Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Exactly. Zitto, Tundu Lissu and the rest ni suala LA muda tu kabla hawajawa kama Slaa.Akizingua anapewa kubwa yake na hata yeye anafahamu hilo. Hapa hakuna sifa za kudumu bali tuna maslahi ya kudumu. Slaa alikuwa anasifiwa sana na wapinzani, muambie leo atokee anaongea kama atapewa support ya enzi hizo na wapinzani.
Nikweli japo nayeye si wakumwamini asilimia mia,dakika yoyote anakutelekezaNimesikiliza Press conference ya Kiongozi wa Chama cha ACT wazalendo Mhe Zitto leo na kukubaliana na hoja za wengine kuwa Zitto is a well informed person na yuko vizuri sana kuelezea. Ripoti ya 1.5 Trln ni moto sana.
Sikiliza hapa.
Go Zitto. Mie naamini huyu jamaa atatusaidia sana nchi hii iongozwe vizuri. He can check and balance the governance kwa kuhoji.
Zitto usikate tamaa. Nchi ili inyooke lazma checks and balance kutoka kwa watu makini. Hainyooki kwa maamuzi ya mtu mmoja bali ya kitaasisi ili kila jambo zuri liweze kudumu.
Ikumbukwe pia hii ni mara ya kwanza namkubali Zitto na kumsifia baada ya kumfuatilia muda mrefu sana. Vitu vingi niliaminishwa dhidi ya Zitto bila ya mie kuchanganya na zangu. Wengi tumekuwa tunasikia vitu na kurukia kirahisi bila dhana halisi ya "kujifikirisha" na kuamua. JK alisema hatukuwa tunachanganya na zetu.
Issue kaitetea vema ila wasiwasi unakuja pale anapotuhumiwa kuwa yeye na prof ni.wajamaa kwenye NSSF kitengo kilichokutwa na madudu wakati ZZK akiwa kamati yake imekuwa domo zege ndo wazalendo halisi tunapobaki na doubts naeHatuangalii Zitto yuko wapi bali anasimamia nini kwa sasa. Kama alipokelewa Lowassa ambaye hajawahi kuwa mpinzani toka dunia hii kuumbwa itakuwa Zitto ambaye hajawahi kumiliki kadi ya ccm? Ni hivi Zitto ndio anaweza kuwa rais bora wa nchi hii. Yeye ataleta maendeleo ya kweli ya watu na sio vitu, na wakati huohuo ataheshimu demokrasia. Yule anayesema hawezi kutii demokrasia ndio alete maendeleo ya mikopo akae pembeni wenye uwezo waongoze. 2020 Zitto ndio mgombea sahihi wa nafasi ya urais kwa tiketi ya upinzani, anamudu midahalo na ana uwezo wa kuongea na kueleweka. Anaijua nchi hii na changamoto zake, anafahamu siasa za dunia. Na ana sifa ya ziada ya kufahamu kiingereza.
Well said brother mbona mnajulikana muda wenu wa kufukuzia ikulu wala hamjali ni rejea ya 2015 mlipomfua fisadi papa mliemchafua kwa miaka nane ghafla akageuka hakuwahi kuwa kiongozi wala kufanya kazi nchi ila katokea sayari ya mars,hatushangai kwa zitto kutoka msaliti mpaka malaika kazi mnayo nyani akitaka kufa kila mti anao uparamia unateleza!
Exactly. Zitto, Tundu Lissu and the rest ni suala LA muda tu kabla hawajawa kama Slaa.
Wakati ndio utakaoamua!Sikuwahi kuunga mkono Lowassa kugombea urais kupitia upinzani,lakini sina shaka na uwezo wa Zitto na hasa kwa ticket ya upinzani. Hata kama hana sifa ya uadilifu sana lakini kama kipimo chake ni Magufuli basi ni msafi na ana uwezo kuliko Magufuli.
Mtu Makini hawezi kuiba Siri Za Chadema Na kuzipeleka usalama wa Taifa
Mtu Makini hawezi kuuza Majimbo ya Chadema 2010
Mtu Makini hawezi kufukuzwa uanachama Chadema
Wewe! Za kuambiwa changanya na zako. Huo ni uongo, hadi leo hujajua tu kuwa huo ulikua ni uongo?. Hai waliotunga uongo huo leo hii wanajutia kutumika bila kujua.Mtu Makini hawezi kuiba Siri Za Chadema Na kuzipeleka usalama wa Taifa
Mtu Makini hawezi kuuza Majimbo ya Chadema 2010
Mtu Makini hawezi kufukuzwa uanachama Chadema
Hoja zake kwenye hii press conference juu ya Mbwembwe za Ndugai vs CAG umezisikia?Mtu Makini hawezi kuiba Siri Za Chadema Na kuzipeleka usalama wa Taifa
Mtu Makini hawezi kuuza Majimbo ya Chadema 2010
Mtu Makini hawezi kufukuzwa uanachama Chadema
Hatuangalii hayo kwa sasa, kama Slaa kaenda ccm ujue siasa zimebadilika. Ni hivi 2020 Zitto tunampa nafasi ya kugombea urais kwa upinzani. Mdahalo wa kwanza wa amsha amsha wa marais ni kwa kiingereza, asikimbie mtu. Petro alimkana Yesu akasamehewa itakuwa Zitto? Andaeeni SMG za kutosha.
Kwa hiyo Zitto Kawasamehe kwa kumzulia uongo?
Mkuu huyu mtu ZZK ni MAKINI sanaa.Nimesikiliza Press conference ya Kiongozi wa Chama cha ACT wazalendo Mhe Zitto leo na kukubaliana na hoja za wengine kuwa Zitto is a well informed person na yuko vizuri sana kuelezea. Ripoti ya 1.5 Trln ni moto sana.
Sikiliza hapa.
Go Zitto. Mie naamini huyu jamaa atatusaidia sana nchi hii iongozwe vizuri. He can check and balance the governance kwa kuhoji.
Zitto usikate tamaa. Nchi ili inyooke lazma checks and balance kutoka kwa watu makini. Hainyooki kwa maamuzi ya mtu mmoja bali ya kitaasisi ili kila jambo zuri liweze kudumu.
Ikumbukwe pia hii ni mara ya kwanza namkubali Zitto na kumsifia baada ya kumfuatilia muda mrefu sana. Vitu vingi niliaminishwa dhidi ya Zitto bila ya mie kuchanganya na zangu. Wengi tumekuwa tunasikia vitu na kurukia kirahisi bila dhana halisi ya "kujifikirisha" na kuamua. JK alisema hatukuwa tunachanganya na zetu.
****updates*****
Mwalimu alishawahi kusema....
View attachment 993739
Sasa Mtu Mwenye historia ya kutumika Mie naanzaje kumuamini?Amamsamehe Nani wakati unamuona anajirudisga kiaina baada ya kujua chama chake hakibambi? Zitto hana ujanja zaidi ya kuitegemea cdm au vipi aende ccm kabisa lakini huko ACT hataboi. Alichofanyiwa wakati ule ni ukweli, JK na Mwigulu ndio walikuwa wanamtumia wakadhani akiondoka cdm itakufa. Lakini kaondoka kajikuta na watu wa kugoma tu, so hana ujanja zaidi ya kupiga Uturn.
Kama anaizika CDM kwa kuitetea Tanzania hata Mbowe atasimama nyuma yake. hapa umefeliUmakini wake utakamilika atakapo kamilisha shepe la mwisho kuifukia chadema kaburini ndipo mtakapomjua vizuri madhumuni yake ya hiyo tr 1.5