Zitto Kabwe: Vitabu nilivyosoma Mwaka 2022

Hongera sana
Merry Christmas and Prosperous New Year.
P
 
Bora hata ungesoma Quran tukufu! Ungepata nafasi ya kuiponya nafsi yako! Umejaa unafiki,udini,ukabila na udanganyifu! Endelea kulamba asali ya Hangaya huna lolote!
 
Siku zote mti wenye matunda ndio hupigwa mawe , kama ulivyo kuwa unampiga mawe magufuli . hivyo ndivyo unapigwa mawe na wadau wa JF , cha kujifunza ni KUSONGA MBELE na mungu akusaidie nakupenda kiongozi uwe na siku njema
 
Zitto umeona bwawa la Nyerere wape habari binge la ujeruman
 
Usije kumtafuta mchawi. Umejiua mwenyewe kisiasa. Nilidhani ww ni mtu mwenye akili na hekima. Ulipoanza kujipendekeza kwa viongozi wa juu, kuwasaliti wenzio, unafki, tamaa ya kujilimbikizia mali, kupenda sifa za kijinga nimekutoa maana. Ndio maana wana kigoma hawataki hata kukusikia. Wameona heri waichague CCM
 
Hongera saana.

I wish .. Ningepata muda mwingi wa kusoma hivi.
 
Hivi vitabu vinakusaidiaga nininkama bado unakua goigoi na mnafiki,?
 
Comments zikusaidie kupata IMAGE yako Kwa JAMII Kwa sasa.

RUSHWA hupofusha ufahamu- The bible says.

Vitabu vingi havitasaidia kuua ugongwa wa RUSHWA.

Ukiaminiwa, tunza Imani.
 
Akili yako Ni ya kimavi mavi,busara yako ya kimavi mavi,Hata usome vitabu vyote duniani hutoweza kusaidia chochote hapa Tz Zaid ya ku wa mwanasiasa mchumia tumbo.Mavi wew
 
Siku Zitto akistaafu siasa ndipo upinzani utapata nguvu. Wenzako wameomba msusie chaguzi ili kuweka msisitizo kwa Tume Huru, mmewaona hawana maana. Ila CCM wamewasghulikia Tanga kwa kuzuia mawakala wenu siku ya uchaguzi ndio mkajitoa. Sasa mlishiriki ili iweje?

Wewe Ni mnafiki na msaliti mkubwa huna jipya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…