Zitto Kabwe: Uwanja wa Ndege wa Songwe (Mbeya) Upewe Jina la John Mwakangale Ili Kuenzi Mchango wake Katika Mapambano ya Kudai Uhuru wa Tanganyika

Zitto Kabwe: Uwanja wa Ndege wa Songwe (Mbeya) Upewe Jina la John Mwakangale Ili Kuenzi Mchango wake Katika Mapambano ya Kudai Uhuru wa Tanganyika

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Anauliza Zitto Kabwe: Kwanini sio John Mwakangale International Airport?

Screenshot 2024-09-03 143630.png


===

My Take
Naunga mkono hoja.Jina la Uwanja wa Ndege wa Songwe (Mbeya) libadilishwe sio tuu Kwa sababu za Kuenzi Mchango wa mzalendo huyo Bali pia kuondoa mkanganyiko wa kutumia jina la Mkoa tofauti na uwanja uliko.

Uwanja uko Mkoa wa Mbeya ila unatumia jina la Mkoa wa Songwe,hii ni zaidi ya kichekesho.
 
Back
Top Bottom