Tojo ya kutuRoho mbaya tu ndiyo inambabua ngozi
Huyu Zitto ndio alimfanyia dhihaka Lissu ulemavu wake. mbona yeye anaonekana ana shida ya ngozi?Zitto atapewa hela za kugombea uraisi,ili akagawe kura za mgombea halisi wa upinzani kwa kua atakua mwanaume. ACT hawawezi kuweka mgombea wa kike maana atapunguza kura za wanawake kwenda kwa Samia.
Pandikizi kwenye new assignment.
View attachment 2898693
Hata Mimi najiuliza. Siku hizi hapigi kelele za kutaka Urais.mbona anazidi kubabuka uso ni kama vile ana expire.
Uraisi hautaki yeye?
Mkoma nini huyu jamaaZitto atapewa hela za kugombea uraisi,ili akagawe kura za mgombea halisi wa upinzani kwa kua atakua mwanaume. ACT hawawezi kuweka mgombea wa kike maana atapunguza kura za wanawake kwenda kwa Samia.
Pandikizi kwenye new assignment.
View attachment 2898693
Tkataka, ili afanye nini na kesha kuwa CHAWAKiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe ametangaza rasmi nia yake ya kugombea Ubunge Jimbo la Kigoma Mjini katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 huku akisisitiza kuwa kwa vyovyote vile anataka kurudi Bungeni kwasababu anaamini miaka mitano hii Bunge limerudi nyuma kwa sababu ya kutokuwepo kwa Wabunge wa upinzani.
“Nagombea Ubunge, kuhusu Vijana sijawazuia kugombea, mwaka 2020 nilienda kwenye kura za maoni na Abdul Nondo kwahiyo 2025 anaweza kugombea pia, Chama chetu ni cha kidemokrasia mno yaani mambo yanayofanyika ACT huyaoni kwenye Vyama vingine, siamini kama kuna Chama kingine ambacho Kiongozi wake wa Kitaifa anagombea kwenye Jimbo Mwanachama yoyote tu anaweza akatokea akaenda kugombea”
“Mwaka 2020 nimeenda kwenye kura za maoni na Mdogo wangu Abdul, mwaka 2025 akitaka atakuja kwenye kura za maoni na Wajumbe wakimchagua yeye atakuwa Mgombea na nitatembea kumuunga mkono na wakiona niendelee kwasababu Mimi kwa vyovyote nataka nirudi Bungeni kwasababu naamini miaka hii mitano ambayo hatupo Bunge limerudi nyuma kwahiyo tungependa kurejesha la kabla ya mwaka 2015” — Zitto
Credit-MillardAyo
Uchawi umemkongoroa kweli kweli
Sura ya kuzimu kabisa hiiZitto atapewa hela za kugombea uraisi,ili akagawe kura za mgombea halisi wa upinzani kwa kua atakua mwanaume. ACT hawawezi kuweka mgombea wa kike maana atapunguza kura za wanawake kwenda kwa Samia.
Pandikizi kwenye new assignment.
View attachment 2898693
Kweli kabisa bunge lilimkosa mbunge mahiri wa chama kikuu cha upinzani bara na visiwani!Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe ametangaza rasmi nia yake ya kugombea Ubunge Jimbo la Kigoma Mjini katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 huku akisisitiza kuwa kwa vyovyote vile anataka kurudi Bungeni kwasababu anaamini miaka mitano hii Bunge limerudi nyuma kwa sababu ya kutokuwepo kwa Wabunge wa upinzani.
“Nagombea Ubunge, kuhusu Vijana sijawazuia kugombea, mwaka 2020 nilienda kwenye kura za maoni na Abdul Nondo kwahiyo 2025 anaweza kugombea pia, Chama chetu ni cha kidemokrasia mno yaani mambo yanayofanyika ACT huyaoni kwenye Vyama vingine, siamini kama kuna Chama kingine ambacho Kiongozi wake wa Kitaifa anagombea kwenye Jimbo Mwanachama yoyote tu anaweza akatokea akaenda kugombea”
“Mwaka 2020 nimeenda kwenye kura za maoni na Mdogo wangu Abdul, mwaka 2025 akitaka atakuja kwenye kura za maoni na Wajumbe wakimchagua yeye atakuwa Mgombea na nitatembea kumuunga mkono na wakiona niendelee kwasababu Mimi kwa vyovyote nataka nirudi Bungeni kwasababu naamini miaka hii mitano ambayo hatupo Bunge limerudi nyuma kwahiyo tungependa kurejesha la kabla ya mwaka 2015” — Zitto
Credit-MillardAyo
Huyu jamaa ana umri gani mbona huwa mnasema ni kijana?Zitto atapewa hela za kugombea uraisi,ili akagawe kura za mgombea halisi wa upinzani kwa kua atakua mwanaume. ACT hawawezi kuweka mgombea wa kike maana atapunguza kura za wanawake kwenda kwa Samia.
Pandikizi kwenye new assignment.
View attachment 2898693
Hivi huyu jamaa aliunguaga au ni mizimu? Nasikia ni miongongoni mwa vijana wachawi sana.Zitto atapewa hela za kugombea uraisi,ili akagawe kura za mgombea halisi wa upinzani kwa kua atakua mwanaume. ACT hawawezi kuweka mgombea wa kike maana atapunguza kura za wanawake kwenda kwa Samia.
Pandikizi kwenye new assignment.
View attachment 2898693
H8i picha ni ya mwaka gani? Mbona alikua kachokaHuyu jamaa ana mvuto sana hata akigombea Urais Samia haoni ndani View attachment 2898697
Alitaka nafasi ya Mbowe tu sio UraisSiku hizi hataki urais?. Kipindi yupo CHADEMA kila mara anatishia kutaka kugombea urais.
Oya huyu jamaa anaumwa au??Huyu jamaa ana mvuto sana hata akigombea Urais Samia haoni ndani View attachment 2898697
Ndivyo nilivyoelewa.Zitto anasema kwa vyovyote vile anataka kurudi bungeni 2025, halafu hapo hapo anatuambia chama chake ni cha kidemokrasia zaidi ya vingine vyote.
Chama kingekuwa cha kidemokrasia asingetakiwa kutumia maneno "kwa vyovyote vile" matumizi ya hayo maneno yanaonesha yupo tayari hata kuwahinga wajumbe ilimradi awe mshindi.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app