanzibar??
Ninaomba kwa uelewa wako utusaidie tuelewe jambo hili
Kuna pesa Gani huko?Pesa
Security
Israel vs Gaza
China vs Taiwan
US anajuta pale Kwa Cuba 😂😂😂😂