Kuna watu walikuwa wanajifanya wazalendo mpaka kupiga wengine risasi. Lakini ni wazalendo gani wanampiga mtu risasi akiwakosoa, wanataifisha pesa za watu kwenye bank, waharibu biashara na uwekezaji wa watu, wanajipendelea na kutumia pesa ya umma kujenga kwao na kufikia mpaka kuweka mbuga, wanaiba kura kwa kupitia usalama na Polisi, wanatumia pesa nje ya budget, wana rekodi maadui wao wa kisiasa, wanauwa waandishi wa habari wanao wapinga, wanadanganya Watanzania kuhusu covid……