Zitto Kabwe: Tanzania Bara (Tanganyika) inachukua 98% ya Mapato yote ya Muungano, Zanzibar inaambulia 2% tu

Zitto Kabwe: Tanzania Bara (Tanganyika) inachukua 98% ya Mapato yote ya Muungano, Zanzibar inaambulia 2% tu

Zito Kabwe amewashangaa wale ambao wanahoji kuhusu Muungano hasa huku Bara akisema hawajui kitu kwani wanaotakiwa kuhoji ni Wazanzibar.

Zito ambae ni mtaalamu wa kujenga hoja Kwa takwimu amesema Kwa masuala ya Muungano yanayohusu Mapato, Zanzibar hupata asilimia 2% pekee na ndio imekuwa mojawapo ya Changamoto za Muungano Kwa miaka Mingi.

Aidha Kwa wale msiojua TRA inakusanya zaidi ya Bilioni 400 Kila mwaka kutoka Zanzibar ambazo Kwa sehemu kubwa zinatumika Bara.
View attachment 2978631

My Take
Wazanzibar ndio wanapaswa kulaumu na kulalamika kuhusu Muungano maana wananyonywa na sio Tanzania Bara kama wanavyodanganywa na kina Lisu.
View attachment 2978630
Ina maana ccm yote na chawa wake plus serikali yake haina hata mtu mmoja anaefikia uwezo wa zitto naona kama watu wamejipa faraja kama vile zitto ni mwanaccm kamjibu lissu!
 
Ina maana ccm yote na chawa wake plus serikali yake haina hata mtu mmoja anaefikia uwezo wa zitto naona kama watu wamejipa faraja kama vile zitto ni mwanaccm kamjibu lissu!
Kwani Zito anamjibu Lisu? Kwani Zito kaanza Leo kutoa hizo takwimu?

CCM hawawezi kuzitoa maana ukweli ni kwamba zinawaelemea Wazanzibar na kufaidisha Wabara zaidi.
 
Lissu kawapasua kweli kweli hadi mnaikimbia mei mosi.
Kapasua nini? Nadhani huyo Lisu Huwa anawapasua nyie nyumbu,Ukiwa na akili timamu utaandamana eti kuja kusema tunataka Tanganyika?
 
Zanzibar inajitegemea Kwa Mapato yake ,kinachotoka Bara kwenda huko ni 2% tuu na wakati Bara mnakomba 98% ya Mapato yanayotokana na Muungano zikiwemo zaidi ya Bilioni 400 ambazo TRA anakusanya Bado taasisi zingine kama uhamiaji ,Utalii nk.
Kama Zanz wana mapato yao nje na mapato ya muungano unadhani Tanganyika mapato yake ni yapi yasiyo ya muungano mpaka hiyo ratio ikuvuruge?
 
Kama Zanz wana mapato yao nje na mapato ya muungano unadhani Tanganyika mapato yake ni yapi yasiyo ya muungano mpaka hiyo ratio ikuvuruge?
Kinachoitwa Mapato ya Muungano ndio Mapato ya Bara ambayo inakusanya Hadi Zanzibar ila Zanzibar wanaishia kwenye mipaka Yao.
 
Kwa hiyo siye Watanganyika tutaangamia Bila ya uwepo wa Zanzibar? (Yaani endapo ndoa hii ya kulazimishana itatenguliwa rasmi)
Hapana ila Kwa nini kuleta ubaguzi na utengano usio na Tija kama Chadema wanavyohibiri?
 
Kwani Zito anamjibu Lisu? Kwani Zito kaanza Leo kutoa hizo takwimu?

CCM hawawezi kuzitoa maana ukweli ni kwamba zinawaelemea Wazanzibar na kufaidisha Wabara zaidi.
Kwa muda aliyotoa huo mchanganuo na maji ya baridi aliomwaga lissu watu wamechanganyikiwa kila mmoja anajibu bila takwimu kama za zitto hata wewe mwenyewe ungekuwa unajua hivi vitu ungesaidia kujibu ndio maana huwa nasisitiza mtu anapotusi au kudanganya watu ni vyema chawa wa mama kumjibu yule mtu kisomi mange alitukana wote watu walikimbia lakini hakuna anayejibu kisomi je kweli mambo yatakwenda kwa mapambio bila nguvu ya hoja!
 
Kwa muda aliyotoa huo mchanganuo na maji ya baridi aliomwaga lissu watu wamechanganyikiwa kila mmoja anajibu bila takwimu kama za zitto hata wewe mwenyewe ungekuwa unajua hivi vitu ungesaidia kujibu ndio maana huwa nasisitiza mtu anapotusi au kudanganya watu ni vyema chawa wa mama kumjibu yule mtu kisomi mange alitukana wote watu walikimbia lakini hakuna anayejibu kisomi je kweli mambo yatakwenda kwa mapambio bila nguvu ya hoja!
Ndio takwimu hizo umewekewa.Nimekwambja swali ccm hawawezi weka takwimu Kwa sababu zinawapunja Zanzibar.
 
Ndio takwimu hizo umewekewa.Nimekwambja swali ccm hawawezi weka takwimu Kwa sababu zinawapunja Zanzibar.
Hata wakiwa wanapunjwa ndio uhalisia ratio haiwezi kugawiwa sawa kati ya bara na visiwani sasa waogope nini ndio mambo yakuficha ficha mwendawazimu lissu anachukua point za huruma kwa wananchi mnakosa la kujibu eti mkisema mtawapunja kwani hamuwapunji kweli na hoja ya lissu ni kuwa kwanini bandari ya zanzibar haikubinafsishwa kwa maslahi ya muungano!
 
Karume (Mzanzibari) alishawahi sema "Muungano ni kama koti ulilolivaa, ukiona linakubana unalivua".
Sijaona kosa la Chadema kuhubiri makosa ya Muungano endapo wamebaini kasoro nyingi tu, ambazo aidha zinamuumiza yoyote yule.
Sawa ila Bara ndio inakomaa na Muungano Kwa sababu una faida kwake.

Nilitegemea watu wa Bara wakae kimya ila Wazanzibar walalamike.

So acheni ujinga
 
Hata wakiwa wanapunjwa ndio uhalisia ratio haiwezi kugawiwa sawa kati ya bara na visiwani sasa waogope nini ndio mambo yakuficha ficha mwendawazimu lissu anachukua point za huruma kwa wananchi mnakosa la kujibu eti mkisema mtawapunja kwani hamuwapunji kweli na hoja ya lissu ni kuwa kwanini bandari ya zanzibar haikubinafsishwa kwa maslahi ya muungano!
Mgawanyo ufuatwe ratio stahiki sio kupunjwa.
 
Zito Kabwe amewashangaa wale ambao wanahoji kuhusu Muungano hasa huku Bara akisema hawajui kitu kwani wanaotakiwa kuhoji ni Wazanzibar.

Zito ambae ni mtaalamu wa kujenga hoja Kwa takwimu amesema Kwa masuala ya Muungano yanayohusu Mapato, Zanzibar hupata asilimia 2% pekee na ndio imekuwa mojawapo ya Changamoto za Muungano Kwa miaka Mingi.

Aidha Kwa wale msiojua TRA inakusanya zaidi ya Bilioni 400 Kila mwaka kutoka Zanzibar ambazo Kwa sehemu kubwa zinatumika Bara.

View: https://twitter.com/MfanyakaziNews/status/1785636663323996254?t=s92jVBKH81hHu1XZDDDIwg&s=19

My Take
Naunga mkono hoja ya Zito,Wazanzibar ndio wanapaswa kulaumu na kulalamika kuhusu Muungano kwamba wanapunjwa na sio Tanzania Bara kama wanavyodanganywa na kina Lisu.

View: https://twitter.com/MfanyakaziNews/status/1785629244741005525?t=aa-cd8j2wSKWNuS9EY_8Dw&s=19

Unajaribu kujiuliza, Chadema na Lisu wake na kina Mbowe wanahubiri Mgawanyiko,chuki na Utengano wa Tanzania Kwa maslahi ya nani hasa?

kwahiyo alitaka kawilaya kenye watu chini ya 2m kapate sawa na nchi yenye watu 58m? ni haki yake aseme hivyo kwasababu ACT WAZALENDO wapo zenji pekee huku bara hawapo. na huko ndiko anapatia ruzuku. opportunist mno huyu, na anatafuta upendeleo kwa ccm wampe tena pesa amalizie kale kagorofa kalikosimama ujenzi pale dodoma karibu na kisasa.
 
Nilitegemea watu wa Bara wakae kimya ila Wazanzibar walalamike.

So acheni ujinga
Ndugu! Inaelekea uko obsessed sana na ukada kisa tu Chadema huipendi. Lakini nakwambia inawezekana Chadema wakawa na hoja Nzuri za kutaka "Muungano aidha uvunjwe au urekebishwe ili usiwepo upande unaoumia". Lakini chama Cha Mapinduzi, CCM, wamejitenga kabisa ktk kushughulikia changamoto zilizopo.
Sasa, kama CCM ni walinzi wa aina ya Muungano uliopo (ambao unakasoro nyingi tu), unataka wakina nani wazungumzie?
Kumbuka Zanzibar pia inayotawala ni CCM, Kwa hiyo hakuna jipya kule.
 
Ndugu! Inaelekea uko obsessed sana na ukada kisa tu Chadema huipendi. Lakini nakwambia inawezekana Chadema wakawa na hoja Nzuri za kutaka "Muungano aidha uvunjwe au urekebishwe ili usiwepo upande unaoumia". Lakini chama Cha Mapinduzi, CCM, wamejitenga kabisa ktk kushughulikia changamoto zilizopo.
Sasa, kama CCM ni walinzi wa aina ya Muungano uliopo (ambao unakasoro nyingi tu), unataka wakina nani wazungumzie?
Kumbuka Zanzibar pia inayotawala ni CCM, Kwa hiyo hakuna jipya kule.
Uvunje Muungano Kwa maslahi ya nani?

Hoja nzuri Huwa inawasikishwa Kwa upotoshaji na kuhubiri chuki?

Acheni ujinga.
 
Back
Top Bottom