But more than that, I despise the myopic thinking holding that two wrongs do make a right.
If Zitto wants to have the support of thinking people, he should stand by his words for their own merit and appropriateness, not on a relative comparison towards a CCM imbecile's hogwash.Doing the latter will be stooping down to the imbecile's level.
Nimesema ukweli zitto alikuja na uwongo wake tukaangalia golden oppotunity katika maswali ya moja kwa moja akashindwa kujibu akakimbilia kwingine toka siku hiyo nikaona ahaa ndio maana kule kigoma walimchagua na hawaletei chochote na hata hawa vijana sijui kwanini wanatoa support kwa waongo , wavuruga nchi na wachonganishaji kama hawa ---
Tumewekewa hansard record ya Mh. Zitto.
Ukweli ni kwamba Waziri Sumari aliongea ovyo...
Waziri Sumari aliongea hovyo hovyo na kwa kashifa na mbwembwe nyingi...
Mheshimiwa Jerremiah Sumari aliongea kwa hovyo na jazba kumpita kondakta...
Tumewekewa hansard record ya Mh. Zitto.
Wengine tungeomba, tafadhali, record ya maneno Waziri Sumari, sentensi au paragraph nzima, neno kwa neno.
"tungeomba, tafadhali" ndiyo nini? Kama hutaki kuomba usiombe, kama unataka kuomba wewe omba tu, kama unampango wa kuomba baadaye subiri hadi ukiwa tayari, sasa "tungeomba, tafadhali" ndiyo tuelewe nini? hii lugha siyo ngumu hivyo. Halafu "wengine" manake yake nini?
Halafu hizo komakati ya "tungeomba, tafadhali" ndiyo zinafanya kazi gani hapo?; hiyo "nge" kwenye "tungeomba" inavunja kabisa neno "tafadhali".
Halafu, unasema "record ya maneno (ya) Waziri Sumari ambayo inatosha kujumuisha "sentensi, au paragraph (ambayo ina sentensi), neno kwa neno (ambayo imo kwenye "record ya maneno").
Hivyo "record ya maneno" inatosha.
unaweza kurudia kauli yako katika lugha inayoeleweka ikimaanisha ulichotaka kumaanisha?
Tuwe fair kidogo si wabunge wote wa CCM butu, kuna wale akina mama Malecela Ann Kilango, KImaro, Seleli, Mwakyembe etc etc wanasimamia ukweli
Huyu Sumari ni naibu waziri wa fedha , na wakati huo huo anamiliki kampuni kubwa inayouza hisa hapo nchini (Solomon Stockbrokers). Mimi hili jambo aliingii akilini hata kidogo, kwani hiki ni kielelezo cha conflict of interest. Kwa maneno mengine, ofisi yake ndio inayoregulate biashara yake ! Sisi wadanganyika tunategemea ya kuwa manufaa ya umma yatatetewa na huyu muungwana .Only in Tanzania ...
Rufiji sasa hapo ndiyo kuna conflict of interest kwani inahusu kile sheria yetu inakiita "maslahi ya kifedha"..