Zitto Kabwe: Tanzania Bara (Tanganyika) inachukua 98% ya Mapato yote ya Muungano, Zanzibar inaambulia 2% tu

Wakati huo, Zanzibar wanachukua mapato ghafi ya Tanganyika ambayo siyo ya kimuungano, wanachukua umeme wetu bure bila hata kulipa chochote, wanamiliki ardhi zetu bure bila kulipia, huku wanadeka kama vile vi lastborn vya nchi...

Solution ya kudumu ni kuunda serikali moja
 
Wewe pia ni mpumbavu hiyo ZRA ipo kwa mujibu sheria za znz na katiba yao pole sana
 

Hata kama haya anayoyasema Zitto ni ya kweli, hiyo siyo sababu ya Watanganyika kunyamazia kero za Muungano. Sana sana anaendelea kutuonyesha ni jinsi gani Muungano ulivyokuwa na mapungufu mengi.

Wazenji wanao wabunge 80 kwenye Bunge ambao ndiyo wanabariki hiyo bajeti ...... wadai mgao wao kutoka kwa Mwigulu. Ila wasitake tunyamaze kimya wakati wanauza Mbuga, Misitu na Bandari zetu kwa Waarabu kwa sababu hawapati mgao wao toka Tanaganyika.
 
Kama haya anayoyasema Ndugu Zitto,basi ni KWELI kuna TATIZO..ameongezea kwenye HOJA za Mh Lissu..na msingi TUKAE chini,tujadiliane kwa UWAZI n UKWELI huku tukitanguliza MBELE Mama Tanzania,
👌
 
Alichomaniisha Zito ndio ukweli wenyewe hata kama watanganyika mutakasirika Muungano unawanufaisha zaidi watanganyika kuliko wazanzibari huo ndio ukweli pole sana
 
Ndio matajiri wa Bara hapa,punguzeni majungu na fitina pigeni kazi
Matajiri ni wapemba waarabu.
Generally tuseme waarabu,wazanzibari hawana hurka ya maendeleo,hawapendi kusoma na wanapenda umwinyi.
Zanzibar kama ingeachwa yenyewe ingebaki MASIKINI KUTUPWA.
Nenda Zanzibar halafu ukaone maisha yao.
Mtu anafanya kazi akishapata hela ya kula basi anarudi nyumbani kupumzika,elimu hawataki wanashikilia kusomeshana elimu ya majini tu.
 
Kwa hiyo siye Watanganyika tutaangamia Bila ya uwepo wa Zanzibar? (Yaani endapo ndoa hii ya kulazimishana itatenguliwa rasmi)
Hatutaangamia ila tutakuwa tumeachia fursa. Zanzibar ukiiacha chap kuna nchi itafunga nayo ndoa hata kama si kwa jina la muungano. Pana pesa pale. Pesa nzuri, pesa mingi. Nyerere hakuwa jinga.
 
Ndio hao hao Wazanzibar,Samia mnapiga majungu Kwa sababu ana Asili ya Arabuni.

Pigeni kazi acheni majungu ya kijinga nyie watu wa mashambani.
 
Bara inakusanya kiasi gani ?, Ina mahitaji kiasi gani ? Ina ukubwa kiasi gani ? Je ni sawa kwenda 50% / 50% bila kuangalia mahitaji na watu wa kuwahudumia ?
 
Huyu uso fenesi, angetuambia Zanzibar inachangia kiasi gani katika pato la Taifa la Muungano, tungemuelwa.
 
Weka hoja zako badala ya vitisho.
Zanzibar inayo mamlaka yake inayokusanya kodi.
 
Ndio hao hao Wazanzibar,Samia mnapiga majungu Kwa sababu ana Asili ya Arabuni.

Pigeni kazi acheni majungu ya kijinga nyie watu wa mashambani.
Wazanzibari wana kipi we jamaa!?
Hivi umefika Pemba na Unguja!?
Umeona wale jamaa walivyo nyuma kwa exposure na utendaji!?
Samia ana nini bwana wewe!?
Hata dada yangu angeongoza vema kuliko Samia Suluhu Hassa.
Hiyo Zanzibar iliyopiga angalau hatua kidogo ni kwasababu ya wanyamwezi na wasukuma waliolowea huko Unguja.
 
Ule uwe mkoa tu maana sisi waTanganyika hatuna mpango wa kuiacha ile ardhi na bahari yake. Ule ni urithi wa baba Nyerere na Karume hauuzwi. Akitokea mtoto anataka kuuza tunamvamia kama nyuki wanavyovamia mvuna asali.
 
Alichomaniisha Zito ndio ukweli wenyewe hata kama watanganyika mutakasirika Muungano unawanufaisha zaidi watanganyika kuliko wazanzibari huo ndio ukweli pole sana
Huu Muungano unawabeba sana wapemba.
Zanzibar ni visiwa vya watu wenye asili ya uvivu na ujinga.
Kupiga hatua kwa Tanganyika kumewaokoa sana hawa jamaa.
Hata huyu Bakhresa kwanini hajawekeza Zanzibar na akawekeza Tanganyika!?
Ulishawahi kujiuliza hilo!?
Kwanini hao wenyewe huja kuwekeza huku bara na sio huko kwao visiwani!?
Tanganyika kuna room of adjustment ambayo huwezi ikuta visiwani.
Embu tembeeni ninyi jamaa mkaone hiyo Zanzibar.
 
Zanzibar inajitegemea Kwa Mapato yake ,kinachotoka Bara kwenda huko ni 2% tuu na wakati Bara mnakomba 98% ya Mapato yanayotokana na Muungano zikiwemo zaidi ya Bilioni 400 ambazo TRA anakusanya Bado taasisi zingine kama uhamiaji ,Utalii nk.
Onyesha katika hilo kapu la mapato ni kiasi gani kiliingizwa kutoka Zanzibar.
Hata hiyo 2% wanayopewa hawakustahiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…