Zitto Kabwe tumia vizuri hii fursa ya CHADEMA kususia chaguzi zote nchini

Zitto Kabwe tumia vizuri hii fursa ya CHADEMA kususia chaguzi zote nchini

Wahenga walishasema siku zote adui yako muombee njaa, pia wakasema wakati wa shida ndiyo muda wa kujipatia fursa kwa wenye uelewa mkubwa.

Baada ya Chadema kupitia mwenyekiti wake kutangaza kususia chaguzi zote nchini ,hii ni fursa adhimu kwa chama cha ACT Wazalendo kujiimarisha na kuwa chama kikuu cha upinzani nchini kufikia uchaguzi mkuu mwaka 2020.!

Ikumbukwe kuwa Zito Kabwe alifukuzwa kinyama Chadema baada ya kuhoji uenyekiti wa milele wa Mbowe ,hivyo hana sababu yoyote ya kuwaonea huruma wala kuungana na Chadema katika kipindi hiki kigumu wanachopitia .

Wazalendo na wapenda mabadiliko wa nchi yetu wanatuma salamu kwa Zito Kabwe na kumwambia kuwa nyota ya mafanikio kwake sasa inawaka na nyota ya chadema inazima rasmi.

Zito Kabwe huko uliko anza kushangilia na kuwazomea wabaya wako Chadema huku ukijiimarisha kisiasa na ukijiandaa kuwa kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni mwaka 2020.
Ikumbukwe kuwa hamna aliyewahi kushindana na Zito Kabwe alafu akabaki salama, kususia chaguzi zote ndiyo kifo na mwisho wa Chadema.

Kwa heri ,Mbowe ,kwa heri Chadema na karibu ACT Wazalendo na karibu Zito Kabwe kama kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni.
rabish
 
Wahenga walishasema siku zote adui yako muombee njaa, pia wakasema wakati wa shida ndiyo muda wa kujipatia fursa kwa wenye uelewa mkubwa.

Baada ya Chadema kupitia mwenyekiti wake kutangaza kususia chaguzi zote nchini ,hii ni fursa adhimu kwa chama cha ACT Wazalendo kujiimarisha na kuwa chama kikuu cha upinzani nchini kufikia uchaguzi mkuu mwaka 2020.!

Ikumbukwe kuwa Zito Kabwe alifukuzwa kinyama Chadema baada ya kuhoji uenyekiti wa milele wa Mbowe ,hivyo hana sababu yoyote ya kuwaonea huruma wala kuungana na Chadema katika kipindi hiki kigumu wanachopitia .

Wazalendo na wapenda mabadiliko wa nchi yetu wanatuma salamu kwa Zito Kabwe na kumwambia kuwa nyota ya mafanikio kwake sasa inawaka na nyota ya chadema inazima rasmi.

Zito Kabwe huko uliko anza kushangilia na kuwazomea wabaya wako Chadema huku ukijiimarisha kisiasa na ukijiandaa kuwa kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni mwaka 2020.
Ikumbukwe kuwa hamna aliyewahi kushindana na Zito Kabwe alafu akabaki salama, kususia chaguzi zote ndiyo kifo na mwisho wa Chadema.

Kwa heri ,Mbowe ,kwa heri Chadema na karibu ACT Wazalendo na karibu Zito Kabwe kama kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni.
Labda tuanzie hapa,
1)Kuna umuhimu wa kuwa na demokrasia ya vyama vingi nchini?
2) Unaona manufaa gani kuwepo kwa CHADEMA au ACT?
3)Mambo wanayolalamikia Chadema je ACT wanayakubali au wanaona ni sawa?,na je wao watastawi katika hayo mazingira?,na kwa nini unafikiri wao watafanikiwa ktk mazingira yaliyowashinda wenzao?
 
Labda tuanzie hapa,
1)Kuna umuhimu wa kuwa na demokrasia ya vyama vingi nchini?
2) Unaona manufaa gani kuwepo kwa CHADEMA au ACT?
3)Mambo wanayolalamikia Chadema je ACT wanayakubali au wanaona ni sawa?,na je wao watastawi katika hayo mazingira?,na kwa nini unafikiri wao watafanikiwa ktk mazingira yaliyowashinda wenzao?
Chadema hawataki kusema kweli kwamba hawana hela
 
Wahenga walishasema siku zote adui yako muombee njaa, pia wakasema wakati wa shida ndiyo muda wa kujipatia fursa kwa wenye uelewa mkubwa.

Baada ya Chadema kupitia mwenyekiti wake kutangaza kususia chaguzi zote nchini ,hii ni fursa adhimu kwa chama cha ACT Wazalendo kujiimarisha na kuwa chama kikuu cha upinzani nchini kufikia uchaguzi mkuu mwaka 2020.!

Ikumbukwe kuwa Zito Kabwe alifukuzwa kinyama Chadema baada ya kuhoji uenyekiti wa milele wa Mbowe ,hivyo hana sababu yoyote ya kuwaonea huruma wala kuungana na Chadema katika kipindi hiki kigumu wanachopitia .

Wazalendo na wapenda mabadiliko wa nchi yetu wanatuma salamu kwa Zito Kabwe na kumwambia kuwa nyota ya mafanikio kwake sasa inawaka na nyota ya chadema inazima rasmi.

Zito Kabwe huko uliko anza kushangilia na kuwazomea wabaya wako Chadema huku ukijiimarisha kisiasa na ukijiandaa kuwa kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni mwaka 2020.
Ikumbukwe kuwa hamna aliyewahi kushindana na Zito Kabwe alafu akabaki salama, kususia chaguzi zote ndiyo kifo na mwisho wa Chadema.

Kwa heri ,Mbowe ,kwa heri Chadema na karibu ACT Wazalendo na karibu Zito Kabwe kama kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni.


FULANI.jpg
 
Wahenga walishasema siku zote adui yako muombee njaa, pia wakasema wakati wa shida ndiyo muda wa kujipatia fursa kwa wenye uelewa mkubwa.

Baada ya Chadema kupitia mwenyekiti wake kutangaza kususia chaguzi zote nchini ,hii ni fursa adhimu kwa chama cha ACT Wazalendo kujiimarisha na kuwa chama kikuu cha upinzani nchini kufikia uchaguzi mkuu mwaka 2020.!

Ikumbukwe kuwa Zito Kabwe alifukuzwa kinyama Chadema baada ya kuhoji uenyekiti wa milele wa Mbowe ,hivyo hana sababu yoyote ya kuwaonea huruma wala kuungana na Chadema katika kipindi hiki kigumu wanachopitia .

Wazalendo na wapenda mabadiliko wa nchi yetu wanatuma salamu kwa Zito Kabwe na kumwambia kuwa nyota ya mafanikio kwake sasa inawaka na nyota ya chadema inazima rasmi.

Zito Kabwe huko uliko anza kushangilia na kuwazomea wabaya wako Chadema huku ukijiimarisha kisiasa na ukijiandaa kuwa kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni mwaka 2020.
Ikumbukwe kuwa hamna aliyewahi kushindana na Zito Kabwe alafu akabaki salama, kususia chaguzi zote ndiyo kifo na mwisho wa Chadema.

Kwa heri ,Mbowe ,kwa heri Chadema na karibu ACT Wazalendo na karibu Zito Kabwe kama kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni.
Ushauri wako ni mzuuur lkn unasahau kwamba ACT ni cha cha upinzaniii kwaiyo Yale yanayosababisha CDM kususia uchaguzi yasipo rekebishwa ACT wataaangukia pua kama CDM kikubwa ni marekebisho yafanyike kwenye tume huru ya uchaguziiii
 
Wahenga walishasema siku zote adui yako muombee njaa, pia wakasema wakati wa shida ndiyo muda wa kujipatia fursa kwa wenye uelewa mkubwa.

Baada ya Chadema kupitia mwenyekiti wake kutangaza kususia chaguzi zote nchini ,hii ni fursa adhimu kwa chama cha ACT Wazalendo kujiimarisha na kuwa chama kikuu cha upinzani nchini kufikia uchaguzi mkuu mwaka 2020.!

Ikumbukwe kuwa Zito Kabwe alifukuzwa kinyama Chadema baada ya kuhoji uenyekiti wa milele wa Mbowe ,hivyo hana sababu yoyote ya kuwaonea huruma wala kuungana na Chadema katika kipindi hiki kigumu wanachopitia .

Wazalendo na wapenda mabadiliko wa nchi yetu wanatuma salamu kwa Zito Kabwe na kumwambia kuwa nyota ya mafanikio kwake sasa inawaka na nyota ya chadema inazima rasmi.

Zito Kabwe huko uliko anza kushangilia na kuwazomea wabaya wako Chadema huku ukijiimarisha kisiasa na ukijiandaa kuwa kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni mwaka 2020.
Ikumbukwe kuwa hamna aliyewahi kushindana na Zito Kabwe alafu akabaki salama, kususia chaguzi zote ndiyo kifo na mwisho wa Chadema.

Kwa heri ,Mbowe ,kwa heri Chadema na karibu ACT Wazalendo na karibu Zito Kabwe kama kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni.
Kweli majina yanaumba....haya ndio madhara ya kuitwa Polepole ..... Thinking capacity iko chini sana .....khaaaa!!!!?
 
Yani reasoning zetu ziko chini sana kama wanafunzi wa darasa la saba duh!!!!!
Darasa la saba wanauelewa angalau kidogo...
Uwezo wake ni kama wa wanafunzi wa shule maalu ya matahila...(utindio wa ubongo)
 
Ushauri wako ni mzuuur lkn unasahau kwamba ACT ni cha cha upinzaniii kwaiyo Yale yanayosababisha CDM kususia uchaguzi yasipo rekebishwa ACT wataaangukia pua kama CDM kikubwa ni marekebisho yafanyike kwenye tume huru ya uchaguziiii
Chadema hawana hela za kushiriki uchaguzi ,sasa wamebuni kichaka cha tume huru.
 
Wahenga walishasema siku zote adui yako muombee njaa, pia wakasema wakati wa shida ndiyo muda wa kujipatia fursa kwa wenye uelewa mkubwa.

Baada ya Chadema kupitia mwenyekiti wake kutangaza kususia chaguzi zote nchini ,hii ni fursa adhimu kwa chama cha ACT Wazalendo kujiimarisha na kuwa chama kikuu cha upinzani nchini kufikia uchaguzi mkuu mwaka 2020.!

Ikumbukwe kuwa Zito Kabwe alifukuzwa kinyama Chadema baada ya kuhoji uenyekiti wa milele wa Mbowe ,hivyo hana sababu yoyote ya kuwaonea huruma wala kuungana na Chadema katika kipindi hiki kigumu wanachopitia .

Wazalendo na wapenda mabadiliko wa nchi yetu wanatuma salamu kwa Zito Kabwe na kumwambia kuwa nyota ya mafanikio kwake sasa inawaka na nyota ya chadema inazima rasmi.

Zito Kabwe huko uliko anza kushangilia na kuwazomea wabaya wako Chadema huku ukijiimarisha kisiasa na ukijiandaa kuwa kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni mwaka 2020.
Ikumbukwe kuwa hamna aliyewahi kushindana na Zito Kabwe alafu akabaki salama, kususia chaguzi zote ndiyo kifo na mwisho wa Chadema.

Kwa heri ,Mbowe ,kwa heri Chadema na karibu ACT Wazalendo na karibu Zito Kabwe kama kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni.

Kuna mdau amesema huna tofauti na funza
 
Tunalo taifa la ajabu na watu wa ajabu sana aiseeeee, yani mtu kama ww ungekuwa ndg yangu aiseeeee ningekutoa kafara nipate mtaji wa biashara
Kwa mtu mwenye akili kama hizo huwa hana thamani kwenye kafara. Ukimtoa unaweza ukapata vitz used tu
 
Wahenga walishasema siku zote adui yako muombee njaa, pia wakasema wakati wa shida ndiyo muda wa kujipatia fursa kwa wenye uelewa mkubwa.

Baada ya Chadema kupitia mwenyekiti wake kutangaza kususia chaguzi zote nchini ,hii ni fursa adhimu kwa chama cha ACT Wazalendo kujiimarisha na kuwa chama kikuu cha upinzani nchini kufikia uchaguzi mkuu mwaka 2020.!

Ikumbukwe kuwa Zito Kabwe alifukuzwa kinyama Chadema baada ya kuhoji uenyekiti wa milele wa Mbowe ,hivyo hana sababu yoyote ya kuwaonea huruma wala kuungana na Chadema katika kipindi hiki kigumu wanachopitia .

Wazalendo na wapenda mabadiliko wa nchi yetu wanatuma salamu kwa Zito Kabwe na kumwambia kuwa nyota ya mafanikio kwake sasa inawaka na nyota ya chadema inazima rasmi.

Zito Kabwe huko uliko anza kushangilia na kuwazomea wabaya wako Chadema huku ukijiimarisha kisiasa na ukijiandaa kuwa kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni mwaka 2020.
Ikumbukwe kuwa hamna aliyewahi kushindana na Zito Kabwe alafu akabaki salama, kususia chaguzi zote ndiyo kifo na mwisho wa Chadema.

Kwa heri ,Mbowe ,kwa heri Chadema na karibu ACT Wazalendo na karibu Zito Kabwe kama kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni.
ukonga shahada za kupigia kura mlinunua shilling 10000/. sheria ya takwimu imebadilishwa kwa kumzuia zitto asihoji hicho mnachoita kukua kwa uchumi. musiba alimtaja zitto kama mtu hatari. hayo mapenzi kwa zitto yanatoka wapi?
 
ukonga shahada za kupigia kura mlinunua shilling 10000/. sheria ya takwimu imebadilishwa kwa kumzuia zitto asihoji hicho mnachoita kukua kwa uchumi. musiba alimtaja zitto kama mtu hatari. hayo mapenzi kwa zitto yanatoka wapi?
Tulieni jamani
 
Back
Top Bottom