Shehullohi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2020
- 3,753
- 3,685
Umeelewa hoja? Hao EU kesho wakiwaita madikteta msigeuke kuwananga kuwa ni mabeberu.
Hizo ni takwimu tu kutokana na respondents waliohoji siwezi pinga ila margin of error kwa sample ndogo ni kubwa sana. Ila wakipiga kura watu million walau 10 ndio margin of error inakua ndogo na uhalisia unakua wazi kabisa.
So subiri okt 28 majibu yote utapata
Naona unasaga sumu kama ilivyo jina lako.....usikubali kujipa jina la ajabu utakua wa ajabu pia....maana tangu rais wa malawi ajipachike jina la jiwe amekua jiwe kweli....haambiliki wala kusikia yeye ni yey tu mambo yanaenda mrema amekaa tuWakuu mida hii namsikiliza Zitto Kabwe anafanya mahojiano na Jeff Koinange wa Kenya.
Jeff amemuuliza Zitto kama ni kweli ACT Wazalendo imekata upepo na Mgombea wao amekimbia kampeni?
Zitto amemjibu kuwa baada ya chama chao kuona wanaelekea kushinda wameamua kuweka nguvu nyingi kumsaidia Membe kuandaa Baraza lake la Mawaziri na hivyo kuwa katika nafasi nzuri kutimiza waliyoahidi siku 100 za kwanza.
Wakuu mida hii namsikiliza Zitto Kabwe anafanya mahojiano na Jeff Koinange wa Kenya.
Jeff amemuuliza Zitto kama ni kweli ACT Wazalendo imekata upepo na Mgombea wao amekimbia kampeni?
Zitto amemjibu kuwa baada ya chama chao kuona wanaelekea kushinda wameamua kuweka nguvu nyingi kumsaidia Membe kuandaa Baraza lake la Mawaziri na hivyo kuwa katika nafasi nzuri kutimiza waliyoahidi siku 100 za kwanza.
Hapo ndo ujua binadamu tunatofautina. Yaani kuna watu waliamini kabisa huu utumbo mpaka mishipa ya paji la uso lina watoka kubishana. KaaTanzania kuna vituko!
Nilidhani alipachikwa kumbe alijipachika!!🤣 ni lile walilolikataa waashimaana tangu rais wa malawi ajipachike jina la jiwe amekua jiwe