Zitto kuhukumiwa Mei 29, 2020

Watanzania gani unaowazungumzia hapa, binafsi namuombea dua MBAYA na mahakama itende haki pasipo kuangalia ye ni nani.
 
Reactions: UCD
Kumuombea Zitto dua ni sawa na kumuombea SHAITWAN RAJIIM dua ili Mungu amsamehe.huyu kazi yake kubwa ni kuichonganisha serikali na wananchi pamoja na kuitakia mabaya nchi yake.Itapenedeza hata akifungwa jela.
 
Nami naungana na waombaji kumwombea aende jela ili akitoka asishtakiwe tena.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…