Zitto Kabwe: Ubadhirifu wa 2020/21 ni mara mbili ya mwaka uliotangulia. Kulikuwa na ubadhirifu kwa jina la uzalendo

Zitto Kabwe: Ubadhirifu wa 2020/21 ni mara mbili ya mwaka uliotangulia. Kulikuwa na ubadhirifu kwa jina la uzalendo

Huu ufisadi wa Magufuli ndio unamuuma sana Zitto zaidi ya ule wa Escrow, EPA nk

Huyu mmoja alikuwa anaiba huku anajiita mzalendo ili kutudanganya, yule mwingine alikuwa anaiba kimya kimya, hawa kwangu wote ni wezi tu.

Najua Zitto anashindwa kumlaumu yule mmoja kwasababu aliwahi kusema huyo alikuwa ni sawa na baba yake, anamfichia aibu.

Anajua kulalamika kama vile ni mzalendo wa kweli, kumbe akiambiwa habari za Katiba Mpya naye hataki kuzisikia. Maana yake huyu mnafiki anataka tuendelee kuibiwa na marafiki zake ili nae agaiwe, ila tukiibiwa na wale wasio rafiki zake ndio anaumia.

Kuendelea kumshangilia huyu tapeli na hizi kelele zake za kila siku kwa Magufuli ni kujidumaza akili tu, anawazubaisha wajinga, na kwa ujinga wao wanazidi kumshangilia.
Hata kama Zito awe na matatizo gani, lakini anayoyasema dhidi ya utawala wa dikteta Magufuli ni sahihi.
 
Kama Magufuli aliiba hivyo na bado akatuletea maendeleo yote yale; wao awamu ya nne hawakuiba mbona walishindwa kutufanyia chochote cha maana?

Awamu ya sita ambayo haiibi, imeongeza kodi, tozo, imekopa kwa namna isiyomithilika na bado inachukua misaada mbona haijafanya hata 25% tu ya aliyoyafanya Magufuli kwenye mwaka wake wa kwanza?

We need more leaders like Magufuli kuliko hawa wanaojiita watoto wa mjini wanaoiibia hii nchi bila hata aibu. Makamba acha kumtumia Zitto, njoo wewe mwenyewe utuelezee matatizo ya umeme. Tuelezeeni mna-absorb vipi shocks zinazosababishwa na athari za mgogoro wa Ukraine na Urusi.

Mwenzenu Magufuli alituvusha salama kwenye Covid-19.
Wewe bila shaka ni kipofu wa akili.

Ni nini cha pekee alichofanya Magufuli ambacho hakijawahi kufanyika huko nyuma?

Kama una akili na ufahamu na uwezo wa kufuatilia mambo, utagundua kuwa Magufuli alikuwa anaendesha siasa za uwongo kuwahadaa wajinga wamwone kuwa anafanya mambo makubwa sana ambayo hayajawahi kufanyika, wakati hakuna hata moja lililokuwa jipya.
 
Hata kama Zito awe na matatizo gani, lakini anayoyasema dhidi ya utawala wa dikteta Magufuli ni sahihi.
Wapi nimeandika anachosema Zitto dhidi ya Magufuli sio sahihi?

Nisome unielewe hasa paragraph ya pili.

Ukitoka hapo ndio uone unafiki wa huyo Zitto anapopigia kelele uwepo wa tatizo kila siku, lakini akiambiwa aungane na wanaotaka solution anawakimbia, mimi sio mjinga.
 
Kama Magufuli aliiba hivyo na bado akatuletea maendeleo yote yale; wao awamu ya nne hawakuiba mbona walishindwa kutufanyia chochote cha maana?

Awamu ya sita ambayo haiibi, imeongeza kodi, tozo, imekopa kwa namna isiyomithilika na bado inachukua misaada mbona haijafanya hata 25% tu ya aliyoyafanya Magufuli kwenye mwaka wake wa kwanza?

We need more leaders like Magufuli kuliko hawa wanaojiita watoto wa mjini wanaoiibia hii nchi bila hata aibu. Makamba acha kumtumia Zitto, njoo wewe mwenyewe utuelezee matatizo ya umeme. Tuelezeeni mna-absorb vipi shocks zinazosababishwa na athari za mgogoro wa Ukraine na Urusi.

Mwenzenu Magufuli alituvusha salama kwenye Covid-19.
Nenda chato kafukue kabuli ulale pale pembeni upate haki yako, mjane mwenzio mama Janet kanenepeana baada ya kufiwa na mme wew unakondeana tu huku jf kwa kutetea ufisadi,upgaji risasi,utekaji,utesaji wa jiwe. R.I.P Ben saanane
 
Wewe bila shaka ni kipofu wa akili.

Ni nini cha pekee alichofanya Magufuli ambacho hakijawahi kufanyika huko nyuma?

Kama una akili na ufahamu na uwezo wa kufuatilia mambo, utagundua kuwa Magufuli alikuwa anaendesha siasa za uwongo kuwahadaa wajinga wamwone kuwa anafanya mambo makubwa sana ambayo hayajawahi kufanyika, wakati hakuna hata moja lililokuwa jipya.
Ni kweli kabisa Magufuli alikuwa na siasa za uongo:
• Alitudanganya amejenga flyovers
• Alitudanganya amejenga SGR
• Alitudanganya amehamishia serikali Dodoma
• Alitudanganya amejenga vituo vya afya na hospital za willaya na rufaa
• Alitudanganya amekarabati shule kongwe
• Alitudanganya elimu bure
• Alitudanganya kufufua shirika la ndege, reli, na kukarabati na kujenga reli mpya
• Alitudanganya anajenga na kupanua miundombinu ya barabara
• Alitudanganya anajenga bwawa la Mwl Nyerere
• Alitudanganya anapambana na rushwa, mafisadi, wauza madawa ya kulevya na uhakifu mwingine
• Name them

Ni kweli kabisa alitudanganya na aliendesha siasa za uongo na ulaghai.
 
View attachment 2194749


Kuna watu walikuwa wanajifanya wazalendo mpaka kupiga wengine risasi. Lakini ni wazalendo gani wanampiga mtu risasi akiwakosoa, wanataifisha pesa za watu kwenye bank, waharibu biashara na uwekezaji wa watu, wanajipendelea na kutumia pesa ya umma kujenga kwao na kufikia mpaka kuweka mbuga, wanaiba kura kwa kupitia usalama na Polisi, wanatumia pesa nje ya budget, wana rekodi maadui wao wa kisiasa, wanauwa waandishi wa habari wanao wapinga, wanadanganya Watanzania kuhusu covid……
Utawala wa maggufuli ulikuwa wa dikteta na kifisadi kabisa, halafu alikuwa na kipaji Cha kuwa-brain wash Hawa matahira,Walibakia kuimba uzalendo huku mwenzao na team yake kina mffugale wanakwiba
 
Nenda chato kafukue kabuli ulale pale pembeni upate haki yako, mjane mwenzio mama Janet kanenepeana baada ya kufiwa na mme wew unakondeana tu huku jf kwa kutetea ufisadi,upgaji risasi,utekaji,utesaji wa jiwe. R.I.P Ben saanane
Na wewe mjane wake umenenepa au umekonda?
 
View attachment 2194749


Kuna watu walikuwa wanajifanya wazalendo mpaka kupiga wengine risasi. Lakini ni wazalendo gani wanampiga mtu risasi akiwakosoa, wanataifisha pesa za watu kwenye bank, waharibu biashara na uwekezaji wa watu, wanajipendelea na kutumia pesa ya umma kujenga kwao na kufikia mpaka kuweka mbuga, wanaiba kura kwa kupitia usalama na Polisi, wanatumia pesa nje ya budget, wana rekodi maadui wao wa kisiasa, wanauwa waandishi wa habari wanao wapinga, wanadanganya Watanzania kuhusu covid……
Zitto naye alibanwa tu lakini ni mtu mchafu sn, awamu hii yupo kwenye system ajira ya miaka 9
 
Kwanza kabisa kunahitajika utawala wa haki na sheria ambao msingi wake ni Katiba ambayo kila anaevunja sheria anawajibishwa.

Kule Uingereza Boris Johnson, Waziri Mkuu alifanyiwa party ofisini kwake kipindi cha lock down. Jana amelazimika kuomba msamaha hadharani akiwa bungeni na bado kuna jitihada za kumuondoa madarakani. Dhana yao kubwa ni kuwa akiwa kama Waziri Mkuu anajua sheria na alipaswa kuziheshimu. Kuna waliofiwa na ndugu na jamaa kipindi cha lock down na walishindwa kuhudhuria mazishi iweje yeye afanyiwe party.

Tujifika kwenye level ya kuweza kuwawajibisha viongozi wa juu, wachini pia watakua a nidhamu.
Huko hatutafika na CCM
 
View attachment 2194749


Kuna watu walikuwa wanajifanya wazalendo mpaka kupiga wengine risasi. Lakini ni wazalendo gani wanampiga mtu risasi akiwakosoa, wanataifisha pesa za watu kwenye bank, waharibu biashara na uwekezaji wa watu, wanajipendelea na kutumia pesa ya umma kujenga kwao na kufikia mpaka kuweka mbuga, wanaiba kura kwa kupitia usalama na Polisi, wanatumia pesa nje ya budget, wana rekodi maadui wao wa kisiasa, wanauwa waandishi wa habari wanao wapinga, wanadanganya Watanzania kuhusu covid……
Awamu ya 5 hatutakaa tuisahau kwa ufisadi tangu tupate uhuru.
 
Huyu anatumika vibaya, Watanzania wa leo siyo wa jana. Tunajua kupambanua mambo, heri huyo anayemwita fisadi huku yaliyofanyika yanaonekana, hawezi zungumzia awamu ya nne wala ya sita kwa sababu ndiyo wanaofadhiri proganda zake ili kutusahaurisha uovu wao, Mimi binafsi sidanganyiki na hawa walamba asali.
Wacha kuremba remba awamu ya 5 walikuwa wezi sana
 
Mambo mazuri sana haya.

Sasa tufanyeje mkuu 'Sky Eclat.' ili tuyapate haya!

Naona sasa "kula ni kwa urefu wa kamba", wengine wanasema wapo wanaokula "free range", hakuna kamba yoyote inayowazuia kula.
Kutesa kwa zamu maana zamu ya kina Sabaya na Makonda imekwisha sasa ni zamu yetu
 
Back
Top Bottom