Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
...zilizoonyesha matokeoJiwe alikuwa bingwa wa fiksi.
wanasmwa magufuri.alikuwa muongo lakini yeye umeme ulikuwepo sasa hawa wanalete giza harafu wanataka kutudanganya
Alafu linajifanya linamachunguZwazwa lile na zee la michongo achana nalo
Richmond phase 2.Yaani sie wananchi tunataka umeme wa uhakika, kinyume cha hapo ni utapeli tu.
Waziri anasema planned maintenance, mkuu anatuambia ukame unatutafuna...
Ujiga mtupu ume andikaJiwe alikuwa bingwa wa fiksi.
Kumpinga jiwe ilikuwa ni kuweka rehani maisha yakoZITTO AMTETEA JANUARY
"Ukweli usemwe, awamu ya tano hakuna ongezeko la uzalishaji umeme lililofanyika,miaka5 bila kukarabati njia za umeme, Magufuli aliendesha nchi Kwa kudanganya,sasa tunatumia uongo ule kuwapima walioko madarakani,hatujaogeza hata 1MW Kwa miaka 5"@zittokabwe https://t.co/201F6NtCMY
View attachment 2015611
View attachment 2015612