Kuna wanasiasa walipigania uhuru wetu bega kwa bega na mwalimu wengine hata kabla ya Mwalimu hajaamza harakati hizo wao walikuwa mstari wa mbele hadi kufanya logistics za Mwalimu kusafiri na kufika UN kudai uhuru na ukapatikana.
Historia yetu imewaweka kando, hao nao wawe recognised.
Historia yetu imewaweka kando, hao nao wawe recognised.