Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Mbowe akitangaza kwamba Ile Mikutano ambayo iliairishwa kwa Sababu ya Korona, sasa Kwakuwa Korona Imepungua, Mikutano inaanza upya UTAONA KORONA NAYO ITAANZA UPYA KWA MUJIBU WA CCM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbowe akitangaza kwamba Ile Mikutano ambayo iliairishwa kwa Sababu ya Korona, sasa Kwakuwa Korona Imepungua, Mikutano inaanza upya UTAONA KORONA NAYO ITAANZA UPYA KWA MUJIBU WA CCMMtu anaongea uongo tu muda wote. Eti watu 100 waliuliwa.
Dadmon? Kwani imeisha au imepungua?Mbowe akitangaza kwamba Ile Mikutano ambayo iliairishwa kwa Sababu ya Korona, sasa Kwakuwa Korona Imepungua, Mikutano inaanza upya UTAONA KORONA NAYO ITAANZA UPYA KWA MUJIBU WA CCM
Atavuna alichopanda
Sisi Watanzania tupo na Rais Magufuli
Waongo kama yeye hana nafasi
Si kumtoa na pipoooz pawa?
Watanzania gani unaowazungumzia hapa, binafsi namuombea dua MBAYA na mahakama itende haki pasipo kuangalia ye ni nani.
Mbowe akitangaza kwamba Ile Mikutano ambayo iliairishwa kwa Sababu ya Korona, sasa Kwakuwa Korona Imepungua, Mikutano inaanza upya UTAONA KORONA NAYO ITAANZA UPYA KWA MUJIBU WA CCMDadmon? Kwani imeisha au imepungua?
Dadmon kwani Covid-19 imeeisha?Mbowe akitangaza kwamba Ile Mikutano ambayo iliairishwa kwa Sababu ya Korona, sasa Kwakuwa Korona Imepungua, Mikutano inaanza upya UTAONA KORONA NAYO ITAANZA UPYA KWA MUJIBU WA CCM
Muulize Ummy Mwalimu na Paramagamba KabudiDadmon kwani Covid-19 imeeisha?
Subiri ugonjwa uishe muanze mikutano yenu. Na mtakuja kutueleza nini? Mr Dadmon aka kipangamaalumu.Muulize Ummy Mwalimu na Paramagamba Kabudi
[emoji3][emoji3][emoji3] kumbe ugonjwa haujaisha arifuSubiri ugonjwa uishe muanze mikutano yenu. Na mtakuja kutueleza nini? Mr Dadmon aka kipangamaalumu.
Mfano mfu, kwani Jakaya hakufunga? vipi Mkapa? achilia mbali Mwinyi, Nyerere hakufunga? endeleeni kujifariji kwa mifano isokuwa relevant huku mkiendelea kuvunja sheria kwamba mtaogopwa, mtaishia jail, jinai haina kulemba.Mkuu hata Elbashir alifunga wengi akiwa madarakani, saa hii kibao kimegeuka yeye ndio yuko jela, na kuporwa mali zote alizochuma kwa kujifanya mzalendo.
Mfano mfu, kwani Jakaya hakufunga? vipi Mkapa? achilia mbali Mwinyi, Nyerere hakufunga? endeleeni kujifariji kwa mifano isokuwa relevant huku mkiendelea kuvunja sheria kwamba mtaogopwa, mtaishia jail, jinai haina kulemba.
roho mbaya mnazonyinyi ufipa mlilegeza wheel nut za magurudumu kwenye gari ya zito iliapate ajali.kisa alionyesha kutaka uwenyekiti wa chadema.Una roho mbaya kama green guard
In God we Trust
ufipa acheni undumilakuwili.tangia lini mkamtetea zito na post zenu za kumwita zito msaliti zimo humu jf ?Kwani Nyerere, Mwinyi nk wao walikuwa malaika? Tunajua upendeleo wa wazi unaofanyika ili kuwakomoa wapinzani, hilo wala halina mjadala chini ya awamu hii. Kama kweli ingekuwa ni haki inatendeka, leo hii tungewaona kina Kangi Lugola wako mahakamani.
ufipa acheni undumilakuwili.tangia lini mkamtetea zito na post zenu za kumwita zito msaliti zimo humu jf ?
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa iyo unajitetea ?Tafuta popote nilipowahi kumuita Zitto msaliti, ukipapata uje tuendelee na mjadala. Nimejiunga hapa jf Zito akiwa bado cdm, nipo mpaka leo. Nina ufahamu wa kutosha kuhusu hili suala la Zito hadi kujitoa cdm. Wakati wa sakata lote hilo nilichangia maana nilikuwepo hapa jukwaani, na hizo post bado zipo. Ukitaka kujua kiwango changu cha umakini, nenda pitia hizo post.