Zitto ni mtu makini sana

Zitto ni mtu makini sana

Rebbeca ni kibibi,tehe tehe ,basi tu....nilikua nataka kusema yuko muda mrefu kwenye game ya siasa,leo ukiongelea upinzani wa Tanzania huwezi kumsahau ZZK
Ndio utamuongelea kwasabb Yuko upinzani but Hana miaka kuzidi 15 kwenye siasa.
Sema ni mtu makini, anapenda Sana kusoma na Mwl wake Prof osoro alimpika vilivyo
 
Zitto nimeanza kumsikia nikiwa mdogo,yupo upinzani tangu Enzi hizo..yupo consistent..hongera na keep on fighting zitto!

Kama Zitto ulianza kumsikia ukiwa mdogo yaan 2005 maana yake hujawahi kumsikia Mwenyekiti wa a Chadema Mwingine zaid ya aliepo Segerea maana Kaanza Kuwa Mwenyekiti Miongo kadhaa iliyopita
 
Ndio utamuongelea kwasabb Yuko upinzani but Hana miaka kuzidi 15 kwenye siasa.
Sema ni mtu makini, anapenda Sana kusoma na Mwl wake Prof osoro alimpika vilivyo

kukaa upinzani miaka15 ni midogo mkuu???jina libaki pale pale...???embu nipe jina la mpinzani mwingine kama yeye.. ?
 
Kama Zitto ulianza kumsikia ukiwa mdogo yaan 2005 maana yake hujawahi kumsikia Mwenyekiti wa a Chadema Mwingine zaid ya aliepo Segerea maana Kaanza Kuwa Mwenyekiti Miongo kadhaa iliyopita

tehe tehe mie ZZK nambari wani,na sio naongea kiubishi tu...mie nampenda,
 
Umakini wake utakamilika atakapo kamilisha shepe la mwisho kuifukia chadema kaburini ndipo mtakapomjua vizuri madhumuni yake ya hiyo tr 1.5

Hatuangalii Zitto yuko wapi bali anasimamia nini kwa sasa. Kama alipokelewa Lowassa ambaye hajawahi kuwa mpinzani toka dunia hii kuumbwa itakuwa Zitto ambaye hajawahi kumiliki kadi ya ccm? Ni hivi Zitto ndio anaweza kuwa rais bora wa nchi hii. Yeye ataleta maendeleo ya kweli ya watu na sio vitu, na wakati huohuo ataheshimu demokrasia. Yule anayesema hawezi kutii demokrasia ndio alete maendeleo ya mikopo akae pembeni wenye uwezo waongoze. 2020 Zitto ndio mgombea sahihi wa nafasi ya urais kwa tiketi ya upinzani, anamudu midahalo na ana uwezo wa kuongea na kueleweka. Anaijua nchi hii na changamoto zake, anafahamu siasa za dunia. Na ana sifa ya ziada ya kufahamu kiingereza.
 
Mtu Makini hawezi kuiba Siri Za Chadema Na kuzipeleka usalama wa Taifa

Mtu Makini hawezi kuuza Majimbo ya Chadema 2010

Mtu Makini hawezi kufukuzwa uanachama Chadema

Hatuangalii hayo kwa sasa, kama Slaa kaenda ccm ujue siasa zimebadilika. Ni hivi 2020 Zitto tunampa nafasi ya kugombea urais kwa upinzani. Mdahalo wa kwanza wa amsha amsha wa marais ni kwa kiingereza, asikimbie mtu. Petro alimkana Yesu akasamehewa itakuwa Zitto? Andaeeni SMG za kutosha.
 
Hatuangalii hayo kwa sasa, kama Slaa kaenda ccm ujue siasa zimebadilika. Ni hivi 2020 Zitto tunampa nafasi ya kugombea urais kwa upinzani. Mdahalo wa kwanza wa amsha amsha wa marais ni kwa kiingereza, asikimbie mtu. Petro alimkana Yesu akasamehewa itakuwa Zitto? Andaeeni SMG za kutosha.
Labda tufanye Kwa kiswahili ili kuepusha you know nyingi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa wanaomsifia, kesho watamponda. Mark my words.

Akizingua anapewa kubwa yake na hata yeye anafahamu hilo. Hapa hakuna sifa za kudumu bali tuna maslahi ya kudumu. Slaa alikuwa anasifiwa sana na wapinzani, muambie leo atokee anaongea kama atapewa support ya enzi hizo na wapinzani.
 
Labda tufanye Kwa kiswahili ili kuepusha you know nyingi

Sent using Jamii Forums mobile app
Kiswahili utakua mdahalo wa pili. Huko bungeni huwa tuona wagombea wa ubunge wa bunge la East Africa wakihojiwa kwa kiingereza kisa eti hilo bunge kiingereza kinatumika sana. Je kwenye nafasi ya urais kiingereza sio ndio kwenyewe?
 
Hatuangalii Zitto yuko wapi bali anasimamia nini kwa sasa. Kama alipokelewa Lowassa ambaye hajawahi kuwa mpinzani toka dunia hii kuumbwa itakuwa Zitto ambaye hajawahi kumiliki kadi ya ccm? Ni hivi Zitto ndio anaweza kuwa rais bora wa nchi hii. Yeye ataleta maendeleo ya kweli ya watu na sio vitu, na wakati huohuo ataheshimu demokrasia. Yule anayesema hawezi kutii demokrasia ndio alete maendeleo ya mikopo akae pembeni wenye uwezo waongoze. 2020 Zitto ndio mgombea sahihi wa nafasi ya urais kwa tiketi ya upinzani, anamudu midahalo na ana uwezo wa kuongea na kueleweka. Anaijua nchi hii na changamoto zake, anafahamu siasa za dunia. Na ana sifa ya ziada ya kufahamu kiingereza.
Well said brother mbona mnajulikana muda wenu wa kufukuzia ikulu wala hamjali ni rejea ya 2015 mlipomfua fisadi papa mliemchafua kwa miaka nane ghafla akageuka hakuwahi kuwa kiongozi wala kufanya kazi nchi ila katokea sayari ya mars,hatushangai kwa zitto kutoka msaliti mpaka malaika kazi mnayo nyani akitaka kufa kila mti anao uparamia unateleza!
 
Back
Top Bottom