kwa iyo unajitetea ?
ndo minasemaga wazi nyinyi ni ndumi la kuwili.amjasamabaza kejeli,matusi ya nguoni na uzushi kwa zito nyinyi ?
Sent using Jamii Forums mobile app
CCM kwa ujambazi wa madaraka walionao wanaweza kupora hata kura millioni 10 sembuse hizo mbili tu ?Tukifanya kosa hapa, Awamu hii wataiingiza CCM kwenye janga la kukiangamiza chama. Tukumbuke KANU iliuliwa na Moi mwenyewe, baada ya kuwa na serekali ya kikabila, kujilimbikizia Mali yeye na genge lake, kuukandamiza upinzani, kuwafunga viongozi wao, hadi wananchi wakasema imetosha, na wakawapa upinzani kura nyingi sana , ambazo iliwaletea ugumu hata kuziiba kura, kwani hata wangeibaje isinge wasaidia, tofauti zilikuwa zaidi ya kura 2m
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama. Kawaida yako!Aende jela km amefanya makosa
Wakati mnafanya makosa huwa mnajifanya mpo juu ya sheria
Maji ya kiwafika shingoni ndio mnakumbuka kuna Watanzania wa kuwaombea!
Kumuombea Zitto dua ni sawa na kumuombea SHAITWAN RAJIIM dua ili Mungu amsamehe.huyu kazi yake kubwa ni kuichonganisha serikali na wananchi pamoja na kuitakia mabaya nchi yake.Itapenedeza hata akifungwa jela.
Tumeaswa kuwapenda adui zetu.Aende jela km amefanya makosa
Wakati mnafanya makosa huwa mnajifanya mpo juu ya sheria
Maji ya kiwafika shingoni ndio mnakumbuka kuna Watanzania wa kuwaombea!
Hii jeuri, kuna siku itakugeukaMfano mfu, kwani Jakaya hakufunga? vipi Mkapa? achilia mbali Mwinyi, Nyerere hakufunga? endeleeni kujifariji kwa mifano isokuwa relevant huku mkiendelea kuvunja sheria kwamba mtaogopwa, mtaishia jail, jinai haina kulemba.
Nani amekwambia mungu yupo angani?tumejaribusana kumuombea zito lakini dua hazifiki kwa baba mbinguni,zinaishia usawa wa matawi ya mti kisha zinarudi chini.
Sent using Jamii Forums mobile app
NAHATA BASHITE AKIJITOKEZA SIKU HIYO ITAKUA SIYO MBAYAMakamanda tujitokeze kwa wingi mahakamani siku hiyo.
Dua la kuku...mtanyooshwa sana, ashawaeleza hajaribiwi, uzuri haonei mtu.
Usiwaze ndugu, wazee wa Ujiji wapo.tumejaribusana kumuombea zito lakini dua hazifiki kwa baba mbinguni,zinaishia usawa wa matawi ya mti kisha zinarudi chini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii haimhusu mkuu, inakuhusu wewe unayevaa ujeuri usio na maana.Dua la kuku...mtanyooshwa sana, ashawaeleza hajaribiwi, uzuri haonei mtu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usinifananishe na wapumbavu.Hii haimhusu mkuu, inakuhusu wewe unayevaa ujeuri usio na maana.
Yuko wapi nape.
Sent using Jamii Forums mobile app