Uchaguzi 2020 Zitto Kabwe: Viongozi wa Upinzani tulikaa pamoja tukakubaliana kwa Upande wa Urais asimame Tundu Lissu

Hivyo unadhani Lisu akipigwa ban na mi ccm, Membe anaweza kuwa mbadala?!

Membe sidhani kama anaweza kumreplace Lisu, nakuhakikishia wakimpiga Lisu ban watu hawatapiga kura kabisa.
 
Ha ha ha.. saivi wizi wa maccm hautakuwa rahisi Kama miaka ya nyuma
 
Ramli?
 
Watumishi wote kura kwa lissu.

Mmeteswa sana miaka 5 bila kupata stahiki zenu!!
 
Kinachomsumbua magu si kabila yake,wala roho mbaya wala background yake isipokuwa ni uwezo wake mdogo
 
Hizo nchi ulizozitaja sasa niishie hapo
Hamuambiwi ukweli kuhusu majimbo uishiehapo kwamba hawatumii majimbo au?kama niswala lajimbo hilikuendelea kulikolingine jekwani hivisasa mikoa inalingana kimaendeleo? Swala ilitakiwa wamuulize namna atakavyo yaendesha majimbo siokubisha bisha tu toka uhuru maji maji mmeshindwa ondokeni
 
Sawa kabisa. Lakini wamechelewa sana. Kwenye uraisi kuna kura zitapotea sana kwenda kwa Membe sababu jina litakuwepo.
Wamechelewa sana hawa kuungana.

Membe hata angembea bado angepata kura chache sana za wapinzani, sana sana anaweza kugawa za wanaccm maana ndio amekaa huku toka ujanani hadi uzeeni.
 
TL anatosha. Tuliwapiga chenga wale wahuni wa satan campany.
 
Hivyo unadhani Lisu akipigwa ban na mi ccm, Membe anaweza kuwa mbadala?!

Membe sidhani kama anaweza kumreplace Lisu, nakuhakikishia wakimpiga Lisu ban watu hawatapiga kura kabisa.
Issue sio kuweza kum-replace bali HAKUTAKUWA na choice nyingine! Choice pekee inaweza kuwa watu kuingia barabarani na kuwa tayari kwa lolotei!

Katika hilo, Watanzania usiwategemee!!

Watu wasipopiga kura, hiyo wala haitawasumbua CCM kwa sababu hawana aibu ya kuendesha uchaguzi wa upande mmoja! Tumeshahudia mambo sawa na hayo kule Zanzibar mara mbili, na mwaka jana kwenye uchaguzi wa serikali za mita!

Je, umeona CCM na serikali yake wakilionea aibu suala hilo kiasi cha kubadilika?!
 
Atakae mpigia Membe ni nani na wanachama wa AcT washaambiwa wampigie Lissu?
Labda zihesabike kwake kwa kuiba ili kupunguza za Lissu but vinginevyo sidhani kama atapata kura hata laki moja
Umeshapatikana mwanya wa bao la mkono
 
Umeshapatikana mwanya wa bao la mkono
Mkuu bao la mkono linazidi kupotezewa nafasi, wanaumia kichwa hawajui itakuwaje. Mapumziko ya gafra ili kuangalia namna bora yakuliwezesha, ila awamu hii mambo ni tofauti kabisaa
Magwiji wa mambo hayo walitengwa nao wamejitenga na kususia😂😂
 
Kama jina na sura ya Membe yatakuwepo kwenye karatasi ni kuhesabu maumivu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…