Zitto Kabwe: Vitabu nilivyosoma Mwaka 2022

Huyo jamaa sikuhizi kahamia ACT ndiyo maana amekuwa na tabia za kinyonga
Ndio mjifunze kujua dhamira za hao jamaa pale mnapodhani wako upande wenu, huwa wanafanya hivyo endapo tu ndani ya jumba jeupe hatakuwepo "mwenzao" hapo watajidai wanajua kukosoa haswa...

Lakini siku ubao ukibadilika, ndani ya jumba jeupe akaingia "mwenzao" hapo ndipo unafiki wao unapodhihirika, kwa kufumbia macho ujinga wowote toka kwa "mwenzao" au marafiki zake wa karibu.

Hao ni wakuogopa kama ukoma.
 
Hakika elimu haina mwisho na sasa tumepata somo kubwa sana.
 
Dear comrades tunasahau kitu.
Hekima ya mtu ni kukosoa na kusema sifa za mtu. Huo ndio utimilifu ulio mkubwa.
Naamini yeye kueweka hili andiko ni kuleta inspiration ya usomaji vitabu katika jamii yetu. Hayo ya yeye namna gani ana-apply au kubadilishwa na vitabu ni mjadala mwingine.
Binafsio sio shabiki yako, lakini nikupe hongera sana kwa usomaji huu wa vitabu uliotukuka mtani.
 
Yuaja kiongozi ambaye hatatambua MIKOPO mnayokimbizana kutukopea bila ridhaa yetu.

Mtailipa MIKOPO hiyo ninyi na familia zenu Kwa njia zote, mliohusika kokopa na kuziiba pesa hizo kupitia matumizi mabaya ktk miradi mbalimbali.

Ni Hadi kizazi Cha nnne, mtailipa mkiwa jela, mtailipa Kwa magonjwa ya Kila aina yatakayowafuata Hadi kizazi Cha nne. Mapooza hayatakoma ktk vizazi vyenu.
 
Unapoteza muda kusoma mavitabu yasiyo kuwa na maana yoyote kwa wana Kigoma,rudi kigoma kaimarishe fikra za ndugu zako.

Nakuona sasa unajifanya mzanzibari rudi kwenu achana na uzanzibari haukusaidii chochote kwa wanaKigoma
 
Hongera sana Ndugu. Bila shaka umepata maarifa mengi.
 
Inapo mature wanailipa moja kwa moja na hawaniulizi mimi au wewe. Uwepo wetu hauna uhusiano wa moja kwa moja na wao kukopa au kulipa.

Wewe ukisusa hao milioni 61 na ushee wanaobakia wanalipa na serikali inarudisha hiyo mikopo na maisha yanaendelea kama vile mimi na wewe hatupo duniani.
 
Ni
afadhali asome novel za James Hadley Chase zinafurahisha sana na zinakufanya unakuwa mjanja πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜…
 
Kiukweli sijaelewa hoja yako, "...kataka kuonyesha wingi wa vitabu.."!, Kwa hiyo angefanyaje?
Huu uzi dhima yake ndiyo hiyo, kutuonyesha idadi ya vitabu ulivyosoma.

Hii ni thread ya vitabu, hoja ni vitabu. Kwa nini mnabadili na kufanya hoja iwe ni Zitto?
Ungetaja mapungufu ya vitabu alivyoleta ningeelewa.
 
Mimi mtakwimu ungeniwekea ktk mabano pages za kila kitabu ningefahamu kwa siku ulisoma wastani wa kurasa ngapi.

Ukifika wkt tutafahamu ukweri wa jambo hili - hongera sana lkn
 
Zitto mwenyewe kaweka majina ya hivyo vitabu kisha hakutaka kujadili kuhusu hivyo vitabu.
 
Zitto mwenyewe kaweka majina ya hivyo vitabu kisha hakutaka kujadili kuhusu hivyo vitabu.
Ameona watu hamna interest na vitabu ila mna interest na yeye binafsi..

Unajua maana yake? That proves he is a successful Politician!
 
Ameona watu hamna interest na vitabu ila mna interest na yeye binafsi..

Unajua maana yake? That proves he is a successful Politician!
Watu wamehoji maarifa anayopata kwenye usomaji wa vitabu, nachojua lengo kuu ni kuhamasishana kusoma vitabu ili kuongeza maarifa hivyo kwa nafasi yake Zitto ilikuwa vyema kama angetolea maelezo kuliko kuishia kutaja majina ya vitabu tu na kutokomea hadi anatia mashaka kama amesoma kweli hivyo vitabu vyote.

Angejibu maswali ambayo anaona yanafaa kuyajibu na kuacha asiyotaka lakini sio kukimbia.
 
May be you have a point!
 
Dah kweli ZZK watu wamemhara! 😁
Zitto wa mwaka 2014 kushuka chini angeshatukusanya hapa.
 
"wanasiasa malaya malaya"
πŸ˜‚ πŸ˜‚

Faza ofu ze neshen
 
Huyu jamaa ameishia kutuletea habari hizi.
Sio Yule Tena wa kupigania maslahi ya watanzania.
Kina kipara wamemmaliza kabisa
Lao moja tu kwa Sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…