Zitto Kabwe unapompambania Erick Kabendera mkumbuke na Juliet Dorie Kulangwa anayeshikiliwa na Polisi Italia

Zitto Kabwe unapompambania Erick Kabendera mkumbuke na Juliet Dorie Kulangwa anayeshikiliwa na Polisi Italia

blix22

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2013
Posts
213
Reaction score
645
Haina ubishi kwamba kukamatwa kwa Erick Kabendera imekuwa pigo kubwa sana kwa Zitto Kabwe ambaye amekuwa akimtumia Erick kusambaza taarifa zake anazozitengeneza kwa lengo la kuishambulia Serikali ya Rais Magufuli kwenye vyombo vya habari vya Mwananchi Communication Ltd yaani Magazeti ya The Citizen na Mwananchi.

Baada ya Erick kukamatwa Zitto amepaniki na ndiye amekuwa mdomo wa Erick kuliko hata wazazi wake, waandishi wa habari wenzake na waajiri wake ambako amekuwa akiandikia habari zake.

Zitto anatumia mitandao ya Kijamii kila saa kupost kitu fulani ilimradi kuonesha Erick kashikwa kwa kuonewa na kuvidhalilisha vyombo vya dola vya Tanzania.

Yaani Mwananchi Communication wakiandaa ukurasa wa gazeti wanampa kwanza Zitto apost ndipo baadaye Watanzania wengine wanapata gazeti wasome. Mfano ni post yake ya leo tarehe 03 Agosti 2019 aliyoipost saa 6:33 usiku ikionesha ukurasa wa mbele wa gazeti la Citizen na kuweka picha ya Mama yake Erick ameshika tama na kuandikiwa anahuzunika na kuomba mwanae aachiwe.

Zitto ameshasahau kuwa juzi alipost habari iliyowahi kuandikwa na Erick miaka ya nyuma ikieleza kuwa Mama yake aliwahi kumuonya juu ya kuandika habari za kuishambulia Serikali.

Tuache hayo, ukweli ni kwamba Erick Kabendera amekuwa akitumiwa na Zitto kupika habari na kuichafua Serikali na kisha kuzisambaza kwenye vyombo vya habari vya kimataifa likiwemo jarida maarufu la The Economist na mengine.

Upo ushahidi wa hata fedha ambazo Zitto humlipa Erick kwa kazi hiyo na pia upo ushahidi wa vikao vya Zitto na Erick wakipanga namna ya kuidhohofisha Serikali. Nadhani ni suala la muda tu teknolojia itatoa msaada ili Watanzania wawajue vibaraka hawa wanaotumiwa na wazungu kudhohofisha Tanzania.

Wakati Watanzania kwa maelfu wakimiminika kwenye kila post ya Zitto Kabwe na kumshambulia kwa uchochezi anaoufanya wa kujaribu kuponda jitihada za Serikali, inashangaza kuona Zitto Kabwe aliyeshikilia bango kutaka Erick Kabendera aachiwe na Polisi ya Tanzania amekaa kimya juu ya Juliet Dorie Kulangwa ambaye anashikiliwa na Polisi ya Italia kwa tuhuma za kuhusika na dawa za kulevya.

Nadhani hapo kisu kimegusa mfupa.

Kampuni ya Mwananchi Communication ambao ndio wamiliki wa magazeti ya The Citizen na Mwananchi ambako Juliet ni mwandishi wao wamekaa kimya na kufunika habari hii licha ya Juliet kukamatwa takribani mwezi mzima uliopita. Zitto nae analijua jambo hili lakini kabana kimya.

Kwa hiyo kwake Zitto na washirika wake magazeti ya Mwananchi na The Citizen wanaona Polisi Tanzania ikimshikilia Erick Kabendera kwa tuhuma za kuhusika katika uvunjaji wa sheria NI KOSA lakini Polisi Italia ikimshikilia Juliet Dorie Kulangwa kwa kuvunja sheria NI SAWA (double standard) na wanakaa kimya kama vile hakuna mwandishi wa habari aliyepo rumande.

Na suala la Juliet kuhusika na uhalifu limekuwa linazungumzwa siku nyingi na vyombo vya Dola vya hapa nchini vilishaanza kufuatilia, amekwenda kukamatwa Italia. Kama ambavyo Erick Kabendera amekuwa na tuhuma za mashaka ya uraia na upotoshaji wa taarifa kwenye vyombo vya habari tangu siku nyingi hadi juzi kati alipotiwa mikononi mwa vyombo vya dola baada ya kukaidi amri ya kufika Polisi.

Hapa sasa ndio namkumbuka Rais Magufuli aliposema tupo katika vita kubwa na tunaowagusa hawafurahii, na watakuja na mbinu nyingi za kutaka kuturudisha nyuma. Watu hao ndio hawa hawa akina Zitto Kabwe na sasa Mungu anawaumbua.

Maana sasa Zitto aliyesifika kwa kuibua mambo mazito sasa amekuwa mwana udaku kama alivyokuwa Mange Kimambi ambaye baadaye kaona anamaliza nguvu zake bure.

Na gazeti la The Citizen na Mwananchi kama kweli nyie ni wanahabari wenye weledi chapisheni taarifa ya kushikwa kwa mwandishi wenu kule Italia.

Tunawajua sana jinsi wahariri wa magazeti haya wanavyotumiwa na vibaraka na wahalifu, ndio maana wamekuwa wakali dhidi ya Serikali ya Rais Magufuli iliyodhibiti mianya ya upigaji, madawa ya kulevya na vibaraka wanaotumiwa na wazungu kuhujumu nchi.

Mwananchi Communication acheni kumshurutisha Mama yake Kabendera ili aseme na nyie mpate Story. Mama huyo tunamfahamu hawezi kwenda kwenye chombo cha habari kuomba aandikiwe habari hiyo. Yeye alishatimiza jukumu lake la kumuonya mwanae juu ya miendo yake ya kuiandika vibaya Tanzania. Haya mengine mmeyasababisha nyie Mwananchi na Zitto wenu. Mmelikoroga na mjue kulinywa.

Bahati nzuri Serikali hii haibabaishwi na kelele za kina Zitto ndio maana kabaki anabwabwaja kama kuku anayetaka kutaga yai na hakuna mtu anayemjibu. Hata Cyprian Musiba sasa kaachana nae. Anguko baya sana hili.

Serikali gani duniani itamwacha mwandishi wa aina ya Erick Kabendera abaki anatamba kuichonganisha kwenye Jumuiya ya kimataifa na kuivuruga nchi kwa uandishi wa aina ile?

Waandishi wa Habari wakati mwingine mnajiweka pabaya nyinyi wenyewe ama kwa tamaa zenu ama kwa kutojielewa. Sasa Erick yupo ndani hao waliokuwa wanamtuma wakamtoe sasa.

JITAFAKARINI.

Kwa herini ndugu zangu.

_Makala hii imeandikwa na Mwandishi wa Habari, aliyewahi kufanya kazi Mwananchi Communication Ltd._
 
Haina ubishi kwamba kukamatwa kwa Erick Kabendera imekuwa pigo kubwa sana kwa Zitto Kabwe ambaye amekuwa akimtumia Erick kusambaza taarifa zake anazozitengeneza kwa lengo la kuishambulia Serikali ya Rais Magufuli kwenye vyombo vya habari vya Mwananchi Communication Ltd yaani Magazeti ya The Citizen na Mwananchi.

Baada ya Erick kukamatwa Zitto amepaniki na ndiye amekuwa mdomo wa Erick kuliko hata wazazi wake, waandishi wa habari wenzake na waajiri wake ambako amekuwa akiandikia habari zake.

Zitto anatumia mitandao ya Kijamii kila saa kupost kitu fulani ilimradi kuonesha Erick kashikwa kwa kuonewa na kuvidhalilisha vyombo vya dola vya Tanzania.

Yaani Mwananchi Communication wakiandaa ukurasa wa gazeti wanampa kwanza Zitto apost ndipo baadaye Watanzania wengine wanapata gazeti wasome. Mfano ni post yake ya leo tarehe 03 Agosti 2019 aliyoipost saa 6:33 usiku ikionesha ukurasa wa mbele wa gazeti la Citizen na kuweka picha ya Mama yake Erick ameshika tama na kuandikiwa anahuzunika na kuomba mwanae aachiwe.

Zitto ameshasahau kuwa juzi alipost habari iliyowahi kuandikwa na Erick miaka ya nyuma ikieleza kuwa Mama yake aliwahi kumuonya juu ya kuandika habari za kuishambulia Serikali.

Tuache hayo, ukweli ni kwamba Erick Kabendera amekuwa akitumiwa na Zitto kupika habari na kuichafua Serikali na kisha kuzisambaza kwenye vyombo vya habari vya kimataifa likiwemo jarida maarufu la The Economist na mengine.

Upo ushahidi wa hata fedha ambazo Zitto humlipa Erick kwa kazi hiyo na pia upo ushahidi wa vikao vya Zitto na Erick wakipanga namna ya kuidhohofisha Serikali. Nadhani ni suala la muda tu teknolojia itatoa msaada ili Watanzania wawajue vibaraka hawa wanaotumiwa na wazungu kudhohofisha Tanzania.

Wakati Watanzania kwa maelfu wakimiminika kwenye kila post ya Zitto Kabwe na kumshambulia kwa uchochezi anaoufanya wa kujaribu kuponda jitihada za Serikali, inashangaza kuona Zitto Kabwe aliyeshikilia bango kutaka Erick Kabendera aachiwe na Polisi ya Tanzania amekaa kimya juu ya Juliet Dorie Kulangwa ambaye anashikiliwa na Polisi ya Italia kwa tuhuma za kuhusika na dawa za kulevya.

Nadhani hapo kisu kimegusa mfupa.

Kampuni ya Mwananchi Communication ambao ndio wamiliki wa magazeti ya The Citizen na Mwananchi ambako Juliet ni mwandishi wao wamekaa kimya na kufunika habari hii licha ya Juliet kukamatwa takribani mwezi mzima uliopita. Zitto nae analijua jambo hili lakini kabana kimya.

Kwa hiyo kwake Zitto na washirika wake magazeti ya Mwananchi na The Citizen wanaona Polisi Tanzania ikimshikilia Erick Kabendera kwa tuhuma za kuhusika katika uvunjaji wa sheria NI KOSA lakini Polisi Italia ikimshikilia Juliet Dorie Kulangwa kwa kuvunja sheria NI SAWA (double standard) na wanakaa kimya kama vile hakuna mwandishi wa habari aliyepo rumande.

Na suala la Juliet kuhusika na uhalifu limekuwa linazungumzwa siku nyingi na vyombo vya Dola vya hapa nchini vilishaanza kufuatilia, amekwenda kukamatwa Italia. Kama ambavyo Erick Kabendera amekuwa na tuhuma za mashaka ya uraia na upotoshaji wa taarifa kwenye vyombo vya habari tangu siku nyingi hadi juzi kati alipotiwa mikononi mwa vyombo vya dola baada ya kukaidi amri ya kufika Polisi.

Hapa sasa ndio namkumbuka Rais Magufuli aliposema tupo katika vita kubwa na tunaowagusa hawafurahii, na watakuja na mbinu nyingi za kutaka kuturudisha nyuma. Watu hao ndio hawa hawa akina Zitto Kabwe na sasa Mungu anawaumbua.

Maana sasa Zitto aliyesifika kwa kuibua mambo mazito sasa amekuwa mwana udaku kama alivyokuwa Mange Kimambi ambaye baadaye kaona anamaliza nguvu zake bure.

Na gazeti la The Citizen na Mwananchi kama kweli nyie ni wanahabari wenye weledi chapisheni taarifa ya kushikwa kwa mwandishi wenu kule Italia.

Tunawajua sana jinsi wahariri wa magazeti haya wanavyotumiwa na vibaraka na wahalifu, ndio maana wamekuwa wakali dhidi ya Serikali ya Rais Magufuli iliyodhibiti mianya ya upigaji, madawa ya kulevya na vibaraka wanaotumiwa na wazungu kuhujumu nchi.

Mwananchi Communication acheni kumshurutisha Mama yake Kabendera ili aseme na nyie mpate Story. Mama huyo tunamfahamu hawezi kwenda kwenye chombo cha habari kuomba aandikiwe habari hiyo. Yeye alishatimiza jukumu lake la kumuonya mwanae juu ya miendo yake ya kuiandika vibaya Tanzania. Haya mengine mmeyasababisha nyie Mwananchi na Zitto wenu. Mmelikoroga na mjue kulinywa.

Bahati nzuri Serikali hii haibabaishwi na kelele za kina Zitto ndio maana kabaki anabwabwaja kama kuku anayetaka kutaga yai na hakuna mtu anayemjibu. Hata Cyprian Musiba sasa kaachana nae. Anguko baya sana hili.

Serikali gani duniani itamwacha mwandishi wa aina ya Erick Kabendera abaki anatamba kuichonganisha kwenye Jumuiya ya kimataifa na kuivuruga nchi kwa uandishi wa aina ile?

Waandishi wa Habari wakati mwingine mnajiweka pabaya nyinyi wenyewe ama kwa tamaa zenu ama kwa kutojielewa. Sasa Erick yupo ndani hao waliokuwa wanamtuma wakamtoe sasa.

JITAFAKARINI.

Kwa herini ndugu zangu.

_Makala hii imeandikwa na Mwandishi wa Habari, aliyewahi kufanya kazi Mwananchi Communication Ltd._
Tangu lini Eric amekuwa mwandishi wa Mwananchi au The Citizen? Uongo huu wa mchana kweupe unaashiria kuwa hujawahi kuwa mfanyakazi wa Mwananchi/The Citizen bali mtumishi wa njaa zinazowatoa uelewa praise team.

Na hiyo ishu ya Juliet inahusiana vipi na Eric?
inCollage_20190731_070241808.jpeg
 
"Kwa sababu ni mwandishi wa BBC, anaongea na wazungu, basi akishikiliwa inakuwa ni habari kubwa sana, lakini mimi najua wanahabari wengi wanahojiwa, haiwi habari. Wenzetu wa Uhamiaji wameeleza vizuri sana kuwa wamekuwa wakimchunguza tangu 2013, na wamepata ushahidi si raia.

Kama wamepata ushahidi (kuwa si raia) wafanye nini, waache kwa kuwa jumuiya ya kimataifa itaongea? Hapana. Sisi ni Tanzania, na tutafanya maamuzi sisi."- Waziri wa Habari, Dk Mwakyembe kuhusu kushikiliwa kwa mwandishi wa habari, Erick Kabendera
 
Haina ubishi kwamba kukamatwa kwa Erick Kabendera imekuwa pigo kubwa sana kwa Zitto Kabwe ambaye amekuwa akimtumia Erick kusambaza taarifa zake anazozitengeneza kwa lengo la kuishambulia Serikali ya Rais Magufuli kwenye vyombo vya habari vya Mwananchi Communication Ltd yaani Magazeti ya The Citizen na Mwananchi.

Baada ya Erick kukamatwa Zitto amepaniki na ndiye amekuwa mdomo wa Erick kuliko hata wazazi wake, waandishi wa habari wenzake na waajiri wake ambako amekuwa akiandikia habari zake.

Zitto anatumia mitandao ya Kijamii kila saa kupost kitu fulani ilimradi kuonesha Erick kashikwa kwa kuonewa na kuvidhalilisha vyombo vya dola vya Tanzania.

Yaani Mwananchi Communication wakiandaa ukurasa wa gazeti wanampa kwanza Zitto apost ndipo baadaye Watanzania wengine wanapata gazeti wasome. Mfano ni post yake ya leo tarehe 03 Agosti 2019 aliyoipost saa 6:33 usiku ikionesha ukurasa wa mbele wa gazeti la Citizen na kuweka picha ya Mama yake Erick ameshika tama na kuandikiwa anahuzunika na kuomba mwanae aachiwe.

Zitto ameshasahau kuwa juzi alipost habari iliyowahi kuandikwa na Erick miaka ya nyuma ikieleza kuwa Mama yake aliwahi kumuonya juu ya kuandika habari za kuishambulia Serikali.

Tuache hayo, ukweli ni kwamba Erick Kabendera amekuwa akitumiwa na Zitto kupika habari na kuichafua Serikali na kisha kuzisambaza kwenye vyombo vya habari vya kimataifa likiwemo jarida maarufu la The Economist na mengine.

Upo ushahidi wa hata fedha ambazo Zitto humlipa Erick kwa kazi hiyo na pia upo ushahidi wa vikao vya Zitto na Erick wakipanga namna ya kuidhohofisha Serikali. Nadhani ni suala la muda tu teknolojia itatoa msaada ili Watanzania wawajue vibaraka hawa wanaotumiwa na wazungu kudhohofisha Tanzania.

Wakati Watanzania kwa maelfu wakimiminika kwenye kila post ya Zitto Kabwe na kumshambulia kwa uchochezi anaoufanya wa kujaribu kuponda jitihada za Serikali, inashangaza kuona Zitto Kabwe aliyeshikilia bango kutaka Erick Kabendera aachiwe na Polisi ya Tanzania amekaa kimya juu ya Juliet Dorie Kulangwa ambaye anashikiliwa na Polisi ya Italia kwa tuhuma za kuhusika na dawa za kulevya.

Nadhani hapo kisu kimegusa mfupa.

Kampuni ya Mwananchi Communication ambao ndio wamiliki wa magazeti ya The Citizen na Mwananchi ambako Juliet ni mwandishi wao wamekaa kimya na kufunika habari hii licha ya Juliet kukamatwa takribani mwezi mzima uliopita. Zitto nae analijua jambo hili lakini kabana kimya.

Kwa hiyo kwake Zitto na washirika wake magazeti ya Mwananchi na The Citizen wanaona Polisi Tanzania ikimshikilia Erick Kabendera kwa tuhuma za kuhusika katika uvunjaji wa sheria NI KOSA lakini Polisi Italia ikimshikilia Juliet Dorie Kulangwa kwa kuvunja sheria NI SAWA (double standard) na wanakaa kimya kama vile hakuna mwandishi wa habari aliyepo rumande.

Na suala la Juliet kuhusika na uhalifu limekuwa linazungumzwa siku nyingi na vyombo vya Dola vya hapa nchini vilishaanza kufuatilia, amekwenda kukamatwa Italia. Kama ambavyo Erick Kabendera amekuwa na tuhuma za mashaka ya uraia na upotoshaji wa taarifa kwenye vyombo vya habari tangu siku nyingi hadi juzi kati alipotiwa mikononi mwa vyombo vya dola baada ya kukaidi amri ya kufika Polisi.

Hapa sasa ndio namkumbuka Rais Magufuli aliposema tupo katika vita kubwa na tunaowagusa hawafurahii, na watakuja na mbinu nyingi za kutaka kuturudisha nyuma. Watu hao ndio hawa hawa akina Zitto Kabwe na sasa Mungu anawaumbua.

Maana sasa Zitto aliyesifika kwa kuibua mambo mazito sasa amekuwa mwana udaku kama alivyokuwa Mange Kimambi ambaye baadaye kaona anamaliza nguvu zake bure.

Na gazeti la The Citizen na Mwananchi kama kweli nyie ni wanahabari wenye weledi chapisheni taarifa ya kushikwa kwa mwandishi wenu kule Italia.

Tunawajua sana jinsi wahariri wa magazeti haya wanavyotumiwa na vibaraka na wahalifu, ndio maana wamekuwa wakali dhidi ya Serikali ya Rais Magufuli iliyodhibiti mianya ya upigaji, madawa ya kulevya na vibaraka wanaotumiwa na wazungu kuhujumu nchi.

Mwananchi Communication acheni kumshurutisha Mama yake Kabendera ili aseme na nyie mpate Story. Mama huyo tunamfahamu hawezi kwenda kwenye chombo cha habari kuomba aandikiwe habari hiyo. Yeye alishatimiza jukumu lake la kumuonya mwanae juu ya miendo yake ya kuiandika vibaya Tanzania. Haya mengine mmeyasababisha nyie Mwananchi na Zitto wenu. Mmelikoroga na mjue kulinywa.

Bahati nzuri Serikali hii haibabaishwi na kelele za kina Zitto ndio maana kabaki anabwabwaja kama kuku anayetaka kutaga yai na hakuna mtu anayemjibu. Hata Cyprian Musiba sasa kaachana nae. Anguko baya sana hili.

Serikali gani duniani itamwacha mwandishi wa aina ya Erick Kabendera abaki anatamba kuichonganisha kwenye Jumuiya ya kimataifa na kuivuruga nchi kwa uandishi wa aina ile?

Waandishi wa Habari wakati mwingine mnajiweka pabaya nyinyi wenyewe ama kwa tamaa zenu ama kwa kutojielewa. Sasa Erick yupo ndani hao waliokuwa wanamtuma wakamtoe sasa.

JITAFAKARINI.

Kwa herini ndugu zangu.

_Makala hii imeandikwa na Mwandishi wa Habari, aliyewahi kufanya kazi Mwananchi Communication Ltd._
Ivi kuikosoa kuichafua kuisema serikali yoyote ile nakuwa nimevunja sheria gani? Ebu acheni ushamba bana na maandiko yenu ya kishamba haya, nyenyenyenye
 
Mleta UZI naifananisha akili yako na ya msiba (serious ) sina hakika kama hayo ulioyaongea yana ukweli but kwa muktadha wa mchango wangu, let's assume kwamba upo sahihi na ulio yasema nayo ni ya kweli. Wewe msiba ( may be ndio we mwenyewe msiba) hua mnashindwa kutofautisha UHAINI na demokrasia, nyie kwenu mnaamini hivi, yeyote anae mpinga mhe rais huyo ni muhaini, Pumba.vu kabisa. Hi ni nchi ya vyama vingi, haitakuja kutokea duniani kote kwenye nchi ambayo ina chama Zaidi ya kimoja utegemee uungwe mkono na chama pinzani, hilo halitakuja kutokea, ushamba wenu sometimes ndio unawafanya mfikirie hivyo. Nimesoma uzi wako lakini sijaona hasa unacho taka kukisema; ukimlaum Zitto eti kua msemaji Zaidi wa Kabendera kuliko mama yake, hivi hata hilo nalo unataka mtu kutoka mbinguni aje akueleweshe? Zitto ni mwana siasa tena Msomi na mtu mwenye ushawishi na anajua kujenga HOJA, sasa unataka mama yake ndio amsemee Kabendera kuliko hao watu wenye sifa hizo? Shule ulikwenda kusomea Ujinga!? Eti mama yake aliwahi kumuonya mwanae asiwe anaandika habari za kuikosoa serikali, so unadhani mzazi yeyote ( hasa mama ) kama kuna jambo baya limekukuta na alikua anakuonya mapema eti ataacha kusikitika katika yale yaliokupa tu kwasababu alikuonya mapema? Huyo labda mamamyako ndio anaweza kua na tabia za hivyo but sio mama wa wengine. Tumeona mara kadhaa hata majambazi yameuawa kwenye ujambazi wao but still mama nadada zake watalia kuwasikitikia, ijekua kwa mtu aliyekua anafanya kazi ambayo kikatiba imeruhusiwa? Binafsi hua ninapata mashaka sana kama na nyie wenzetu hua na nyie mna UBONGO kama wengine. Anyway, hebu twende taratibu sasa, Kabendera alizimiwa line yake ya simu kwanza, yaani simu yake ilipoteza mawasiliano, alipouliza Vodacom we all know alicho jibiwa, Kabendera akachukuliwa kwa mfumo wa kutekwa, police walikataa na karibu vituo vyote vilikana kumshikiria, baadae police wakasema, wanae Kabendera na tukaambiwa anapelelezwa kama sio raia, sijui wamethibitisha kwamba ni raia but now limetengezwa KOSA linguine na cyber crime na of course ndio hata wewe unajaribu kueleza hivyo hivyo, sasa kama that was the case then, UAHAMIAJI waliingiaje? Hili suala la Kabendera hata kama serikali inaweza kujiteteaje, shida ni timing yake ndio sio sawa. Wengine sisi ambao hatuna maslahi na yeyote hapa tunajikuta tunahusisha suala lake na kina askofu Kakobe, yule askofu wa kule Lulenge, Zitto, Jenerali Ulimwengu nk. Huwezi kusikia Dr Banna anatuhumiwa sio raia ingawa anatoka mkoa mmoja na Kabendera, wala huwezi kusikia waziri wa elimu na yule wa fedha wanatuhumiwa issue ya uraia ingawa nao wanatoka mkoa mmoja na Zitto, why? Jibu lake linajulikana
 
Zito hayupo sawa kabisa kwasasa,zito wa sasa siyo yule zito wa buzwagi,Zito huyu siyo yule aliyekuwa cdm.kuna sehem anafeli
Njaa sehemu yake ya asili ni tumboni, siku ukizembea njaa ikaingia kwenye ubongo matokeo yake unakuwa kama huyu Zitto, na bora ingekuwa njaa ya kula supu ya utumbo na chapati ukakaa sawana na toothpick yako mdomoni! Njaa ya akina Zitto ni ile ya kuwa na Miakaunti minono Uswizi, kuendesha MI- Hammer na Ferrari....hii njaa huwa haiishi maana kila linapokuja toleo jipya la matoys njaa inaanza upya!
 
Anayefanya kazi ya Drugs ni muuaji na hastahili msaada wowote.

Usifanishe mwandishi wa habari na jangili wa uhai wa binadamu.

Jee serekali zetu ni lini zinasema ukweli na lini zina ongopa? Si tulisikia wizara ya uhamiaje ikimsafisha Eric kuwa ni mtanzania halali wa kuzaliwa na mzawa.

Jee uhalali wa Uraia unategemeana na Raisi aliye madarakani.

Pia tuwe makini sana, watu wa makabila yanayoishi mipakani, wanakuwapo pande zote mbili, tusijichanganye, hata viongozi wetu wengi wanatokea sehemu hizo.
 
Haina ubishi kwamba kukamatwa kwa Erick Kabendera imekuwa pigo kubwa sana kwa Zitto Kabwe ambaye amekuwa akimtumia Erick kusambaza taarifa zake anazozitengeneza kwa lengo la kuishambulia Serikali ya Rais Magufuli kwenye vyombo vya habari vya Mwananchi Communication Ltd yaani Magazeti ya The Citizen na Mwananchi.

Baada ya Erick kukamatwa Zitto amepaniki na ndiye amekuwa mdomo wa Erick kuliko hata wazazi wake, waandishi wa habari wenzake na waajiri wake ambako amekuwa akiandikia habari zake.

Zitto anatumia mitandao ya Kijamii kila saa kupost kitu fulani ilimradi kuonesha Erick kashikwa kwa kuonewa na kuvidhalilisha vyombo vya dola vya Tanzania.

Yaani Mwananchi Communication wakiandaa ukurasa wa gazeti wanampa kwanza Zitto apost ndipo baadaye Watanzania wengine wanapata gazeti wasome. Mfano ni post yake ya leo tarehe 03 Agosti 2019 aliyoipost saa 6:33 usiku ikionesha ukurasa wa mbele wa gazeti la Citizen na kuweka picha ya Mama yake Erick ameshika tama na kuandikiwa anahuzunika na kuomba mwanae aachiwe.

Zitto ameshasahau kuwa juzi alipost habari iliyowahi kuandikwa na Erick miaka ya nyuma ikieleza kuwa Mama yake aliwahi kumuonya juu ya kuandika habari za kuishambulia Serikali.

Tuache hayo, ukweli ni kwamba Erick Kabendera amekuwa akitumiwa na Zitto kupika habari na kuichafua Serikali na kisha kuzisambaza kwenye vyombo vya habari vya kimataifa likiwemo jarida maarufu la The Economist na mengine.

Upo ushahidi wa hata fedha ambazo Zitto humlipa Erick kwa kazi hiyo na pia upo ushahidi wa vikao vya Zitto na Erick wakipanga namna ya kuidhohofisha Serikali. Nadhani ni suala la muda tu teknolojia itatoa msaada ili Watanzania wawajue vibaraka hawa wanaotumiwa na wazungu kudhohofisha Tanzania.

Wakati Watanzania kwa maelfu wakimiminika kwenye kila post ya Zitto Kabwe na kumshambulia kwa uchochezi anaoufanya wa kujaribu kuponda jitihada za Serikali, inashangaza kuona Zitto Kabwe aliyeshikilia bango kutaka Erick Kabendera aachiwe na Polisi ya Tanzania amekaa kimya juu ya Juliet Dorie Kulangwa ambaye anashikiliwa na Polisi ya Italia kwa tuhuma za kuhusika na dawa za kulevya.

Nadhani hapo kisu kimegusa mfupa.

Kampuni ya Mwananchi Communication ambao ndio wamiliki wa magazeti ya The Citizen na Mwananchi ambako Juliet ni mwandishi wao wamekaa kimya na kufunika habari hii licha ya Juliet kukamatwa takribani mwezi mzima uliopita. Zitto nae analijua jambo hili lakini kabana kimya.

Kwa hiyo kwake Zitto na washirika wake magazeti ya Mwananchi na The Citizen wanaona Polisi Tanzania ikimshikilia Erick Kabendera kwa tuhuma za kuhusika katika uvunjaji wa sheria NI KOSA lakini Polisi Italia ikimshikilia Juliet Dorie Kulangwa kwa kuvunja sheria NI SAWA (double standard) na wanakaa kimya kama vile hakuna mwandishi wa habari aliyepo rumande.

Na suala la Juliet kuhusika na uhalifu limekuwa linazungumzwa siku nyingi na vyombo vya Dola vya hapa nchini vilishaanza kufuatilia, amekwenda kukamatwa Italia. Kama ambavyo Erick Kabendera amekuwa na tuhuma za mashaka ya uraia na upotoshaji wa taarifa kwenye vyombo vya habari tangu siku nyingi hadi juzi kati alipotiwa mikononi mwa vyombo vya dola baada ya kukaidi amri ya kufika Polisi.

Hapa sasa ndio namkumbuka Rais Magufuli aliposema tupo katika vita kubwa na tunaowagusa hawafurahii, na watakuja na mbinu nyingi za kutaka kuturudisha nyuma. Watu hao ndio hawa hawa akina Zitto Kabwe na sasa Mungu anawaumbua.

Maana sasa Zitto aliyesifika kwa kuibua mambo mazito sasa amekuwa mwana udaku kama alivyokuwa Mange Kimambi ambaye baadaye kaona anamaliza nguvu zake bure.

Na gazeti la The Citizen na Mwananchi kama kweli nyie ni wanahabari wenye weledi chapisheni taarifa ya kushikwa kwa mwandishi wenu kule Italia.

Tunawajua sana jinsi wahariri wa magazeti haya wanavyotumiwa na vibaraka na wahalifu, ndio maana wamekuwa wakali dhidi ya Serikali ya Rais Magufuli iliyodhibiti mianya ya upigaji, madawa ya kulevya na vibaraka wanaotumiwa na wazungu kuhujumu nchi.

Mwananchi Communication acheni kumshurutisha Mama yake Kabendera ili aseme na nyie mpate Story. Mama huyo tunamfahamu hawezi kwenda kwenye chombo cha habari kuomba aandikiwe habari hiyo. Yeye alishatimiza jukumu lake la kumuonya mwanae juu ya miendo yake ya kuiandika vibaya Tanzania. Haya mengine mmeyasababisha nyie Mwananchi na Zitto wenu. Mmelikoroga na mjue kulinywa.

Bahati nzuri Serikali hii haibabaishwi na kelele za kina Zitto ndio maana kabaki anabwabwaja kama kuku anayetaka kutaga yai na hakuna mtu anayemjibu. Hata Cyprian Musiba sasa kaachana nae. Anguko baya sana hili.

Serikali gani duniani itamwacha mwandishi wa aina ya Erick Kabendera abaki anatamba kuichonganisha kwenye Jumuiya ya kimataifa na kuivuruga nchi kwa uandishi wa aina ile?

Waandishi wa Habari wakati mwingine mnajiweka pabaya nyinyi wenyewe ama kwa tamaa zenu ama kwa kutojielewa. Sasa Erick yupo ndani hao waliokuwa wanamtuma wakamtoe sasa.

JITAFAKARINI.

Kwa herini ndugu zangu.

_Makala hii imeandikwa na Mwandishi wa Habari, aliyewahi kufanya kazi Mwananchi Communication Ltd._
Kama kabendera amewachafua mmeshindwa nini kujisafisha kwa kujibu makala zake ?Kwanini mumkamate kwa kosa la uongo la uraia huku mkijua kosa lake ni kuichafua serikali?Kwanini wakati wa kumkàmata hamkufuata sheria? Kwanini mmemshikilua polisi kituoni zaidi ya SAA 24 zinazokubalika kisheria ? Ukinijibu nitarudi .
 
Haina ubishi kwamba kukamatwa kwa Erick Kabendera imekuwa pigo kubwa sana kwa Zitto Kabwe ambaye amekuwa akimtumia Erick kusambaza taarifa zake anazozitengeneza kwa lengo la kuishambulia Serikali ya Rais Magufuli kwenye vyombo vya habari vya Mwananchi Communication Ltd yaani Magazeti ya The Citizen na Mwananchi.

Baada ya Erick kukamatwa Zitto amepaniki na ndiye amekuwa mdomo wa Erick kuliko hata wazazi wake, waandishi wa habari wenzake na waajiri wake ambako amekuwa akiandikia habari zake.

Zitto anatumia mitandao ya Kijamii kila saa kupost kitu fulani ilimradi kuonesha Erick kashikwa kwa kuonewa na kuvidhalilisha vyombo vya dola vya Tanzania.

Yaani Mwananchi Communication wakiandaa ukurasa wa gazeti wanampa kwanza Zitto apost ndipo baadaye Watanzania wengine wanapata gazeti wasome. Mfano ni post yake ya leo tarehe 03 Agosti 2019 aliyoipost saa 6:33 usiku ikionesha ukurasa wa mbele wa gazeti la Citizen na kuweka picha ya Mama yake Erick ameshika tama na kuandikiwa anahuzunika na kuomba mwanae aachiwe.

Zitto ameshasahau kuwa juzi alipost habari iliyowahi kuandikwa na Erick miaka ya nyuma ikieleza kuwa Mama yake aliwahi kumuonya juu ya kuandika habari za kuishambulia Serikali.

Tuache hayo, ukweli ni kwamba Erick Kabendera amekuwa akitumiwa na Zitto kupika habari na kuichafua Serikali na kisha kuzisambaza kwenye vyombo vya habari vya kimataifa likiwemo jarida maarufu la The Economist na mengine.

Upo ushahidi wa hata fedha ambazo Zitto humlipa Erick kwa kazi hiyo na pia upo ushahidi wa vikao vya Zitto na Erick wakipanga namna ya kuidhohofisha Serikali. Nadhani ni suala la muda tu teknolojia itatoa msaada ili Watanzania wawajue vibaraka hawa wanaotumiwa na wazungu kudhohofisha Tanzania.

Wakati Watanzania kwa maelfu wakimiminika kwenye kila post ya Zitto Kabwe na kumshambulia kwa uchochezi anaoufanya wa kujaribu kuponda jitihada za Serikali, inashangaza kuona Zitto Kabwe aliyeshikilia bango kutaka Erick Kabendera aachiwe na Polisi ya Tanzania amekaa kimya juu ya Juliet Dorie Kulangwa ambaye anashikiliwa na Polisi ya Italia kwa tuhuma za kuhusika na dawa za kulevya.

Nadhani hapo kisu kimegusa mfupa.

Kampuni ya Mwananchi Communication ambao ndio wamiliki wa magazeti ya The Citizen na Mwananchi ambako Juliet ni mwandishi wao wamekaa kimya na kufunika habari hii licha ya Juliet kukamatwa takribani mwezi mzima uliopita. Zitto nae analijua jambo hili lakini kabana kimya.

Kwa hiyo kwake Zitto na washirika wake magazeti ya Mwananchi na The Citizen wanaona Polisi Tanzania ikimshikilia Erick Kabendera kwa tuhuma za kuhusika katika uvunjaji wa sheria NI KOSA lakini Polisi Italia ikimshikilia Juliet Dorie Kulangwa kwa kuvunja sheria NI SAWA (double standard) na wanakaa kimya kama vile hakuna mwandishi wa habari aliyepo rumande.

Na suala la Juliet kuhusika na uhalifu limekuwa linazungumzwa siku nyingi na vyombo vya Dola vya hapa nchini vilishaanza kufuatilia, amekwenda kukamatwa Italia. Kama ambavyo Erick Kabendera amekuwa na tuhuma za mashaka ya uraia na upotoshaji wa taarifa kwenye vyombo vya habari tangu siku nyingi hadi juzi kati alipotiwa mikononi mwa vyombo vya dola baada ya kukaidi amri ya kufika Polisi.

Hapa sasa ndio namkumbuka Rais Magufuli aliposema tupo katika vita kubwa na tunaowagusa hawafurahii, na watakuja na mbinu nyingi za kutaka kuturudisha nyuma. Watu hao ndio hawa hawa akina Zitto Kabwe na sasa Mungu anawaumbua.

Maana sasa Zitto aliyesifika kwa kuibua mambo mazito sasa amekuwa mwana udaku kama alivyokuwa Mange Kimambi ambaye baadaye kaona anamaliza nguvu zake bure.

Na gazeti la The Citizen na Mwananchi kama kweli nyie ni wanahabari wenye weledi chapisheni taarifa ya kushikwa kwa mwandishi wenu kule Italia.

Tunawajua sana jinsi wahariri wa magazeti haya wanavyotumiwa na vibaraka na wahalifu, ndio maana wamekuwa wakali dhidi ya Serikali ya Rais Magufuli iliyodhibiti mianya ya upigaji, madawa ya kulevya na vibaraka wanaotumiwa na wazungu kuhujumu nchi.

Mwananchi Communication acheni kumshurutisha Mama yake Kabendera ili aseme na nyie mpate Story. Mama huyo tunamfahamu hawezi kwenda kwenye chombo cha habari kuomba aandikiwe habari hiyo. Yeye alishatimiza jukumu lake la kumuonya mwanae juu ya miendo yake ya kuiandika vibaya Tanzania. Haya mengine mmeyasababisha nyie Mwananchi na Zitto wenu. Mmelikoroga na mjue kulinywa.

Bahati nzuri Serikali hii haibabaishwi na kelele za kina Zitto ndio maana kabaki anabwabwaja kama kuku anayetaka kutaga yai na hakuna mtu anayemjibu. Hata Cyprian Musiba sasa kaachana nae. Anguko baya sana hili.

Serikali gani duniani itamwacha mwandishi wa aina ya Erick Kabendera abaki anatamba kuichonganisha kwenye Jumuiya ya kimataifa na kuivuruga nchi kwa uandishi wa aina ile?

Waandishi wa Habari wakati mwingine mnajiweka pabaya nyinyi wenyewe ama kwa tamaa zenu ama kwa kutojielewa. Sasa Erick yupo ndani hao waliokuwa wanamtuma wakamtoe sasa.

JITAFAKARINI.

Kwa herini ndugu zangu.

_Makala hii imeandikwa na Mwandishi wa Habari, aliyewahi kufanya kazi Mwananchi Communication Ltd._
Mkuu hua nakukubali ile mbaya kwa kuumbua wanafiki na wazandiki hapa bongo,big up guy
 
Siri ya hawa wanao ichafua serikali kwa kuamua kushikia bango mapungufu yanayo jitokeza na kujitia vipofu kutoona dhamira na nia njema ya Rais na serikali anayo iongoza. Kujifanya kutoona yote mema mengi sana yanayo endelea kufanywa kwa manufaa ya jamii pana ya Watanzania ni rushwa.

Wengi ni wale waliofaidi mfumo uliokuwa umejisimika na yake mizizi kujichimbia kwa kufaidika na rutuba ya ufisadi. Sehemu kubwa ya mizizi ile imewekwa pembeni haipati maji na ukame unatishia uwepo wake. Wako wengine ni kama hawa waandishi, wao wanalipwa kufanya kazi hizi chafu, ndio maana hata Makamba sr alipofikisha hofu ya mama mtu kuhusu serikali kuzuia vyombo vya habari kuuchapisha, jr alikuwa ana uhakika kuwa waraka ungetoka kwa vile anajua watu wako kwenye payrolls zao.

Ni wakati sasa serikali ikachukua maarifa na hekima kutoka Mossad, the first line of Israel defense. Wao walipoona wale wa kujitoa muhanga wamepamba moto, waliamua kufanya kautafiti. Waligundua kuwa wanalipwa fedha nono na familia zao kujengewa nyumba kama urithi. Wakabuni mbinu ya kuhakikisha si fedha wala mali ya mirathi yeyote iwayo ile, wanafamilia wa ndugu aliyejitoa muhanga wanaifadi. Matokea yake juhudi za muhanga zimepungua kwa zaidi ya 95 asilimia.

Serikali ihakikishe wanaolipwa kwa ajili ya kazi chafu kamwe hawafaidi matunda ya kazi zao. Badala yake wajutie matunda ya kazi zao chafu.
 
"Kwa sababu ni mwandishi wa BBC, anaongea na wazungu, basi akishikiliwa inakuwa ni habari kubwa sana, lakini mimi najua wanahabari wengi wanahojiwa, haiwi habari. Wenzetu wa Uhamiaji wameeleza vizuri sana kuwa wamekuwa wakimchunguza tangu 2013, na wamepata ushahidi si raia.

Kama wamepata ushahidi (kuwa si raia) wafanye nini, waache kwa kuwa jumuiya ya kimataifa itaongea? Hapana. Sisi ni Tanzania, na tutafanya maamuzi sisi."- Waziri wa Habari, Dk Mwakyembe kuhusu kushikiliwa kwa mwandishi wa habari, Erick Kabendera
Je ni kweli kwamba tunahitaji miaka sita kumchunguza mtu uraia wake? Idiot
 
Haina ubishi kwamba kukamatwa kwa Erick Kabendera imekuwa pigo kubwa sana kwa Zitto Kabwe ambaye amekuwa akimtumia Erick kusambaza taarifa zake anazozitengeneza kwa lengo la kuishambulia Serikali ya Rais Magufuli kwenye vyombo vya habari vya Mwananchi Communication Ltd yaani Magazeti ya The Citizen na Mwananchi.

Baada ya Erick kukamatwa Zitto amepaniki na ndiye amekuwa mdomo wa Erick kuliko hata wazazi wake, waandishi wa habari wenzake na waajiri wake ambako amekuwa akiandikia habari zake.

Zitto anatumia mitandao ya Kijamii kila saa kupost kitu fulani ilimradi kuonesha Erick kashikwa kwa kuonewa na kuvidhalilisha vyombo vya dola vya Tanzania.

Yaani Mwananchi Communication wakiandaa ukurasa wa gazeti wanampa kwanza Zitto apost ndipo baadaye Watanzania wengine wanapata gazeti wasome. Mfano ni post yake ya leo tarehe 03 Agosti 2019 aliyoipost saa 6:33 usiku ikionesha ukurasa wa mbele wa gazeti la Citizen na kuweka picha ya Mama yake Erick ameshika tama na kuandikiwa anahuzunika na kuomba mwanae aachiwe.

Zitto ameshasahau kuwa juzi alipost habari iliyowahi kuandikwa na Erick miaka ya nyuma ikieleza kuwa Mama yake aliwahi kumuonya juu ya kuandika habari za kuishambulia Serikali.

Tuache hayo, ukweli ni kwamba Erick Kabendera amekuwa akitumiwa na Zitto kupika habari na kuichafua Serikali na kisha kuzisambaza kwenye vyombo vya habari vya kimataifa likiwemo jarida maarufu la The Economist na mengine.

Upo ushahidi wa hata fedha ambazo Zitto humlipa Erick kwa kazi hiyo na pia upo ushahidi wa vikao vya Zitto na Erick wakipanga namna ya kuidhohofisha Serikali. Nadhani ni suala la muda tu teknolojia itatoa msaada ili Watanzania wawajue vibaraka hawa wanaotumiwa na wazungu kudhohofisha Tanzania.

Wakati Watanzania kwa maelfu wakimiminika kwenye kila post ya Zitto Kabwe na kumshambulia kwa uchochezi anaoufanya wa kujaribu kuponda jitihada za Serikali, inashangaza kuona Zitto Kabwe aliyeshikilia bango kutaka Erick Kabendera aachiwe na Polisi ya Tanzania amekaa kimya juu ya Juliet Dorie Kulangwa ambaye anashikiliwa na Polisi ya Italia kwa tuhuma za kuhusika na dawa za kulevya.

Nadhani hapo kisu kimegusa mfupa.

Kampuni ya Mwananchi Communication ambao ndio wamiliki wa magazeti ya The Citizen na Mwananchi ambako Juliet ni mwandishi wao wamekaa kimya na kufunika habari hii licha ya Juliet kukamatwa takribani mwezi mzima uliopita. Zitto nae analijua jambo hili lakini kabana kimya.

Kwa hiyo kwake Zitto na washirika wake magazeti ya Mwananchi na The Citizen wanaona Polisi Tanzania ikimshikilia Erick Kabendera kwa tuhuma za kuhusika katika uvunjaji wa sheria NI KOSA lakini Polisi Italia ikimshikilia Juliet Dorie Kulangwa kwa kuvunja sheria NI SAWA (double standard) na wanakaa kimya kama vile hakuna mwandishi wa habari aliyepo rumande.

Na suala la Juliet kuhusika na uhalifu limekuwa linazungumzwa siku nyingi na vyombo vya Dola vya hapa nchini vilishaanza kufuatilia, amekwenda kukamatwa Italia. Kama ambavyo Erick Kabendera amekuwa na tuhuma za mashaka ya uraia na upotoshaji wa taarifa kwenye vyombo vya habari tangu siku nyingi hadi juzi kati alipotiwa mikononi mwa vyombo vya dola baada ya kukaidi amri ya kufika Polisi.

Hapa sasa ndio namkumbuka Rais Magufuli aliposema tupo katika vita kubwa na tunaowagusa hawafurahii, na watakuja na mbinu nyingi za kutaka kuturudisha nyuma. Watu hao ndio hawa hawa akina Zitto Kabwe na sasa Mungu anawaumbua.

Maana sasa Zitto aliyesifika kwa kuibua mambo mazito sasa amekuwa mwana udaku kama alivyokuwa Mange Kimambi ambaye baadaye kaona anamaliza nguvu zake bure.

Na gazeti la The Citizen na Mwananchi kama kweli nyie ni wanahabari wenye weledi chapisheni taarifa ya kushikwa kwa mwandishi wenu kule Italia.

Tunawajua sana jinsi wahariri wa magazeti haya wanavyotumiwa na vibaraka na wahalifu, ndio maana wamekuwa wakali dhidi ya Serikali ya Rais Magufuli iliyodhibiti mianya ya upigaji, madawa ya kulevya na vibaraka wanaotumiwa na wazungu kuhujumu nchi.

Mwananchi Communication acheni kumshurutisha Mama yake Kabendera ili aseme na nyie mpate Story. Mama huyo tunamfahamu hawezi kwenda kwenye chombo cha habari kuomba aandikiwe habari hiyo. Yeye alishatimiza jukumu lake la kumuonya mwanae juu ya miendo yake ya kuiandika vibaya Tanzania. Haya mengine mmeyasababisha nyie Mwananchi na Zitto wenu. Mmelikoroga na mjue kulinywa.

Bahati nzuri Serikali hii haibabaishwi na kelele za kina Zitto ndio maana kabaki anabwabwaja kama kuku anayetaka kutaga yai na hakuna mtu anayemjibu. Hata Cyprian Musiba sasa kaachana nae. Anguko baya sana hili.

Serikali gani duniani itamwacha mwandishi wa aina ya Erick Kabendera abaki anatamba kuichonganisha kwenye Jumuiya ya kimataifa na kuivuruga nchi kwa uandishi wa aina ile?

Waandishi wa Habari wakati mwingine mnajiweka pabaya nyinyi wenyewe ama kwa tamaa zenu ama kwa kutojielewa. Sasa Erick yupo ndani hao waliokuwa wanamtuma wakamtoe sasa.

JITAFAKARINI.

Kwa herini ndugu zangu.

_Makala hii imeandikwa na Mwandishi wa Habari, aliyewahi kufanya kazi Mwananchi Communication Ltd._
Mkuu, hii iliitwa "kusadikika" zama zetu.
 
blix22
Nadhani umekosea kulitaja jina la huyo aliyekamatwa huko Italy,bila shaka mamlaka husika na hata serikali yetu, watakuwa wanalijuwa hilo na huenda wanafanya kazi kubwa kwa usiri ili kuwakamata woote wanaohusika na mtandao huo wa madawa ya kulevya.
Hayo ni maoni yangu tu.
Madawa ya kulevya tuyapige vita usiku na mchana,ni kitu mbaya kuliko Bomu la nuclear.
 
Back
Top Bottom