The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,968
- 2,957
Kwa hiyo unadhani ni chama gani tukiwapa watafanya vizuri kuliko ccm ni nn kinakupa hiyo imani!?Mm ninachokijua hakuna kiongozi kutoka ndani ya CCM alishawahi kuja na fikra nzuri za kuikomboa Tanzania ,wote ni hamna kitu.Wao ni kuteuana ,kulipana mishahara minono na posho juu na kununua magari ya kifahari huku zaidi ya 80% wanaangaika na maisha magumu.Kuna kipindi huwa natamani miccm ife yote labda nchii hii itaondoka hapa ilipo .
Pesa zipo!' Nina hamu ya kula dona'ZITTO AMTETEA JANUARY
"Ukweli usemwe, awamu ya tano hakuna ongezeko la uzalishaji umeme lililofanyika,miaka5 bila kukarabati njia za umeme, Magufuli aliendesha nchi Kwa kudanganya,sasa tunatumia uongo ule kuwapima walioko madarakani,hatujaogeza hata 1MW Kwa miaka 5"@zittokabwe https://t.co/201F6NtCMY
View attachment 2015611
View attachment 2015612
Jonhson & Jonhson ....ushoga ni hatari sanaZinto na Janu ni wapenzi
Nijue ili inisaidie nini watu tunataka impact hatutaki maneno. Sasa wewe unayujua siasa halafu impact zero maana yake nini?Hujui siasa ni nini, wewe ni kilaza.
Acha kuhemka kwenye mambo ya msingi weweMataga mmefura
Ni kweli na sina haja ya kujua.Utopolo mtupu. Hujui siasa ni nini.
Na mpiga diliJiwe alikuwa bingwa wa fiksi.
Unaongelea ajira zipi za vijana? Ilihali wamachinga waliojiajiri wanafukuzwa ovyo na kuchomewa vibanda vyao kwa kisingizio cha kuwapanga.Muacheni JPM apumzike jamani, hata kama wavae ama wasivae viatu vyake ukweli ni kuwa ameshatangulia mbele za haki kwa yale mazuri tunashukuru kwa maisha yake kwa yale mabaya kama ajira kwa vijana tuna shukuru Mama anafanyia kazi.
Zitto ana tabia ya kutuona sisi ni wajinga sana kanakwamba hatuwezi kujua kinachoendelea!??Uyu bro kuna kipindi nilikua na mwelewa sana ila kadri anavojivua magamba nazid kumwelewa zaid ni mtu wa namna gan.....!
Nachojua atukua na shida miaka 6 iliyopita na sasa tuna shida kubwa.....
Kama vip wapige tu si tupate umeme tuendelee na mishe zetu amna nafuu yoyote....!
Na huyo MAMA juzi kwenye hotuba anaongelea tatizo la maji yaani hoja zake hazina nyama kabisaKama MAGUFULI alikuwa MUONGO lakini UMEME ulikuwepo
MAMA ni Mkweli mbona UMEME HAKUNA?
mdini huyuZITTO AMTETEA JANUARY
"Ukweli usemwe, awamu ya tano hakuna ongezeko la uzalishaji umeme lililofanyika,miaka5 bila kukarabati njia za umeme, Magufuli aliendesha nchi Kwa kudanganya,sasa tunatumia uongo ule kuwapima walioko madarakani,hatujaogeza hata 1MW Kwa miaka 5"@zittokabwe https://t.co/201F6NtCMY
View attachment 2015611
View attachment 2015612
Zitto anafanya haya kwa sababu mbili.ZITTO AMTETEA JANUARY
"Ukweli usemwe, awamu ya tano hakuna ongezeko la uzalishaji umeme lililofanyika,miaka5 bila kukarabati njia za umeme, Magufuli aliendesha nchi Kwa kudanganya,sasa tunatumia uongo ule kuwapima walioko madarakani,hatujaogeza hata 1MW Kwa miaka 5"@zittokabwe https://t.co/201F6NtCMY
View attachment 2015611
View attachment 2015612
Angeongea hivyo karibu yangu nachukua penseli ya mwanangu natia jichoni mwake kisha naondokaMchonyo wa marehemu babu yako alielala huko mwandiga:
Mbwa kama hawa wakina zitto ndio wanaowasababisha watu waende jela bila kukusudia.
Hebu imagine anaongea upumbavu huo mbele yako utaacha kumlapua kofi au kumtemea kohozi.
Hauwezi kumwita mtu mwongo wakati huna jipya la kufanya ili kujustify uongo wake. Okay alikuwa mwongo lakini tulikuwa na umeme. Mkweli wewe umeme haupo. Tuache kunyosheana vidole tuje na action plan ya kumaliza tatizo la umemewanasmwa magufuri.alikuwa muongo lakini yeye umeme ulikuwepo sasa hawa wanalete giza harafu wanataka kutudanganya
Ni kweli. Hivi ni kweli ugonjwa wa covid19 haukuwepo Tanzania? Hivi ni kweli mapapai, mbuzi, oil chafu zilikutwa na virus vya corona? Hivi ni kweli Tz ni donor country?Kumpinga jiwe ilikuwa ni kuweka rehani maisha yako
ki vp yaani?Zinto na Janu ni wapenzi