Uchaguzi 2020 Zitto ni kati ya viongozi wanaotakiwa kubebeshwa lawama, kuzomewa na kupuuzwa kutokana na hotuba zake zilizotaka kuvuruga amani wakati wa kampeni

We ni mpuuzi zaidi yao
Sawa ila ninakuhakikishia ipo siku utanikumbuka, we shabikia tu Lissu. Mwenzenu anawachora tu, anawaomba mkaandamane wakati yeye alishapanga kuunda tukio ili akamatwe kisha apate kisingizio cha kuondoka nchini aende kuhifadhiwa nje ya nchi. Si mnafahamau kuwa HAKUNA Mtanzania mwenye hadhi ya kuwa mkimbizi duniani au ulikuwa hujuwi hili? Lissu ni msanii sana na bahati mbaya ana watu wasiojitambua wanamfuata.
 
Swali. kwanini wengi wanaoshabikia CCM ni choka mbaya kmaisha?
 
Huyu dogo kishajiua kisiasa.....ni boli zozo tu kwa sasa hana tena ushawishi hapa Tanzania.
 
Let's be honest, Aina ya demokrasia tuliyonayo haitaweza kamwe kushinda.

Kwenye design principle tunaamini katika Data and analysis.. hii itakwambia vitu vingi sana kuhusu mtu kuliko anavyojifahamu.

Often watu hawajui wanachotaka... Mfano Ford aliposema atatengeneza gari wakati watu wanatumia Farasi walimuona punguani.. Steve Jobs na ndoto ya personal computer watu walimuona bwege tu..

Nasema haya kwa sababu watu wengi wana mengi. Ni ngumu kwa kundi kubwa la watu wa Discipline tofauti tofauti kufikiria collectively na kuwa objective hasa kwenye maswala yenye ushabiki kama Kuchagua Kiongozi.

Kuna haja ya Demokrasia yetu kuwa na mfumo wa kusawazisha mizani ili kuondoa uwezekano wa serikali kuangukia kwenye mikono isiyo salama kisa tu watu wamechagua kiongozi kwa matamanio na sio uhitaji.

Ukiona fame and popularity ndio inakuwa mtaji mkuu wa wanasiasa mpaka wasanii wa la saba "B" wanataka kuongoza basi ujue kuna mahali tunafail.

Kwanza turejee ni Demokrasia ya aina gani.. na pa kuanzia ni Kulifufua Azimio la Arusha kisha kuona kama tunaweza kuwa mfumo wa Electoral College kutumia wasomi, wanazuoni na wenye busara kutuongoza ili tuachane na mihemko.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hacha uwoga wewe Kenge
 
Zito ni miongoni mwa wanasiasa wajinga sana kuwahi kutokea nchini
 
Punguza ulafi.
 
Chief unanilisha maneno!

Ninachokisema Nikutafuta check and balance..

Hatuwezi kuwa na mfumo usiotabirika na usio imara.. Kwa sasa mfumo unaongozwa na hisia sana kama unayoyasema wewe.. mengi ni hisia kuliko objective facts!

Mfumo huu wa popular vote unaleta chaos tu, kusema ukweli... Watu wote hatuwezi kuwa tumebarikiwa kule insightful na wenye mawazo ya mbali kujua ni yupi au namna sahihi ya kufikiria na kuchagua kiongozi objectively.

Kwanza subiri Mfumo huu unaouita full proof it's hardly 200yrs old na tayari tunaona kash kash zake na achilia.mbali kila mtu anauweka kwa namna yake anayoona inafaa... Dunia imekuweko kwa miaka mingi na moja wapo ni mifumo ya kidini ilikaa a hundreds of years na watu walijitawala parfectly.

USA waligundua Popular vote will bring nothing but chaos wakaweka gate keepers "Electoral College System" maana walijua over promised and hyped people can possibly elect their own downfall.

Funny part is sijawahi kuwasikia wakisisitiza the rest of the world to do that.. wanachotaka the rest of the world kusimamia popular vote na sio kuwa na a strong, predictable and continual thinking. Kinachofanya niamini wanachotaka kuexport chaos and nothing else.

Sio swala la authoritarian, ni swala na kuendelea kujenga tulipoishia... Mungu Atusimamie sana.. tuwe wenye Ustahimilivu na fikra Mtambuka.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Get off the high horse kwanza, chill na unywe maji!

Then lets begin..
Usipende kushikiwa akili think. Don't lift things off books and run around with them.. books are instruments to help if used smartly.. but can also be used to condition your mind into thinking a certain way.

Baada ya kusema hilo.. narudi kwenye hoja zako.. kwanza unanilisha maneno am not against Democracy, am against the way it's being used to undermine the African progress...

Huwezi kuendelea ukiwa na unategemea kuwa na mipango ya miaka mitano/kumi.. na ukibisha na hili then I don't know what you drank! It's facts and it's obvious..

Uongozi ni kama dawa au supplement..Ikiwa nchi imekufa uongozi ni dawa na ikiwa nchi inashamiri uongozi just supplements the growth.

Huwezi kuniambia Wamarekani kwao ni mfumo tu wa kupiga kura.. ila ni demokrasia.. explain to me kwann Electoral College ilimpa ushindi trump beside the fact Hillary won the Popular vote ..which apparently it's a beacon of Demokrasia!?

Unazungumzia demokrasia gani wewe ya Kabla ya Kristo wakati yesu alizaliwa Rumi wakiwa wanatawala Dunia! Au Unataka kuniambia Wayahudi walimchagua Herode na Pilato awatawale!? And you want to tell me kulikuwa na Chaguzi Rome! Be serious and objective. Don't argue for the sake of arguing.

Tusilumbane; nimesema ninachoamini na umeamua kuamini unachotaka kuamini. Form of democracy inayokuwa pedaled Afrika will not bring anything but chaos.. nimerudia tena. Because we have people winded around the idea of leadership, winning and greatness wanasahau the most important part continued progress.

Tuache Umimi, kama mtu anaweza afanye.. na usiniambie kila mtu nchini anaweza kumuanalyze kiongozi na sera akajua yupi ni kiongozi bora. Maana tutakosana. Najua uwezo wangu na najua tukianza kuongelea ulinzi sijui A wala Ba.. kwa hilo am humble enough kutaka Mjuvi anisaidie.

Na hapo kwenye "kutaka msaada" ndio my whole argument lies upon. Tuwe na mfumo wa kuwa na watu wasomi na objective wanaochaguliwa na wananchi ili wawasaidie kuchagua kiongozi sahihi. Sasa kama huoni mashiko kwenye hili basi Tukubaliane kutokukubaliana.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Shuttel ya rozari uwezo mkubwa nilishangaa kuikuta dk chache hall six,,,Kawambwa nilimweshimu Sana kea hekima ya kutuliza vurugu
 
For sure, hayo siyo matatizo ya watanzania!

Ni matatizo yanayoimbwa na viongozi wa vyama vya upinzani! Tena cha kufurahisha na kusikitisha viongozi wanaoimba hayo ni mabingwa wa kufinyanga demokrasia na madikteta kwenye vyama vyao wanavyoongoza! Mtu anang'ang'ania uenyekiti kwa miaka 20! Na kulazimisha analolitaka ndani ya chama, Hana moral authority wa kumkosoa mwingine kwa kukosa demokrasia na kuwa dikteta!

Matatizo ya wananchi wanayajua vizuri sana wananchi. Kila siku wanaimba tena kwa uwazi, wanataka barabara, hospitali, madawa, umeme, nk. Sijui kwa nini tunajifanya hatuwasikii wananchi ila tunawasikia kina Zitto!
 
Shuttel ya rozari uwezo mkubwa nilishangaa kuikuta dk chache hall six,,,Kawambwa nilimweshimu Sana kea hekima ya kutuliza vurugu
😁😁😁,ile rozari hatari sana!Tulikuwa tunasema hainaga foleni ile!
 

Narudia Demokrasi ni mfumo mzuri ila unahitaji kuwe personalized.. kama unakubali different countries practices democracy differently.. Kwanini na sisi tusiuboreshe mfumo huu ufit mazingira yetu!?


Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kwani Chief! Lengo la kuwa na uongozi ni nini!?

Angela Merkel anaongoza kwa kipindi cha ngapi sasa!? Vipi kuhusuRussia!? What about Japan!?

Kwanini Wingereza wasimkatae Malkia!? Na mfumo wake!?

Kwanini Waarabu hawajawa deemed undemocratic!?

Tunajingoza ili kujiletea mafanikio.. Uongozi sio prestige.. Ni kazi. Sasa Kama unakuwa na kiongozi anayeweza kwanini unataka kubadilisha kila siku!?

Kuwa na mfumo wa kumpima na kumuongezea muda ndio demokrasia yenyewe..

Ukiangalia Hao wanaotaka term limit wakipata hard working and great leaders wanaenda paka 20 years madarakani.. lakini husikii juu ya kuminywa Demokrasia.

Ukiangalia list ya wajapani wengine wanakwenda mpaka terms 4 za uongozi.. Merkel almost 15yrs.. na husikii maswala ya terms limit.. maana their eyes ziko kwenye trophy .. unapimwa kama unaweza hauwezi its one term you go..

At the end tunataka ulichofanikisha na sio how democratic we elected our leaders.. Sasa mchakato wa kuchagua unatufaidia nn kama tuliowachagua hawajatumika vyema!? Na nguvu bado wanazo..na tunabadirisha ili iweje!?

Seriously Lengo la kuwafanya elections ni nini!? Kubadilisha viongozi au kutafuta best candidate!?

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…