Zitto Kabwe: Vitabu nilivyosoma Mwaka 2022

Zitto Kabwe: Vitabu nilivyosoma Mwaka 2022

Heri nimefika kwa wasoma vitabu.

Natafuta kitabu kinaitwa hidden identity of blacks in the bible.
Author: Jeremiah Jael Israel
 
una muda wa kuchezea wewe yaani pamoja na vitabu hivyo bado unaendelea kununuliwa na kufanya udalali wa kisiasa bado una unafiki wa kumchukia Magufuli huku ukiungana na genge la wafuja Mali akina Malope ndio unatuambia vitabu vinaandika hayo kutwa unadhurula ulaya kwa wakoloni wetu wezi wa Mali zetu kuihujumu nchi ona Sasa tunauzia majrnereta na imeme unakatwa hovyo yaani uzungu mwingi umekupoteza kisiasa
Hii ndiyo akili ya Watanzania walio wengi. Wivu, ujinga, kupuuza kusoma......hii nchi hayendi popote mpaka vizazi hivi vihamishwe, au viishe, vije vizazi vingine vyenye kufikiri kama watu wengine duniani.
Duh, mtu anakuambia tu vitabu alivyosoma watoa maneno ya upumbavu yasiyo na mnasaba wowote! Ksoma imekuwa ni muda wa kuchezea. Ndiyo maana mwapata viongozi bongo lala akina...
 
Mimi huyu jamaa Zube simuelewi kabsaa. mwaka 2006 niliwahi kumpendkeza kuwa man of the year kwa kumlipua waziri aliyetaka kufanya karl Peter scheme. lakini alinivunja moyo pale alipokubali kuingizwa jina lake katika tume ya madini na kupewa allowance za tume.halafu niliwahi kusiklia kuwa anapenda sana siasa za comminisim! hapo ndipo naungana na wenzangu waliotangulia kumkandia tabia yake kisiasa.
 
Labda tuseme kwamba mleta mada yeye anasoma vitabu kama hobby tu na ndio maana kaishia kutaja idadi ya vitabu na kuzungumzia kupewa zawadi ya vitabu, ila members humu wao wameenda kwenye upande wa maarifa yanayopatikana kwenye usomaji vitabu na hapo ndio ikawa sababu ya kumjadili Zitto mwenyewe kama msomaji wa vitabu ambaye ni mwanasiasa na ni kiongozi wa chama cha siasa.
Hawa Members, watajuaje kwamba hivyo vitabu alivyosoma havielekezi Zitto awe hivyo alivyo, bila ya kuvijadili hivyo vitabu?

Who knows?, Labda hivyo alivyo ni matokeo ya vitabu alivyosoma, hatuwezi kujua kama tunakwepa kujadili maudhui yaliyomo kwenye vitabu na badala yake tunang'ang'ana kumjadili mleta vitabu.
 
Mwaka huu unaomalizika 2022 nimebahatika kusoma vitabu mbalimbali 33 (2021:29, 2020:16, 2019:34). Ulikuwa mwaka mzuri kwa usomaji vitabu na pia mwaka ambao nilibahatika kupata zawadi nyingi za vitabu kutoka kwa marafiki zangu na ndugu zangu.

Nitaanza mwaka 2023, Mungu akijaalia kuvuka salama, nikiwa na karibu dazeni ya vitabu ambavyo sijasoma. Kama nilivyofanya mwaka jana, kutoka orodha ya mwaka huu nimeshatoa orodha ya vitabu 10 ninavyopendekeza watu kuvisoma mwaka ujao kama hawajavisoma.

Vitabu nilivyosoma mwaka huu kwa makundi mbalimbali ni kama ifuatavyo;

Riwaya
  • Magic of Saida – MG Vassanji
  • I am Semba – Ajeka&Fox
  • The Book of Secrets – MG Vassanji
  • The House of Rust – Khadija Abdallah Bajaber
  • Mtumwa kwenye Nchi Huru – Elizabeth Mramba
  • A Line In The River: Khartoum City of Memory – Jamal Mahjoub
  • We are all Birds of Uganda – Hafsa Zayyan
  • The In-Between World of Vikram Lall – MG Vassanji
  • Next In Line – Jeffrey Archer
  • Tea with Ms. Tanzania – Fayyaz Vellani
  • The Shadow King – Maaza Mengiste
Wasifu/Tawasifu
  • The Chancellor: The Remarkable Odyssey of Angela Merkel – Kati Marton
  • Njinga of Angola: Africa’s Warrior Queen – Linda M. Heywood
  • The Prime Ministers We Never Had: Success and Failure from Butler to Corbyn – Steve Richards
  • 38 Reflections on Mwalimu Nyerere – Ed. Mark Mwandosya and Juma V Mwapachu
  • Hani: A life too short – Janet Smith and Beauregard Tromp
  • Juhudi na Changamoto – Sheikh Ponda Issa Ponda
  • The Bhutto Dynasty: The Struggle for Power in Pakistan – Owen Bennett-Jones
  • Maisha Yangu – Khamis Abdallah Ameir
  • Revolution in Zanzibar: An American’s Cold War Tale – Don Petterson
  • The Tanganyika Way: A personal Story of Tanganyika’s Growth to Independence – Sophia Mustafa
Nchi ya mwaka, India
  • Indian Summer: The Secret History of the End of an Empire – Alex Von Tunzelm
  • Pride, Prejudice and Punditry: The Essential – Shashi Tharoor
  • Mamata Beyond 2021 – Jayanta Ghosal
  • The Rise of The BJP: The Making of the World’s Largest Political Party – Bhupender Yadav and Ila Patnak
  • India in a New Key: Nehru to Modi, 75 years of freedom and democracy – Narain D. Batra
Mchanganyiko
  • Time for Socialism – Thomas Piketty
  • Capturing Hope: The Struggle Continues for a New Malaysia – Mahathir Mohamed
  • Final Reckoning: An Insider’s View of the Fall of Malaysia’s Barisan Nasional Government – Romen Bose
  • The World for Sale: Money, Power and the Traders Who Barter the Earth’s Resources – Javier Blas and Jack Farchy
  • Sudan’s Unfinished Democracy: The Promise and Betrayal of a People Revolution – Willow Berridge, Justin Lynch, Raga Makawi and Alex De Waal
  • From Rebel to Ruler: One Hundred Years of the Chinese Communist Party – Tony Saich
  • Borderland: A Journey Through the History of Ukraine – Anna Reid
Heri ya mwaka mpya 2023

23/12/2022


ILANI: Kila mwaka, nikibahatika na kujaaliwa, huwa ninasafiri pamoja na familia yangu. Kwa muda sasa nchi ninayotembelea huchomoza kupitia vitabu nilivyosoma mwaka huo. Mwaka huu nimeamua kuweka kundi la Nchi ya Mwaka ili kuonyesha vitabu nilivyosoma kuhusu nchi husika. Mwaka 2022 ilikuwa India (Rwanda 2021).
Sasa,jamaa yetu,ungeshindwaje kusoma vitabu vyote hivyo kwa mwaka wakati huna kazi yoyote?Unasubiri ruzuku na riziki kutoka serikalini mughabho!Wengine hawawezi kuwa na muda huo.Wanatamani lakini majukumu ni mengi siyo kama weye!Eeee bhaaanaa bhiharage bhirasindye nyama!
 
Mwakani achana na siasa kuwa mshauri wa nchi na wananchi utapata muda mwingi wa kusoma vitabu zaidi na hautoegemea upande mmoja
 
Mimi huyu jamaa Zube simuelewi kabsaa. mwaka 2006 niliwahi kumpendkeza kuwa man of the year kwa kumlipua waziri aliyetaka kufanya karl Peter scheme. lakini alinivunja moyo pale alipokubali kuingizwa jina lake katika tume ya madini na kupewa allowance za tume.halafu niliwahi kusiklia kuwa anapenda sana siasa za comminisim! hapo ndipo naungana na wenzangu waliotangulia kumkandia tabia yake kisiasa.
Wanasiasa wote vigeugeu tu

Ova
 
Ulimwengu wa vitabu tunakupogeza jongwe Zitto Ila kwanini unachelewa kuchukua Kadi ya CCM tunatamani kukuona magogoni
 
Hawa Members, watajuaje kwamba hivyo vitabu alivyosoma havielekezi Zitto awe hivyo alivyo, bila ya kuvijadili hivyo vitabu?

Who knows?, Labda hivyo alivyo ni matokeo ya vitabu alivyosoma, hatuwezi kujua kama tunakwepa kujadili maudhui yaliyomo kwenye vitabu na badala yake tunang'ang'ana kumjadili mleta vitabu.
Mkuu mleta mada mwenyewe hajavielezea hivyo vitabu yeye kataka tu tujue amesoma vitabu vingapi na kuweka majina ya hivyo vitabu, alichokifanya yeye ni show off tu ila wewe unataka sisi ndio tujadili maudhui ya vitabu.

Hata sisi tunasoma vitabu pia ila yeye Zitto kataka kuonyesha wingi wa vitabu anavyosoma kwa mwaka.
 
Hivi?, tunatakiwa kukomenti kuhusu Vitabu au Zitto au....???

...lakini salamu nimepata, Basi, Heri ya mwaka mpya.
 
Mwaka huu unaomalizika 2022 nimebahatika kusoma vitabu mbalimbali 33 (2021:29, 2020:16, 2019:34). Ulikuwa mwaka mzuri kwa usomaji vitabu na pia mwaka ambao nilibahatika kupata zawadi nyingi za vitabu kutoka kwa marafiki zangu na ndugu zangu.

Nitaanza mwaka 2023, Mungu akijaalia kuvuka salama, nikiwa na karibu dazeni ya vitabu ambavyo sijasoma. Kama nilivyofanya mwaka jana, kutoka orodha ya mwaka huu nimeshatoa orodha ya vitabu 10 ninavyopendekeza watu kuvisoma mwaka ujao kama hawajavisoma.

Vitabu nilivyosoma mwaka huu kwa makundi mbalimbali ni kama ifuatavyo;

Riwaya
  • Magic of Saida – MG Vassanji
  • I am Semba – Ajeka&Fox
  • The Book of Secrets – MG Vassanji
  • The House of Rust – Khadija Abdallah Bajaber
  • Mtumwa kwenye Nchi Huru – Elizabeth Mramba
  • A Line In The River: Khartoum City of Memory – Jamal Mahjoub
  • We are all Birds of Uganda – Hafsa Zayyan
  • The In-Between World of Vikram Lall – MG Vassanji
  • Next In Line – Jeffrey Archer
  • Tea with Ms. Tanzania – Fayyaz Vellani
  • The Shadow King – Maaza Mengiste
Wasifu/Tawasifu
  • The Chancellor: The Remarkable Odyssey of Angela Merkel – Kati Marton
  • Njinga of Angola: Africa’s Warrior Queen – Linda M. Heywood
  • The Prime Ministers We Never Had: Success and Failure from Butler to Corbyn – Steve Richards
  • 38 Reflections on Mwalimu Nyerere – Ed. Mark Mwandosya and Juma V Mwapachu
  • Hani: A life too short – Janet Smith and Beauregard Tromp
  • Juhudi na Changamoto – Sheikh Ponda Issa Ponda
  • The Bhutto Dynasty: The Struggle for Power in Pakistan – Owen Bennett-Jones
  • Maisha Yangu – Khamis Abdallah Ameir
  • Revolution in Zanzibar: An American’s Cold War Tale – Don Petterson
  • The Tanganyika Way: A personal Story of Tanganyika’s Growth to Independence – Sophia Mustafa
Nchi ya mwaka, India
  • Indian Summer: The Secret History of the End of an Empire – Alex Von Tunzelm
  • Pride, Prejudice and Punditry: The Essential – Shashi Tharoor
  • Mamata Beyond 2021 – Jayanta Ghosal
  • The Rise of The BJP: The Making of the World’s Largest Political Party – Bhupender Yadav and Ila Patnak
  • India in a New Key: Nehru to Modi, 75 years of freedom and democracy – Narain D. Batra
Mchanganyiko
  • Time for Socialism – Thomas Piketty
  • Capturing Hope: The Struggle Continues for a New Malaysia – Mahathir Mohamed
  • Final Reckoning: An Insider’s View of the Fall of Malaysia’s Barisan Nasional Government – Romen Bose
  • The World for Sale: Money, Power and the Traders Who Barter the Earth’s Resources – Javier Blas and Jack Farchy
  • Sudan’s Unfinished Democracy: The Promise and Betrayal of a People Revolution – Willow Berridge, Justin Lynch, Raga Makawi and Alex De Waal
  • From Rebel to Ruler: One Hundred Years of the Chinese Communist Party – Tony Saich
  • Borderland: A Journey Through the History of Ukraine – Anna Reid
Heri ya mwaka mpya 2023

23/12/2022


ILANI: Kila mwaka, nikibahatika na kujaaliwa, huwa ninasafiri pamoja na familia yangu. Kwa muda sasa nchi ninayotembelea huchomoza kupitia vitabu nilivyosoma mwaka huo. Mwaka huu nimeamua kuweka kundi la Nchi ya Mwaka ili kuonyesha vitabu nilivyosoma kuhusu nchi husika. Mwaka 2022 ilikuwa India (Rwanda 2021).
Hivyo vitabu havijakuondolea chuki dhidi ya Magu na udini.
kama kweli umesoma hivyo vitabu level/ upeo wako ulitakiwa uwe juu sana beyond chuki na udini. But ndo vile hamna kitu
 
Chadema hakuna mtu wanaemshambulia kama Zitto...kama Wana "hidden reason"...
Lowasa,Sumaye..wote kwao sio wasaliti...Dr Slaa sio msaliti...wao Zitto ndo "msaliti" wao....hata thread inahusu vitabu ...all the can share is hate
Ajabu unataka kwenye thread ya Zitto watajwe Lowassa na Sumaye, ndio maana muda mrefu nakuona haupo sawa kichwani, una mahaba ya kizee sana.
 
Ajabu unataka kwenye thread ya Zitto watajwe Lowassa na Sumaye, ndio maana muda mrefu nakuona haupo sawa kichwani, una mahaba ya kizee sana.
Huyo jamaa sikuhizi kahamia ACT ndiyo maana amekuwa na tabia za kinyonga
 
Tatizo ni hilo hilo. Hawajielimishi na hivyo wana mitizamo finyu. Badala ya kujadili issues wao wanajadili personalities.
 
Back
Top Bottom