Pre GE2025 Zitto kugombea Ubunge Kigoma 2025

Pre GE2025 Zitto kugombea Ubunge Kigoma 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Zitto anasema kwa vyovyote vile anataka kurudi bungeni 2025, halafu hapo hapo anatuambia chama chake ni cha kidemokrasia zaidi ya vingine vyote.

Chama kingekuwa cha kidemokrasia asingetakiwa kutumia maneno "kwa vyovyote vile" matumizi ya hayo maneno yanaonesha yupo tayari hata kuwahinga wajumbe ilimradi awe mshindi.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Zitto atapewa hela za kugombea uraisi,ili akagawe kura za mgombea halisi wa upinzani kwa kua atakua mwanaume. ACT hawawezi kuweka mgombea wa kike maana atapunguza kura za wanawake kwenda kwa Samia.

Pandikizi kwenye new assignment.
View attachment 2898693
Huyu Zitto ndio alimfanyia dhihaka Lissu ulemavu wake. mbona yeye anaonekana ana shida ya ngozi?
 
Tangu adanganye kuwa 2015 majimbo yote ya mkoa wa Kigoma yanaenda ACT, halafu Cha kushangaza akapata Jimbo moja tu ndipo nikajua Zitto ni mnafiki. Akawamaliza akina Machali, Kafulila , zaituni etc.
 
Mzee Zitto.

Screenshot_20240209-161545.png
 
Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe ametangaza rasmi nia yake ya kugombea Ubunge Jimbo la Kigoma Mjini katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 huku akisisitiza kuwa kwa vyovyote vile anataka kurudi Bungeni kwasababu anaamini miaka mitano hii Bunge limerudi nyuma kwa sababu ya kutokuwepo kwa Wabunge wa upinzani.

“Nagombea Ubunge, kuhusu Vijana sijawazuia kugombea, mwaka 2020 nilienda kwenye kura za maoni na Abdul Nondo kwahiyo 2025 anaweza kugombea pia, Chama chetu ni cha kidemokrasia mno yaani mambo yanayofanyika ACT huyaoni kwenye Vyama vingine, siamini kama kuna Chama kingine ambacho Kiongozi wake wa Kitaifa anagombea kwenye Jimbo Mwanachama yoyote tu anaweza akatokea akaenda kugombea”

“Mwaka 2020 nimeenda kwenye kura za maoni na Mdogo wangu Abdul, mwaka 2025 akitaka atakuja kwenye kura za maoni na Wajumbe wakimchagua yeye atakuwa Mgombea na nitatembea kumuunga mkono na wakiona niendelee kwasababu Mimi kwa vyovyote nataka nirudi Bungeni kwasababu naamini miaka hii mitano ambayo hatupo Bunge limerudi nyuma kwahiyo tungependa kurejesha la kabla ya mwaka 2015” — Zitto

Credit-MillardAyo
Tkataka, ili afanye nini na kesha kuwa CHAWA
 
Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe ametangaza rasmi nia yake ya kugombea Ubunge Jimbo la Kigoma Mjini katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 huku akisisitiza kuwa kwa vyovyote vile anataka kurudi Bungeni kwasababu anaamini miaka mitano hii Bunge limerudi nyuma kwa sababu ya kutokuwepo kwa Wabunge wa upinzani.

“Nagombea Ubunge, kuhusu Vijana sijawazuia kugombea, mwaka 2020 nilienda kwenye kura za maoni na Abdul Nondo kwahiyo 2025 anaweza kugombea pia, Chama chetu ni cha kidemokrasia mno yaani mambo yanayofanyika ACT huyaoni kwenye Vyama vingine, siamini kama kuna Chama kingine ambacho Kiongozi wake wa Kitaifa anagombea kwenye Jimbo Mwanachama yoyote tu anaweza akatokea akaenda kugombea”

“Mwaka 2020 nimeenda kwenye kura za maoni na Mdogo wangu Abdul, mwaka 2025 akitaka atakuja kwenye kura za maoni na Wajumbe wakimchagua yeye atakuwa Mgombea na nitatembea kumuunga mkono na wakiona niendelee kwasababu Mimi kwa vyovyote nataka nirudi Bungeni kwasababu naamini miaka hii mitano ambayo hatupo Bunge limerudi nyuma kwahiyo tungependa kurejesha la kabla ya mwaka 2015” — Zitto

Credit-MillardAyo
Kweli kabisa bunge lilimkosa mbunge mahiri wa chama kikuu cha upinzani bara na visiwani!
 
Zitto atapewa hela za kugombea uraisi,ili akagawe kura za mgombea halisi wa upinzani kwa kua atakua mwanaume. ACT hawawezi kuweka mgombea wa kike maana atapunguza kura za wanawake kwenda kwa Samia.

Pandikizi kwenye new assignment.
View attachment 2898693
Huyu jamaa ana umri gani mbona huwa mnasema ni kijana?
 
Zitto atapewa hela za kugombea uraisi,ili akagawe kura za mgombea halisi wa upinzani kwa kua atakua mwanaume. ACT hawawezi kuweka mgombea wa kike maana atapunguza kura za wanawake kwenda kwa Samia.

Pandikizi kwenye new assignment.
View attachment 2898693
Hivi huyu jamaa aliunguaga au ni mizimu? Nasikia ni miongongoni mwa vijana wachawi sana.
 
Zitto anasema kwa vyovyote vile anataka kurudi bungeni 2025, halafu hapo hapo anatuambia chama chake ni cha kidemokrasia zaidi ya vingine vyote.

Chama kingekuwa cha kidemokrasia asingetakiwa kutumia maneno "kwa vyovyote vile" matumizi ya hayo maneno yanaonesha yupo tayari hata kuwahinga wajumbe ilimradi awe mshindi.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Ndivyo nilivyoelewa.
 
Back
Top Bottom