denoo JG
JF-Expert Member
- Oct 27, 2023
- 2,701
- 9,759
Zitto anasema kwa vyovyote vile anataka kurudi bungeni 2025, halafu hapo hapo anatuambia chama chake ni cha kidemokrasia zaidi ya vingine vyote.
Chama kingekuwa cha kidemokrasia asingetakiwa kutumia maneno "kwa vyovyote vile" matumizi ya hayo maneno yanaonesha yupo tayari hata kuwahinga wajumbe ilimradi awe mshindi.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Chama kingekuwa cha kidemokrasia asingetakiwa kutumia maneno "kwa vyovyote vile" matumizi ya hayo maneno yanaonesha yupo tayari hata kuwahinga wajumbe ilimradi awe mshindi.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app