Suphian Juma
Senior Member
- Apr 2, 2019
- 140
- 577
insh-Allah!Kila la kheri Kiongozi wangu wa Chama cha ACT wazalendo, Zitto Kabwe katika hukumu ya kesi inayokukabili itakayotolewa Mei 29, 2020 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam. Ni katika kesi ya "uchochezi'
(Kesi ya Jinai Na. 327/2018).
Watanzania dua na mshikamano wenu ni muhimu sana. Suphian Juma on Twitter, View attachment 1459187
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu anaongea uongo tu muda wote. Eti watu 100 waliuliwa.Aende jela
Mtu anaongea uongo tu muda wote. Eti watu 100 waliuliwa.
Watanzania gani unaowazungumzia hapa, binafsi namuombea dua MBAYA na mahakama itende haki pasipo kuangalia ye ni nani.Kila la kheri Kiongozi wangu wa Chama cha ACT wazalendo, Zitto Kabwe katika hukumu ya kesi inayokukabili itakayotolewa Mei 29, 2020 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam. Ni katika kesi ya "uchochezi'
(Kesi ya Jinai Na. 327/2018).
Watanzania dua na mshikamano wenu ni muhimu sana. Suphian Juma on Twitter, View attachment 1459187
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila la kheri Kiongozi wangu wa Chama cha ACT wazalendo, Zitto Kabwe katika hukumu ya kesi inayokukabili itakayotolewa Mei 29, 2020 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam. Ni katika kesi ya "uchochezi'
(Kesi ya Jinai Na. 327/2018).
Watanzania dua na mshikamano wenu ni muhimu sana. Suphian Juma on Twitter, View attachment 1459187
Sent using Jamii Forums mobile app
Watanzania gani unaowazungumzia hapa, binafsi namuombea dua MBAYA na mahakama itende haki pasipo kuangalia ye ni nani.
Nina roho mbaya sana kwa wahaini kama Zitto.Una roho mbaya kama green guard
In God we Trust
Kumuombea Zitto dua ni sawa na kumuombea SHAITWAN RAJIIM dua ili Mungu amsamehe.huyu kazi yake kubwa ni kuichonganisha serikali na wananchi pamoja na kuitakia mabaya nchi yake.Itapenedeza hata akifungwa jela.Kila la kheri Kiongozi wangu wa Chama cha ACT wazalendo, Zitto Kabwe katika hukumu ya kesi inayokukabili itakayotolewa Mei 29, 2020 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam. Ni katika kesi ya "uchochezi'
(Kesi ya Jinai Na. 327/2018).
Watanzania dua na mshikamano wenu ni muhimu sana. Suphian Juma on Twitter, View attachment 1459187
Sent using Jamii Forums mobile app
Nami naungana na waombaji kumwombea aende jela ili akitoka asishtakiwe tena.Kila la kheri Kiongozi wangu wa Chama cha ACT wazalendo, Zitto Kabwe katika hukumu ya kesi inayokukabili itakayotolewa Mei 29, 2020 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam. Ni katika kesi ya "uchochezi'
(Kesi ya Jinai Na. 327/2018).
Watanzania dua na mshikamano wenu ni muhimu sana. Suphian Juma on Twitter, View attachment 1459187
Sent using Jamii Forums mobile app
Kufanya Nini huko mahakamani?Makamanda tujitokeze kwa wingi mahakamani siku hiyo.