Uchaguzi 2020 Zitto: Membe hajaacha kufanya kampeni, yuko bize kuandaa Baraza la Mawaziri

Uchaguzi 2020 Zitto: Membe hajaacha kufanya kampeni, yuko bize kuandaa Baraza la Mawaziri

Umeelewa hoja? Hao EU kesho wakiwaita madikteta msigeuke kuwananga kuwa ni mabeberu.

Hizo ni takwimu tu kutokana na respondents waliohoji siwezi pinga ila margin of error kwa sample ndogo ni kubwa sana. Ila wakipiga kura watu million walau 10 ndio margin of error inakua ndogo na uhalisia unakua wazi kabisa.

So subiri okt 28 majibu yote utapata

Lissu hana lake mbele ya EU. Wamekubali uchaguzi huu kashindwa na ndio maana wengine tumetoa angalizo mapema kabisa. Tusije kusikia tena mara ooh kaibiwa kura, ooh uchaguzi haukuwa wa haki nk, nk.
 
View attachment 1576734

hio imeishaisha mapema, apa tunawaza sasa awe raisi wa milele

Na atakuwa kweli maana maneno huumba. Hapo sijazungumzia sifa zinazo mbeba.

Naona wale watarajiwa wagombea wenu wa Urais awamu ya sita wote mmewapitisha bila kupingwa. Mkaona JPM apingwe na Lissu kwa kumshauri kuvaa kanzu ijumaa.
 
Wakuu mida hii namsikiliza Zitto Kabwe anafanya mahojiano na Jeff Koinange wa Kenya.

Jeff amemuuliza Zitto kama ni kweli ACT Wazalendo imekata upepo na Mgombea wao amekimbia kampeni?

Zitto amemjibu kuwa baada ya chama chao kuona wanaelekea kushinda wameamua kuweka nguvu nyingi kumsaidia Membe kuandaa Baraza lake la Mawaziri na hivyo kuwa katika nafasi nzuri kutimiza waliyoahidi siku 100 za kwanza.
Naona unasaga sumu kama ilivyo jina lako.....usikubali kujipa jina la ajabu utakua wa ajabu pia....maana tangu rais wa malawi ajipachike jina la jiwe amekua jiwe kweli....haambiliki wala kusikia yeye ni yey tu mambo yanaenda mrema amekaa tu
 
Wanasiasa dizaini ya ZZK ndio huwa wanasababisha wananchi kukosa imani na upinzani,yeye angekuwa tu mkweli kwamba wameamua kumuunga mkono TL Kama alivyofanya Maalum Seif
Wakuu mida hii namsikiliza Zitto Kabwe anafanya mahojiano na Jeff Koinange wa Kenya.

Jeff amemuuliza Zitto kama ni kweli ACT Wazalendo imekata upepo na Mgombea wao amekimbia kampeni?

Zitto amemjibu kuwa baada ya chama chao kuona wanaelekea kushinda wameamua kuweka nguvu nyingi kumsaidia Membe kuandaa Baraza lake la Mawaziri na hivyo kuwa katika nafasi nzuri kutimiza waliyoahidi siku 100 za kwanza.
 
Back
Top Bottom